Skip to main content

aingia Nivita ya maneno na kutoka kwa Van Gaal



Louis van Gaal hakufurahishwa na maoni ya Gary Neville baada ya mechi kumalizika.
Louis van Gaal hakufurahishwa na maoni ya Gary Neville baada ya mechi kumalizika.
Vita ya maneno baina ya Louis van Gaal na gwiji wa Man United Gary Neville imeibuka kufuatia uchambuzi kuwa United ilibahatisha ushindi wa 2-1 dhidi ya Southampton.
Neville alidai United – iliyopo nafasi ya tatu Ligi Kuu baada ya ushindi wa tano mfululizo – ilikimbia kifo baada ya ushindi wa magoli mawili kutoka kwa Robin van Persie.
Gary Neville amesema mchezo wa Man U na Liverpool siku ya Jumapili utakuwa kama mchezo wa baa.
Gary Neville amesema mchezo wa Man U na Liverpool siku ya Jumapili utakuwa kama mchezo wa baa.
Mchambuzi huyo wa soka wa Sky alisema mechi ya United na Liverpool siku ya Jumapili itakuwa “Mbwa na Bata dhidi ya Simba Mwekundu ila Van Gaal mwenye hasira alisema: “Ni gwiji wa zamani, gwiji, mchezaji wa zamani wa Man United, mauaji? Hayo ni maelezo ya Kiingereza – labda.
“Anaweza kusema chochote kwa sababu ni gwiji wa zamani, ila kama gwiji wa zamani, au kama gwiji, unapaswa kujua unachokisema.
“Unaweza kutafsiri upendavyo. Sio vigumu. Ninavyosema, anapaswa kuwa makini na maneno yake.”
Mlinzi wa kulia na nahodha wa zamani wa Man U Gary Neville amepewa jina la 'gwiji wa zamani' na kocha Louis van Gaal.
Mlinzi wa kulia na nahodha wa zamani wa Man U Gary Neville amepewa jina la ‘gwiji wa zamani’ na kocha Louis van Gaal.
Pamoja na ukosoaji wa Van Gaal alikubali United ilipata bahati St Mary’s.
Neville aliyasema hayo kwenye Monday Night Football” “Sidhani (wanaweza kushinda ligi) hawana ubora huo.”

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.