Skip to main content

Ukata wafuta ndoto ya Papic



Monday, 19 December 2011 21:31

Majuto Omary
MABINGWA wa soka nchini, Yanga ya jijini Dar es Salaam, sasa italazimika kufanya maandalizi yote ya kuwavaa Zamalek ya Misri wakiwa nyumbani baada ya ndoto zao kupiga kambi nje ya nchi kufutwa na ukata unaoikabili timu hiyo.

Yanga itashuka dimbani kupambana na Zamalek katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Soka Afrika baadaye mwakani.

Awali mabingwa hao walipanga kuweka kambi Afrika Kusini na Msumbiji kujiandaa na mechi hiyo kabla ya kucheza mchezo wake wa kwanza kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia hali hiyo kocha wa Yanga, Kostadin Papic alisema jana kuwa wameamua kufuta mipango yao ya kuweka kambi nje ya nchi kutokana na gharama kubwa za kupeleka timu huko.

Alisema kutokana na gharama hizo wameona ni bora maandalizi yao yakayafanyia hapa na kuzileta timu nchini badala ya kwenda nje ya nchi.

“Kama fedha zingetosha kufanya na maandalizi nje ya nchi, tungeweza kuweka kambi huko, lakini hali imekuwa kinyume kwani fedha ni nyingi na hakuna jinsi zaidi ya kuziita timu kuja hapa nyumbani na kucheza nao," alisema.

Alisema kuwa mipango imeanza kuzialika timu za Uganda, Kenya, Zambia na Malawi ili kuja kujipima nchini.

“Siwezi kusema ni timu zipi zitakuja, lakini tuna mipango thabiti ya kuhakikisha tunacheza mechi nyingi za kujipima nguvu hapa nyumbani na si vinginevyo,” alisema Papic.

Tayari Yanga imepanga kucheza na mabingwa wa Malawi, timu ya shirika la Umeme la Escom United Jumamosi ya Desemba 24 kwenye Uwanja wa Taifa jijini.

Aidha kuna mipango ya kucheza na timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ikiwa moja ya jaribio kubwa kabisa kabla ya kupambana na Zamalek. Mipango ya mechi dhidi ya TP Mazembe ipo katika hatua za awali. Chanzo ni  Mwananchi.

Reddit! Del.icio.us! Mixx! Free and Open Source Software News Google! Live! Facebook! StumbleUpon!

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...