Skip to main content

Ukraine ,Rais awaonya wapinzani


Rais wa Ukraine awaonya waasi Mashariki mwa nchi
Kaimu Rais wa Uraine, Oleksandr Turchynov,amewapa wapiganaji wanaounga mkono Urusi hadi mwisho wa leo Jumatatu kuondoka kutoka katika majengo ya serikali katika
miji ya mashariki mwa Nchi hiyo la sivyo wakabiliwe na jeshi la Ukraine wazalendo.
Bwana Turchynov amesema kuwa iwapo waasi hao hawatatii makataa hayo ya leo asubuhi, majeshi ya Ukraine yatatekeleza kile alichokitaja kuwa mashambulizi rasmi dhidi ya ugaidi.(MM)
Katika hotuba ya runinga, rais huyo wa muda amesema kuwa hatokubali kuona kilichofanyika Crimea mwezi uliopita kikirudiwa tena nchini mwake.
Huku hayo yakijiri ,Urusi imelaani tahadhari hiyo ya Bwana Turchynov , ikiishutumu serikali ya Ukraine kwa kutangaza vita dhidhi ya watu wake .
Urusi imepinga vikali tetesi za Marekani na Ukraine kuwa ndiyo inayochochea ghasia hizo na uasi katika miji iliyoko mashariki mwa Ukraine .
Urusi imesisitiza kuwa inataka kufanyike kwa mkutano wa dharura wa baraza la usalama la umoja wa mataifa katika kipindi cha saa chache zijazo.
Rais wa Ukraine awaonya waasi Mashariki mwa nchi
Moscow imeomba umoja wa ulaya kuleta washirika wake walioko Ukraine kuwa chini ya udhibiti wake.
Ghasia na taharuki imetanda kote katika miji iliyoko mashariki mwa Ukraine huku waasi wakivamia majengo ya polisi na serikali wakiwa wamejihami kwa silaha kali.
Wapiganaji wanaounga mkono Urusi, wengi wao waliokuwa wamejihami, wanaendelea kushikilia majengo ya serikali mjini Slaviansk .
Wanahabari wa BBC waliokwenda Slaviansk, wamesema kwamba waasi wanaunga mkono kujiunga na Urusi wamejenga vizuizi na kuasha moto barabarani usiku kucha.
Picha za mtandao zaonesha ufyatulianaji risasi uliotokea wakati wa uvamizi huo wa vituo vya uma.
Afisa mmoja wa Ukraine anasemekana kupigwa risasi na kuuwawa.
Mjini Kharkiv, watu hamsini wamejeruhiwa huku makabiliano makali yakishuhudiwa katika mji wa Zapolrizhya.
CHANZO:BBC

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...