Skip to main content

"MSICHANGIE SHEREHE PEKEE CHANGIENI NA MATIBABU"-DC SIKONGE


Mkuu wa wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selengu akimkabidhi kadi ya kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii  CHF mmoja kati ya wakulima wa tumbaku katika kijiji cha Kisanga wilayani humo wakati wa kampeni ya Uzinduzi wa mfuko huo. 

Mkuu wa wilaya ya Sikonge akikabidhi kadi ya CHF kwa mkazi wa kijiji cha Kisanga wilayani humo

Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kisanga waliohudhuria uzinduzi wa kampeni hiyo ya uhamasishaji kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF wilayani Sikonge.
Wananchi  wakiwa wamekaa  chini ya mti wa Mwembe wakisiliza kwa makini maelezo kuhusu faida za kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF,wakati wa uhamasishaji mfuko huo.
Meneja wa mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF kanda ya Magharibi Bw.Emmanuel Adina akigawa vipeperushi kwa wananchi waliohudhuria uzinduzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii CHF katika kijiji cha Kisanga.
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima Afya NHIF kanda ya Magharibi Bw.Emmanuel Adina akitoa ufafanuzi kuhusu kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii.
 Na Juma Kapipi-Sikonge,KAPIPIJhabari.COM
 JAMII imeshauri kubadilika na kujenga tabia ya kuchangia matibabu kupitia mifuko ya (NIHF) na (CHF) na kuachana na tabia ya kupenda kuchangia sherehe pekee badala yake wajitoe kuchangia na matibabu.
Meneja wa mfuko wa taifa wa bima ya afya (NIHF) kanda ya magharibi Emmanuel Adina alisema hayo wakati akiongea na wananchi wa kata ya Kisanga wilaya ya Sikonge mkoani Tabora siku ya uzinduzi wa mfuko wa afya ya jamii (CHF).
Adina alisema jamii imejenga tabia ya kupenda kuchangia harusi na sherehe nyinginezo tena kwa kiwango kikubwa lakini linapokuja suala la kuchangia mifuko ya afya kwa ajili ya kupata matibabu bora jambo hilo linakuwa zito.
Alisema kiwango cha uchangiaji kwa wilaya ya Sikonge ni sh 5,000 na matibabu yatapatikana kwa muda wa miezi 12 kwa mume,mke na watoto nane.
Adina alisema afya ni jambo muhimu duniani na kama taifa lolote halina jamii yenye afya bora basi taifa hilo katika kuzalisha mali na kukuza uchumi ni ndoto.
Alibainisha mfuko wa afya ya jamii CHF ni mkombozi wa wananchi ambao wako kwenye sekta binafsi hivyo ni vyema jamii ikahamasika kujiunga nao.
Meneja huyo katika hatua nyingine alichangia kaya tano ambazo hawana uwezo na wako kwenye mazingira magumu ya kimaisha.
Aidha meneja huyo alifanikisha kupata wanachama wapya katika kata hiyo ikiwa ni jumla ya kaya 614 huku kaya wengine wakihamasika kujiunga na mfuko.
Adina aliwashawishi wananchi hao kutumia fursa walizonazo ikiwemo tumbaku kilo mbili tu zinatosha kujiunga na mfuko baada ya mauzo,jogoo na biashara ndogo walizonazo kwani matibabu ni jambo zuri kwa afya zao na kwamba ugonjwa unapokuja hautoi taarifa.
Aidha alibainisha kuwa mwananchi yoyote ambaye atashawishi mwanachama kujiunga na mfuko wa CHF atapewa kiasi cha sh 500 kama motisha ya kusababisha mfuko kupata mwanachama mpya.kwa hisani ya http:.mjengwablog.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.