Skip to main content

Wakenya washinda mbio za Marathon za London

Wilson Kipsang, wa Kenya akimaliza kama mshinda wa mbio za Marathon za London 2014
Wilson Kipsang, wa Kenya akimaliza kama mshinda wa mbio za Marathon za London 2014
Kijiji cha Iten nchini Kenya kilijitangazia kuwa "makazi bingwa wa mbio za masafa marefu" kufuatia mazingira yaliyojionesha Jumapili kijijini hapo kwenye mji mkuu wa kaunti ya Elgeyo Maraket kufuatia ushindi wa pili wa Wilson Kiprotich Kipsang kwenye mbio ndefu zijulikanazo London Marathon zilizofanyika jijini London , Uingereza.
Kipsang alivunja rekodi kwenye mbio za "London Marathon" kwa kukimbia kwa muda wa saa mbili, dakika nne na sekunde 27.
Aliibuka mshindi dakika chache baada ya jirani yake kutoka kijiji hicho hicho cha Iten na mshindi wa mara mbili duniani, Ednah Ngeringwony Kiplagat alishinda mbio za wanawake kwa kutumia saa mbili dakika 20 na sekunde 21 huku akimshinda mwanamke mwingine mkazi wa kijiji cha Iten, Florence Kiplagat.
Kipsang na Kiplagat wanaishi umbali wa mita 700 kutoka kila moja katika eneo la Mindililwa katika kijiji cha Iten na wote walipigiwa kura ya kuwa wanariadha bora zaidi kwa mwaka 2013 na taasisi kubwa duniani inayohusika na masuala ya wanariadha AIMS.
Wakati huo huo mke wa Rais Uhuru Kenyatta, bibi Margaret Kenyatta alikimbia katika mbio za London Marathon kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya taasisi yake inayoitwa "Beyond Zero" ya kusaidia wananchi wa Kenya kupata huduma za afya karibu na maeneo wanayoishi, ambayo inahamasisha watu kuchanga fedha za kuweka zahanati 47 za muda kwa ajili ya kutoa huduma za afya.
Umati ulikuwa unaanza kuondoka kwenye uwanja wa riadha mwendo wa saa 12 jioni kwa saa za London wakati habari ziliposambaa kote London kwamba mke wa Rais Kenyatta amevuka kilomita 32 katika mbio za kilomita 42.195 akiwa miongoni mwa mashabiki 36,000 na wanariadha wafadhili waliojitolea kusaidia taasisi yake kwa ajili ya watu maskini.
CHANZO:VOA

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...