Skip to main content

Wakenya washinda mbio za Marathon za London

Wilson Kipsang, wa Kenya akimaliza kama mshinda wa mbio za Marathon za London 2014
Wilson Kipsang, wa Kenya akimaliza kama mshinda wa mbio za Marathon za London 2014
Kijiji cha Iten nchini Kenya kilijitangazia kuwa "makazi bingwa wa mbio za masafa marefu" kufuatia mazingira yaliyojionesha Jumapili kijijini hapo kwenye mji mkuu wa kaunti ya Elgeyo Maraket kufuatia ushindi wa pili wa Wilson Kiprotich Kipsang kwenye mbio ndefu zijulikanazo London Marathon zilizofanyika jijini London , Uingereza.
Kipsang alivunja rekodi kwenye mbio za "London Marathon" kwa kukimbia kwa muda wa saa mbili, dakika nne na sekunde 27.
Aliibuka mshindi dakika chache baada ya jirani yake kutoka kijiji hicho hicho cha Iten na mshindi wa mara mbili duniani, Ednah Ngeringwony Kiplagat alishinda mbio za wanawake kwa kutumia saa mbili dakika 20 na sekunde 21 huku akimshinda mwanamke mwingine mkazi wa kijiji cha Iten, Florence Kiplagat.
Kipsang na Kiplagat wanaishi umbali wa mita 700 kutoka kila moja katika eneo la Mindililwa katika kijiji cha Iten na wote walipigiwa kura ya kuwa wanariadha bora zaidi kwa mwaka 2013 na taasisi kubwa duniani inayohusika na masuala ya wanariadha AIMS.
Wakati huo huo mke wa Rais Uhuru Kenyatta, bibi Margaret Kenyatta alikimbia katika mbio za London Marathon kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya taasisi yake inayoitwa "Beyond Zero" ya kusaidia wananchi wa Kenya kupata huduma za afya karibu na maeneo wanayoishi, ambayo inahamasisha watu kuchanga fedha za kuweka zahanati 47 za muda kwa ajili ya kutoa huduma za afya.
Umati ulikuwa unaanza kuondoka kwenye uwanja wa riadha mwendo wa saa 12 jioni kwa saa za London wakati habari ziliposambaa kote London kwamba mke wa Rais Kenyatta amevuka kilomita 32 katika mbio za kilomita 42.195 akiwa miongoni mwa mashabiki 36,000 na wanariadha wafadhili waliojitolea kusaidia taasisi yake kwa ajili ya watu maskini.
CHANZO:VOA

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...