Skip to main content

Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii


Na Mwandishi wetu 
MKURUGENZI wa Mfuko unaosimamia mifuko ya hifadhi za Jamii nchini (SSRA) , Irene Isaka ametoa wito kwa wanachama wapya kujiunga kwa wingi kwenye mifuko hiyo kwa sababu muda si mrefu serikali itaweka uwiano wa mafao sawa kwa mifuko yote.
Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA) wakiendelea na Mkutano huo uliofunguliwa rasmi jana April 10, 2014 na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Peter Ilomo (katikati mwenye tai nyekundu).

Isaka alisema hayo jana katika mkutano wa 32 ambao unazikutanisha nchi wanachama wa SADC unaendelea jijini Dar es Salam.
“ Tukiwa katika mkutano huu tunaweza kujifunza mambo mengi kutoka kwa wenzetu wa SADC huku na
wao wakijifunza mambo kadhaa kutoka kwetu kwani zipo baadhi ya nchi ambazo hazina mfuko mkuu kama SSRA ambao ndio mfuko mama unaosimamkia kazi na utendaji wa mifuko mingine ya kijamii” alisema Isaka.
Aliongeza kwa kusema kuwa hivi sasa kumezuka mtindo kwa badhi ya mifuko ya jamii kujipigia debe, hilo suala ni zuri ila jambo ambalo SSRA tunapingana nalo ni la kunyang’anyana wanachama, hilo siyo jambo zuri hata kama wako kibiashara,” alisema .
Aliongeza kwa kusema kuwa natoa wito kwa mifuko mbalimbali ya kijami kuwa na ushindani endelevu wa kusaidia wanajamii ambao ndiyo wanachama wao.
Aliongeza kwa kusema kwamba SSRA wakiwa wasimamizi wakuu wa mifuko ya hifadhi za jamii wako katika mazungumzo na serikali kuhusu mifuko yote iwe na kikokotoo kimoja kitakachoweka uwiano sawa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...