| Monday, 19 December 2011 21:33 |
|
Hatua hiyo ya kushangaza ilitangazwa juzi na Katibu Mkuu wa chama hicho, Samwel Luhuza, ambaye alisema uamuzi huo ulitolewa na NEC ya chama hicho baada ya kujadili tuhuma zilizotolewa na Kafulila na wanachama wengine ambazo zilijenga mtafaruku ndani ya Chama, hivyo kuwaona wana makosa na kuamua kuwavua uanachama. Mmoja wa makada waliovuliwa uanachama ni aliyekuwa mgombea wa kiti cha urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010, Hashim Rungwe ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza la Wadhamini wa chama hicho. Ingawa hatuna nia wala mamlaka ya kuhoji au kupinga hatua hiyo iliyochukuliwa na chama hicho dhidi ya Kafulila na wenzake, lazima tukiri waziwazi hapa kwamba hatudhani kama adhabu ya kuwafuta uanachama imechukuliwa kwa nia ya kukijenga chama hicho, bali pengine imechukuliwa ili kuwaziba midomo waliokuwa wakiwakosoa viongozi wa chama hicho na kuficha chini ya zulia matatizo ya msingi. Madai ya kwamba kosa la akina Kafulila limetokana na wao kuzungumzia masuala ya chama hicho katika vyombo vya habari ni la kinidhamu tu na pengine ni ushahidi tosha kuwa, chama hicho hakina muundo wa kidemokrasia kwa wanachama kujadili matatizo na kutoa dukuduku lao bila kunyamazishwa. Moja ya hoja za akina Kafulila ambayo tunadhani ni ya msingi ni kwamba chama hicho kimedorora kwa sababu hakifanyi kazi ya siasa. Kazi ya chama cha siasa kilicho hai ni kupata viongozi wa kuhamasisha wanachama, kujenga chama kwa kufungua ofisi na matawi nchi nzima, kupata wanachama wapya, kutoa elimu ya uraia, kushiriki katika chaguzi mbalimbali katika ngazi zote na kuonyesha kwa vitendo nia na dhamira ya kutwaa dola. Chama dhaifu na legelege hakina malengo wala dira, mbali na viongozi kukaa ofisini na kusubiri ruzuku za serikali na michango ya wanachama. Viongozi wa chama hicho walipaswa kujibu hoja na kuwatoa dukuduku wakosoaji kuhusu mustakabali wa chama chao badala ya awali kuandaa vikao vya siri na kula njama za kuwavua uanachama. Swali la kujiuliza hapa ni kama taratibu zilifuatwa, kwani tumeambiwa walikuwapo wajumbe 60 badala ya 40, huku wengine wakiwa hawafahamiki walikotoka. Ndiyo maana tunampongeza Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah aliyesema juzi kuwa, uamuzi wa chama hicho dhidi ya Kafulila utakubaliwa na Bunge iwapo demokrasia ilizingatiwa katika kufikia uamuzi huo. Mchakato wa kuwapata wabunge ni mrefu na wenye gharama kubwa kwa taifa na walipakodi. Hivyo, haiwezekani mbunge avuliwe ubunge kienyeji na kirahisi tu kwa hisia na fununu za washindani wake mitaani au ndani na nje ya chama. Lazima ziwepo sababu na ushahidi wa kutosha dhidi ya mbunge kama ametenda kosa la jinai au hakuwajibika kwa wapigakura wake. Tunakubaliana na Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa aliyekaririwa jana akisema kumvua mbunge uanachama kwa tuhuma zisizo na mashiko ni kusababisha kufanyika uchaguzi mdogo jimboni ambao unaligharimu taifa Sh19 bilioni. Ni makosa makubwa kudharau michango ya wabunge vijana kama Kafulila katika Bunge hili la Kumi. Kafulila ni mmoja wa wabunge waliovipatia vyama vyao heshima kubwa bungeni kwa hoja za msingi zinazoweka mbele utaifa na uzalendo. Amepiga vita itikadi za vyama na uroho wa posho. Katika kutambua hilo, NEC ya chama chake ingetumia busara kutumia kikao hicho kusameheana, hasa baada ya Kafulila kumwaga machozi mengi ya unyenyekevu kwa lengo la kuomba msamaha. Chanzo ni Gazeti la Mwanachini. |
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments