Skip to main content

Tido ajiunga Azam


Tido Kaimu Mhariri Mtendani wa TSN, Gabriel Nderumaki (kulia) akizungumza jambo na aliyekuwa Mkurugenzi wa Mwananchi Comunication, Tido Mhando Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere.
Tido Kaimu Mhariri Mtendani wa TSN, Gabriel Nderumaki (kulia) akizungumza jambo na aliyekuwa Mkurugenzi wa Mwananchi Comunication, Tido Mhando kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere.
Kampuni ya Azam Media Limited, leo imetangaza kuwa Tido Mhando ameteuliwa kuwa kaimu-Mkurugenzi mtendaji, Uhai Production Ltd (UPL). 
Tido, anaungana na Rhys Torrington ambaye ni Mkuregenzi Mtendaji Mkuu wa Azam Media Ltd na mtangazaji huyo maarufu wa mpira zamani nchini, Mhando ataanza majukumu yake mara moja, ikiwa jukumu lake kubwa ni utengenezaji na uboreshaji wa vipindi vya kitanzania katika televisheni na redioni.
Mhando mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 40 kwenye tasnia ya utangazaji na Uandishi wa Habari, ni mtu anayejulikana na kuheshimika katika tasnia hiyo ukanda wa Afrika Mashariki na Ulimwenguni kote.
Alianza kazi kama DJ Radio Tanzania na mnamo mwaka 1985 alijiunga na BBC idhaa ya Kiswahili Nairobi kama mwandishi wa habari. Ukuwaji wake ndani ya shirika ulimpelekea kuhamishiwa jijini London mwaka 1991 ambapo aliteuliwa kuwa Mwafrika wa kwanza kuongoza idara ya Idhaa ya Kiswahili BBC.
Baada ya kurejea Tanzania, Mhando ameshika nyadhifa mbali mbali za juu zikiwemo Mkurugenzi Mkuu wa TBC na hivi karibuni Mkurugenzi Mkuu wa Mwananchi Communication Ltd.
Akizungumzia uteuzi wake, Mhando amesema; “Ninayo furaha kubwa kujiunga na Azam Media, pia na changamoto kubwa zilizopo mbele yetu kuifanya kuwa kampuni pekee ya Televisheni na Redio yenye ubora katika kutoa burudani hapa nchini (Tanzania) pia na ukanda wote wa Afrika,”.
Mhando ofisi zake zitakuwepo katika jengo la kisasa la Uhai Production Tabata, Dar es salaam. UPL inajulikana kwa ubora wake katika kurusha matangazo yake moja kwa moja kama vile, Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara pamoja na vipindi vingine maarufu kama Kwetu House na Morning Trumpet.
Pia katika wiki zijazo UPL itazindua studio zake mpya zenye kiwango cha kimataifa ambazo zitamuwezesha Mhando kuwa na uwezo mkubwa wa kutengeneza vipindi mbali mbali vyenye viwango vya kimataifa akishirikiana na watengenezaji wazawa.
Akizungumzia uteuzi huo, Muingereza Torrington amesema: “Tunayo faraja kubwa kwa Tido kujiunga nasi wakati tunakaribia kutimiza mwaka wetu wa kwanza tokea tuanze kutoa huduma, inanipa furaha kwamba Azam TV imekuwa kwa kasi na kuwa wasambazaji wakuu na watoa huduma bora satellite Pay Tv Tanzania,”.
“Kwa uzoefu wake nategemea Tido atachukuwa jukumu la kutupeleka katika hatua nyingine ya mafanikio kibiashara kwa kutengeneza vipindi na burudani mbali mbali kwajili ya wateja wetu Tanzania na kuvuka mipaka yetu. Na mtakia kilala kheri katika majukumu yake mapya,” amesema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.