Skip to main content

UZINDUZI WA BIA MPYA 'SENETOR EXTRA LAGER'

  

Mkurugenzi wa masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Ephraim Mafuru akizungumza katika uzinduzi wa bia mpya ya Senetor Extra Lager ambayo imeanza kuzaliashwa na kusambazwa na kampuni hiyo. Bia hiyo inawalenga wachapakazi wa hali ya chini kabisa, wakulima, wavuvi na wengineo wa kanda ya ziwa na majirani zake. Bia ya Senetor itauzwa kwa bei nzuri ya shilingi elfu moja na mia tatu tu (1,300/-) 
 
 
Na Mashaka Baltazar,MWANZA
  KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua kinywaji kipya cha bia ya Senator, kinachozalishwa kwa kutokana na mazao ya mtama na shayiri na kuwataka wakulima wa mikoa ya Kanda ya Ziwa kulima mazao hayo kwa vile watakuwa na soko la uhakika. Hafla ya uzinduzi huo ilifanyika jana katika kiwanda cha SBL Mwanza,kuhudhuruiwa na baadhi ya wafanyakazi,mawakala na wauzaji wa bidhaa za kampuni ya SBL. Akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi wa kinywaji hicho kipya, Mkurugenzi wa Masoko wa (SBL) Ephraim Mafuru,alisema serikali inawaunga mkono kwa kusisitiza wakulima kuchangamkia kilimo cha mazao ya mtama na shayiri. Alisema kuwa wakulima wa mikoa ya Kanda ya Ziwa wanapaswa kuanzisha kilimo cha mtama na kuuza mazao yao katika kiwanda cha SBL kinachozalisha kinywaji hicho na watakuwa na soko la uhakika. 
“Tunaagiza malighafi kutoka nje ya nchi kwa asilimia 80 ili kukidhi mahitaji kwa sababu asilimia 20 ya malighafi ya hapa nchini ni ndogo,hivyo wakulima wa Kanda ya Ziwa wanapaswa kulima na kuuza mazao yao kiwandani kwetu na wao kunywa kinywaji hiki cha Semator ili kusukuma biashara hii.
Soko la mazao yao kama mtamama na mahindi linapatikana SBL ambapo tumekuwa tukinunua kilo moja ya mtama kwa shilingi 600,”alisema Mafuru alisema kuwa bia ya Senator yenye kilevi cha asilimia 6 inazalishwa kutokana na kimea cheupe kinachotokana na mtama, kinywaji ambacho kimemlenga mtanzania wa kipato cha kawaida wa mikoa ya Kanda ya Ziwa. 
Alieleza kuwa kinywaji hicho tayari kipo sokoni na kuwataka wateja wake ambao ni wavuvi na wakulima kukinunua ambapo bei ya mlaji itakuwa ni shilingi 1300,ambapo Januari mwakani watafanya matamasha ya kukitangaza kinywaji hicho zaidi katika maeneo ya vijijini.  
Aidha alisema kauli mbiu ya kinywaji hicho ni ‘bia ya wachapakazi ahsante kwa kutuwezesha kuwa kampuni kubwa’ ambapo SBL inatarajia kudhamini ngoma za utamaduni za makabila ya Wasukuma za Wagika na Wagalu. Kwa upande wake Meneja Mauzo wa SBL Kanda ya Ziwa, Stansaus Theophile, alisema bei tishari moja ilenye chupa 25 liytauzwa kwa bei ya shilingi 25 kwa mawakala,shilingi 25,400 (mawakala wa kati) na shilingi 26,000 kwa mawakala wadogo na mlaji shilingi 1300.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.