Skip to main content

Roma inajiandaa kufanya uhamisho wa mlinda mlango wa Chelsea,Petr Cech



Roma inajiandaa kufanya uhamisho wa mlinda mlango wa Chelsea,Petr Cech. Klabu hiyo ya Serie A inahisi atakuwa bora ndani ya Italia na kuziba nafasi ya Morgan De Sanctis mwenye umri wa 38 ambaye anamaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu.
Liverpool na Arsenal wanamtupia macho Andre-Pierre Gignac ili waweze kupata saini yake ifikapo majira ya joto huku mkataba wa mfaransa huyo ndani ya Marseille ukielekea ukingoni lakini wanakutana na upinzani mkubwa jutoka kwa Dynamo Moscow ambayo imeonyesha pia kuvutiwa na nyota huyo.
Mshambuliaji wa AC Milan,Nnamdi Oduamendi ameitaka klabu ya Crystal Palace imenyakue ili aweze kucheza Ligi Kuu ya Uingereza.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 raia wa Nigeria alifurahia maisha yake kwa mkopo kwenye Serie B ambako Eagles walimpatia huko.
Southampton wanautupia macho usajili wa Januari kwa kutaka kupata saini ya Bruno Martins Indi.Raia huyo wa Uholanzi alijiunga tu na Porto kipindi kilichopita lakini meneja Ronald Koeman anataka kumnyakua ili atue St Mary's.
Arsenal walituma maskauti kumtazama Marcelo Brozovic kwenye mchezo wa sare ya 1-1 wa kuwania kufuzu kwa Euro 2016 baina ya Croatia dhidi ya Italia .
Washika bunduki kwa muda mrefu wamekuwa wakivutiwa na kiungo huyo wa Dinamo Zagreb na wapo tayari kutoa kaisi cha Euro milioni 6 ili kupata saini yake.
Southampton wataitaka Tottenham kuwajumuisha nyota wake wawili ambao ni Harry Kane na Andros Townsend kwenye dili lolote la kutaka kumnyakua mshambuliaji Jay Rodriguez.
Liverpool wanajiamini juu ya kumsainisha mshambuliaji wa Porto,Jackson Martinez. Wekundu hao wa Anfield wanamatumaini ya kufanikisha dili la kumnasa kwa kiasi cha Euro milioni 37.7 pindi dirisha la usajili litakapofunguliwa.
Mlinda mlango wa Tottenham,Hugo Lloris anatakiwa na Roma. Klabu hiyo ya Serie A inahisi inaweza kumnasa raia huyo wa Ufaransa kwa kumpa ofa ya kucheza michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya.
Liverpool wanataka kuziba pengo la Glen Johnson kwa kumnasa Maxi Pereira kutoka Benfica . Johnson amekuwa akihusishwa na kutaka kwenda Roma wakati Pereira atakuwa nje ya mkataba ifikapo mwisho wa msimu.
Arsenal wanakutana na upinzani kutoka kwa Inter Milan juu ya kupata saini ya kiungo wa Sevilla,Grzegorz Krychowiaking mwenye thamani ya Euro milioni 30.
Raia huyo wa Poland alijiunga tu msimu uliopita lakini ameonyesha ubora wa hali ya juu sana ndani ya Uhispania.Borussia Dortmund nao pia wameonyesha nia ya kutaka kumsajili mchezaji huyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...