Skip to main content

Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii


Na Mwandishi wetu 
MKURUGENZI wa Mfuko unaosimamia mifuko ya hifadhi za Jamii nchini (SSRA) , Irene Isaka ametoa wito kwa wanachama wapya kujiunga kwa wingi kwenye mifuko hiyo kwa sababu muda si mrefu serikali itaweka uwiano wa mafao sawa kwa mifuko yote.
Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA) wakiendelea na Mkutano huo uliofunguliwa rasmi jana April 10, 2014 na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Peter Ilomo (katikati mwenye tai nyekundu).

Isaka alisema hayo jana katika mkutano wa 32 ambao unazikutanisha nchi wanachama wa SADC unaendelea jijini Dar es Salam.
“ Tukiwa katika mkutano huu tunaweza kujifunza mambo mengi kutoka kwa wenzetu wa SADC huku na
wao wakijifunza mambo kadhaa kutoka kwetu kwani zipo baadhi ya nchi ambazo hazina mfuko mkuu kama SSRA ambao ndio mfuko mama unaosimamkia kazi na utendaji wa mifuko mingine ya kijamii” alisema Isaka.
Aliongeza kwa kusema kuwa hivi sasa kumezuka mtindo kwa badhi ya mifuko ya jamii kujipigia debe, hilo suala ni zuri ila jambo ambalo SSRA tunapingana nalo ni la kunyang’anyana wanachama, hilo siyo jambo zuri hata kama wako kibiashara,” alisema .
Aliongeza kwa kusema kuwa natoa wito kwa mifuko mbalimbali ya kijami kuwa na ushindani endelevu wa kusaidia wanajamii ambao ndiyo wanachama wao.
Aliongeza kwa kusema kwamba SSRA wakiwa wasimamizi wakuu wa mifuko ya hifadhi za jamii wako katika mazungumzo na serikali kuhusu mifuko yote iwe na kikokotoo kimoja kitakachoweka uwiano sawa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.