Skip to main content

Wakenya washinda mbio za Marathon za London

Wilson Kipsang, wa Kenya akimaliza kama mshinda wa mbio za Marathon za London 2014
Wilson Kipsang, wa Kenya akimaliza kama mshinda wa mbio za Marathon za London 2014
Kijiji cha Iten nchini Kenya kilijitangazia kuwa "makazi bingwa wa mbio za masafa marefu" kufuatia mazingira yaliyojionesha Jumapili kijijini hapo kwenye mji mkuu wa kaunti ya Elgeyo Maraket kufuatia ushindi wa pili wa Wilson Kiprotich Kipsang kwenye mbio ndefu zijulikanazo London Marathon zilizofanyika jijini London , Uingereza.
Kipsang alivunja rekodi kwenye mbio za "London Marathon" kwa kukimbia kwa muda wa saa mbili, dakika nne na sekunde 27.
Aliibuka mshindi dakika chache baada ya jirani yake kutoka kijiji hicho hicho cha Iten na mshindi wa mara mbili duniani, Ednah Ngeringwony Kiplagat alishinda mbio za wanawake kwa kutumia saa mbili dakika 20 na sekunde 21 huku akimshinda mwanamke mwingine mkazi wa kijiji cha Iten, Florence Kiplagat.
Kipsang na Kiplagat wanaishi umbali wa mita 700 kutoka kila moja katika eneo la Mindililwa katika kijiji cha Iten na wote walipigiwa kura ya kuwa wanariadha bora zaidi kwa mwaka 2013 na taasisi kubwa duniani inayohusika na masuala ya wanariadha AIMS.
Wakati huo huo mke wa Rais Uhuru Kenyatta, bibi Margaret Kenyatta alikimbia katika mbio za London Marathon kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya taasisi yake inayoitwa "Beyond Zero" ya kusaidia wananchi wa Kenya kupata huduma za afya karibu na maeneo wanayoishi, ambayo inahamasisha watu kuchanga fedha za kuweka zahanati 47 za muda kwa ajili ya kutoa huduma za afya.
Umati ulikuwa unaanza kuondoka kwenye uwanja wa riadha mwendo wa saa 12 jioni kwa saa za London wakati habari ziliposambaa kote London kwamba mke wa Rais Kenyatta amevuka kilomita 32 katika mbio za kilomita 42.195 akiwa miongoni mwa mashabiki 36,000 na wanariadha wafadhili waliojitolea kusaidia taasisi yake kwa ajili ya watu maskini.
CHANZO:VOA

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.