Skip to main content

Ukraine ,Rais awaonya wapinzani


Rais wa Ukraine awaonya waasi Mashariki mwa nchi
Kaimu Rais wa Uraine, Oleksandr Turchynov,amewapa wapiganaji wanaounga mkono Urusi hadi mwisho wa leo Jumatatu kuondoka kutoka katika majengo ya serikali katika
miji ya mashariki mwa Nchi hiyo la sivyo wakabiliwe na jeshi la Ukraine wazalendo.
Bwana Turchynov amesema kuwa iwapo waasi hao hawatatii makataa hayo ya leo asubuhi, majeshi ya Ukraine yatatekeleza kile alichokitaja kuwa mashambulizi rasmi dhidi ya ugaidi.(MM)
Katika hotuba ya runinga, rais huyo wa muda amesema kuwa hatokubali kuona kilichofanyika Crimea mwezi uliopita kikirudiwa tena nchini mwake.
Huku hayo yakijiri ,Urusi imelaani tahadhari hiyo ya Bwana Turchynov , ikiishutumu serikali ya Ukraine kwa kutangaza vita dhidhi ya watu wake .
Urusi imepinga vikali tetesi za Marekani na Ukraine kuwa ndiyo inayochochea ghasia hizo na uasi katika miji iliyoko mashariki mwa Ukraine .
Urusi imesisitiza kuwa inataka kufanyike kwa mkutano wa dharura wa baraza la usalama la umoja wa mataifa katika kipindi cha saa chache zijazo.
Rais wa Ukraine awaonya waasi Mashariki mwa nchi
Moscow imeomba umoja wa ulaya kuleta washirika wake walioko Ukraine kuwa chini ya udhibiti wake.
Ghasia na taharuki imetanda kote katika miji iliyoko mashariki mwa Ukraine huku waasi wakivamia majengo ya polisi na serikali wakiwa wamejihami kwa silaha kali.
Wapiganaji wanaounga mkono Urusi, wengi wao waliokuwa wamejihami, wanaendelea kushikilia majengo ya serikali mjini Slaviansk .
Wanahabari wa BBC waliokwenda Slaviansk, wamesema kwamba waasi wanaunga mkono kujiunga na Urusi wamejenga vizuizi na kuasha moto barabarani usiku kucha.
Picha za mtandao zaonesha ufyatulianaji risasi uliotokea wakati wa uvamizi huo wa vituo vya uma.
Afisa mmoja wa Ukraine anasemekana kupigwa risasi na kuuwawa.
Mjini Kharkiv, watu hamsini wamejeruhiwa huku makabiliano makali yakishuhudiwa katika mji wa Zapolrizhya.
CHANZO:BBC

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.