Skip to main content

Mripuko wauwa 71 Abuja

Hali ya taharuki kufuatia mripuko katika kituo cha basi katika kiunga cha Abuja,Nigeria. (14.04.2014)
Hali ya taharuki kufuatia mripuko katika kituo cha basi katika kiunga cha Abuja,Nigeria. (14.04.2014)
Tuhuma zinaelekezwa dhidi ya kundi la Boko Haram juu ya kwamba hakuna taarifa ya kudai kuhusika na shambulio hilo kutoka kwa wapiganaji hao wa itikadi kali za Kiislamu ambapo hasa wamekuwa wakiendesha zaidi harakati zao kaskazini mashariki mwa Nigeria.Mbali ya watu 71 waliouwawa polisi imesema watu 124 wamejeruhiwa katika shambulio hilo ambalo ni la kwanza kufanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo katika kipindi cha miaka miwili.
Kamadori wa kikosi cha anga Charles Otengbade ambaye ni mkurugenzi wa oporesheni za msako na uokozi amesema wataalamu wa usalama wanashuku kwamba bomu hilo limeripuka likiwa ndani ya basi.
Mabaki ya maiti za watu zilizorowa damu ilikuwa imetapakaa kila mahala wakati vikosi vya usalama vikihangaika kudhibiti umma wa watu uliokuwa umezonga kutaka kujuwa kilichojiri na askari wa zima moto wakilimwagia maji basi ambalo bado lilikuwa na miili ya abria ilitoketea.
Rais Jonathan aapa kuwashinda Boko Haram
Shambulio hilo linaonyesha jinsi ilivyo rahisi kwa mji huo mkuu wa Nigeria kuweza kushambuliwa ambao umejengwa katika miaka ya 1980 kwa kuzingatia umbo la kijiografia ya nchi kuchukuwa nafasi ya mji wa Lagos kama makao makuu ya serikali katika nchi hiyo ambayo hivi sasa ndio yenye nguvu kubwa kabisa za kiuchumi barani Afrika na mzalishaji mkuu wa mafuta.
Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria ameapa kwamba nchi hiyo itaushinda uasi huo wa kinyama wa kundi la Boko Haram wakati akitembelea eneo kulikotokea mripuko huo katika kituo cha basi.
Jonathan akizungumuza kwenye kituo hicho cha basi cha Nyanya kilioko kwenye viunga vya mji mkuu wa Abuja amesema wamepoteza watu kadhaa na kwamba suala hilo la Boko Haram ni historia mbaya kabisa inayotokea ndani ya kipindi cha maendeleo ya nchi hiyo lakini watawashinda Boko Haram na kwamba suala hilo ni la mpito.
Kuongezeka mashambulizi
Wanamgambo wa Boko Haram wanopigania kuanzishwa kwa taifa la Kiislamu wamejikita zaidi katika eneo la mbali la kaskazini mashariki ambapo wamekuwa wakiendesha harakati zao katika kipindi cha miezi kadhaa iliopita na wamekuwa wakizidi kuwalenga raia katika mashambulizi yao ambao wanawatuhumu kwa kutowa ushirikiano wao kwa serikali na vikosi vya usalama.
Meja Yahya Shinku afisa wa zamani katika jeshi la Nigeria anazungumzia kwa nini mashambulizi hayo yamekuwa yakizagaa kutoka nje ya eneo la kaskazini mashariki. Amesema "Baadhi ya mashambulio haya yamechochewa kisiasa na hayawezi kutenganishwa na ukweli kwamba tunaelekea kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 ambapo kuna watu wana maslahi yao.
Baadhi ya watu wanaona shambulio hilo sio la kushangaza kwani hali ilikuwa ikizidi kuwa mbaya na huo ni kama ujumbe kwamba kundi hilo la Boko Haram bado lingalipo na linaweza kushambulia Abuja wakati wanapotaka na kusababisha hofu.
Mwandishi : Mohamed Dahman/Reuters/AFP
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman
CHANZO:DW

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...