Skip to main content

Mripuko wauwa 71 Abuja

Hali ya taharuki kufuatia mripuko katika kituo cha basi katika kiunga cha Abuja,Nigeria. (14.04.2014)
Hali ya taharuki kufuatia mripuko katika kituo cha basi katika kiunga cha Abuja,Nigeria. (14.04.2014)
Tuhuma zinaelekezwa dhidi ya kundi la Boko Haram juu ya kwamba hakuna taarifa ya kudai kuhusika na shambulio hilo kutoka kwa wapiganaji hao wa itikadi kali za Kiislamu ambapo hasa wamekuwa wakiendesha zaidi harakati zao kaskazini mashariki mwa Nigeria.Mbali ya watu 71 waliouwawa polisi imesema watu 124 wamejeruhiwa katika shambulio hilo ambalo ni la kwanza kufanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo katika kipindi cha miaka miwili.
Kamadori wa kikosi cha anga Charles Otengbade ambaye ni mkurugenzi wa oporesheni za msako na uokozi amesema wataalamu wa usalama wanashuku kwamba bomu hilo limeripuka likiwa ndani ya basi.
Mabaki ya maiti za watu zilizorowa damu ilikuwa imetapakaa kila mahala wakati vikosi vya usalama vikihangaika kudhibiti umma wa watu uliokuwa umezonga kutaka kujuwa kilichojiri na askari wa zima moto wakilimwagia maji basi ambalo bado lilikuwa na miili ya abria ilitoketea.
Rais Jonathan aapa kuwashinda Boko Haram
Shambulio hilo linaonyesha jinsi ilivyo rahisi kwa mji huo mkuu wa Nigeria kuweza kushambuliwa ambao umejengwa katika miaka ya 1980 kwa kuzingatia umbo la kijiografia ya nchi kuchukuwa nafasi ya mji wa Lagos kama makao makuu ya serikali katika nchi hiyo ambayo hivi sasa ndio yenye nguvu kubwa kabisa za kiuchumi barani Afrika na mzalishaji mkuu wa mafuta.
Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria ameapa kwamba nchi hiyo itaushinda uasi huo wa kinyama wa kundi la Boko Haram wakati akitembelea eneo kulikotokea mripuko huo katika kituo cha basi.
Jonathan akizungumuza kwenye kituo hicho cha basi cha Nyanya kilioko kwenye viunga vya mji mkuu wa Abuja amesema wamepoteza watu kadhaa na kwamba suala hilo la Boko Haram ni historia mbaya kabisa inayotokea ndani ya kipindi cha maendeleo ya nchi hiyo lakini watawashinda Boko Haram na kwamba suala hilo ni la mpito.
Kuongezeka mashambulizi
Wanamgambo wa Boko Haram wanopigania kuanzishwa kwa taifa la Kiislamu wamejikita zaidi katika eneo la mbali la kaskazini mashariki ambapo wamekuwa wakiendesha harakati zao katika kipindi cha miezi kadhaa iliopita na wamekuwa wakizidi kuwalenga raia katika mashambulizi yao ambao wanawatuhumu kwa kutowa ushirikiano wao kwa serikali na vikosi vya usalama.
Meja Yahya Shinku afisa wa zamani katika jeshi la Nigeria anazungumzia kwa nini mashambulizi hayo yamekuwa yakizagaa kutoka nje ya eneo la kaskazini mashariki. Amesema "Baadhi ya mashambulio haya yamechochewa kisiasa na hayawezi kutenganishwa na ukweli kwamba tunaelekea kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 ambapo kuna watu wana maslahi yao.
Baadhi ya watu wanaona shambulio hilo sio la kushangaza kwani hali ilikuwa ikizidi kuwa mbaya na huo ni kama ujumbe kwamba kundi hilo la Boko Haram bado lingalipo na linaweza kushambulia Abuja wakati wanapotaka na kusababisha hofu.
Mwandishi : Mohamed Dahman/Reuters/AFP
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman
CHANZO:DW

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.