Skip to main content

Roma inajiandaa kufanya uhamisho wa mlinda mlango wa Chelsea,Petr Cech



Roma inajiandaa kufanya uhamisho wa mlinda mlango wa Chelsea,Petr Cech. Klabu hiyo ya Serie A inahisi atakuwa bora ndani ya Italia na kuziba nafasi ya Morgan De Sanctis mwenye umri wa 38 ambaye anamaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu.
Liverpool na Arsenal wanamtupia macho Andre-Pierre Gignac ili waweze kupata saini yake ifikapo majira ya joto huku mkataba wa mfaransa huyo ndani ya Marseille ukielekea ukingoni lakini wanakutana na upinzani mkubwa jutoka kwa Dynamo Moscow ambayo imeonyesha pia kuvutiwa na nyota huyo.
Mshambuliaji wa AC Milan,Nnamdi Oduamendi ameitaka klabu ya Crystal Palace imenyakue ili aweze kucheza Ligi Kuu ya Uingereza.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 raia wa Nigeria alifurahia maisha yake kwa mkopo kwenye Serie B ambako Eagles walimpatia huko.
Southampton wanautupia macho usajili wa Januari kwa kutaka kupata saini ya Bruno Martins Indi.Raia huyo wa Uholanzi alijiunga tu na Porto kipindi kilichopita lakini meneja Ronald Koeman anataka kumnyakua ili atue St Mary's.
Arsenal walituma maskauti kumtazama Marcelo Brozovic kwenye mchezo wa sare ya 1-1 wa kuwania kufuzu kwa Euro 2016 baina ya Croatia dhidi ya Italia .
Washika bunduki kwa muda mrefu wamekuwa wakivutiwa na kiungo huyo wa Dinamo Zagreb na wapo tayari kutoa kaisi cha Euro milioni 6 ili kupata saini yake.
Southampton wataitaka Tottenham kuwajumuisha nyota wake wawili ambao ni Harry Kane na Andros Townsend kwenye dili lolote la kutaka kumnyakua mshambuliaji Jay Rodriguez.
Liverpool wanajiamini juu ya kumsainisha mshambuliaji wa Porto,Jackson Martinez. Wekundu hao wa Anfield wanamatumaini ya kufanikisha dili la kumnasa kwa kiasi cha Euro milioni 37.7 pindi dirisha la usajili litakapofunguliwa.
Mlinda mlango wa Tottenham,Hugo Lloris anatakiwa na Roma. Klabu hiyo ya Serie A inahisi inaweza kumnasa raia huyo wa Ufaransa kwa kumpa ofa ya kucheza michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya.
Liverpool wanataka kuziba pengo la Glen Johnson kwa kumnasa Maxi Pereira kutoka Benfica . Johnson amekuwa akihusishwa na kutaka kwenda Roma wakati Pereira atakuwa nje ya mkataba ifikapo mwisho wa msimu.
Arsenal wanakutana na upinzani kutoka kwa Inter Milan juu ya kupata saini ya kiungo wa Sevilla,Grzegorz Krychowiaking mwenye thamani ya Euro milioni 30.
Raia huyo wa Poland alijiunga tu msimu uliopita lakini ameonyesha ubora wa hali ya juu sana ndani ya Uhispania.Borussia Dortmund nao pia wameonyesha nia ya kutaka kumsajili mchezaji huyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.