Skip to main content

Mripuko wauwa 71 Abuja

Hali ya taharuki kufuatia mripuko katika kituo cha basi katika kiunga cha Abuja,Nigeria. (14.04.2014)
Hali ya taharuki kufuatia mripuko katika kituo cha basi katika kiunga cha Abuja,Nigeria. (14.04.2014)
Tuhuma zinaelekezwa dhidi ya kundi la Boko Haram juu ya kwamba hakuna taarifa ya kudai kuhusika na shambulio hilo kutoka kwa wapiganaji hao wa itikadi kali za Kiislamu ambapo hasa wamekuwa wakiendesha zaidi harakati zao kaskazini mashariki mwa Nigeria.Mbali ya watu 71 waliouwawa polisi imesema watu 124 wamejeruhiwa katika shambulio hilo ambalo ni la kwanza kufanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo katika kipindi cha miaka miwili.
Kamadori wa kikosi cha anga Charles Otengbade ambaye ni mkurugenzi wa oporesheni za msako na uokozi amesema wataalamu wa usalama wanashuku kwamba bomu hilo limeripuka likiwa ndani ya basi.
Mabaki ya maiti za watu zilizorowa damu ilikuwa imetapakaa kila mahala wakati vikosi vya usalama vikihangaika kudhibiti umma wa watu uliokuwa umezonga kutaka kujuwa kilichojiri na askari wa zima moto wakilimwagia maji basi ambalo bado lilikuwa na miili ya abria ilitoketea.
Rais Jonathan aapa kuwashinda Boko Haram
Shambulio hilo linaonyesha jinsi ilivyo rahisi kwa mji huo mkuu wa Nigeria kuweza kushambuliwa ambao umejengwa katika miaka ya 1980 kwa kuzingatia umbo la kijiografia ya nchi kuchukuwa nafasi ya mji wa Lagos kama makao makuu ya serikali katika nchi hiyo ambayo hivi sasa ndio yenye nguvu kubwa kabisa za kiuchumi barani Afrika na mzalishaji mkuu wa mafuta.
Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria ameapa kwamba nchi hiyo itaushinda uasi huo wa kinyama wa kundi la Boko Haram wakati akitembelea eneo kulikotokea mripuko huo katika kituo cha basi.
Jonathan akizungumuza kwenye kituo hicho cha basi cha Nyanya kilioko kwenye viunga vya mji mkuu wa Abuja amesema wamepoteza watu kadhaa na kwamba suala hilo la Boko Haram ni historia mbaya kabisa inayotokea ndani ya kipindi cha maendeleo ya nchi hiyo lakini watawashinda Boko Haram na kwamba suala hilo ni la mpito.
Kuongezeka mashambulizi
Wanamgambo wa Boko Haram wanopigania kuanzishwa kwa taifa la Kiislamu wamejikita zaidi katika eneo la mbali la kaskazini mashariki ambapo wamekuwa wakiendesha harakati zao katika kipindi cha miezi kadhaa iliopita na wamekuwa wakizidi kuwalenga raia katika mashambulizi yao ambao wanawatuhumu kwa kutowa ushirikiano wao kwa serikali na vikosi vya usalama.
Meja Yahya Shinku afisa wa zamani katika jeshi la Nigeria anazungumzia kwa nini mashambulizi hayo yamekuwa yakizagaa kutoka nje ya eneo la kaskazini mashariki. Amesema "Baadhi ya mashambulio haya yamechochewa kisiasa na hayawezi kutenganishwa na ukweli kwamba tunaelekea kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 ambapo kuna watu wana maslahi yao.
Baadhi ya watu wanaona shambulio hilo sio la kushangaza kwani hali ilikuwa ikizidi kuwa mbaya na huo ni kama ujumbe kwamba kundi hilo la Boko Haram bado lingalipo na linaweza kushambulia Abuja wakati wanapotaka na kusababisha hofu.
Mwandishi : Mohamed Dahman/Reuters/AFP
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman
CHANZO:DW

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...