Skip to main content

RIDHIWANI KUANZA NA BARABARA KISHA ELIMU NA AFYA

 Ridhiwani Kikwete akihutubia wakazi wa kijiji cha Tokamisasa wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge zinazoendelea ambapo aliwaambia kuwa atahakikisha tatizo la wakulima na wafugaji kwa kuweka mpango bora wa matumizi ya ardhi.
Ridhiwani Kikwete akihutubia wakazi wa kijiji cha Tokamisasa wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge zinazoendelea ambapo aliwaambia kuwa atahakikisha tatizo la huduma za afya linatatuliwa, kuboresha miundo mbinu elimu na kurudisha michezo jimboni.

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze Ndugu Ridhiwani Kikwete akicheza muziki na Miraji Mtaturu Katibu wa CCM  Wilaya ya Mufindi wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la Chalinze uliofanyika kwenye kitongoji cha Mbuyu kijiji cha Tokamisasa kata ya Ubena Zomozi.
Sam wa Ukweli akitumbuiza kwenye kampeni za CCM zilizofanyika katika kijiji cha Tokamisasa kitongoji cha Mbuyu.
 
Mgombea wa Ubunge wa jimbo la Chalinze CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akisalimiana na wazee wa kijiji cha Tokamisasa wakati akiwasili kwenye kitongoji cha Tuka Mjini tayari kwa kufanya mkutano wa kampeni.
Msanii wa Mashairi Mwanahamisi Mohamed wenye ulemavu wa macho akiimba shairi linaloitwa Changamoto wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la Chalinze CCM ambapo Ridhiwani Kikwete alihutubia na kuomba kura kwa wananchi wa kijiji cha Tokamisasa.
Wakina Mama wa Kimasai wakifuatilia kwa makini mkutano wa kampeni za ubunge za CCM ambapo mgombea wa CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete alifika katika tawi la Kivuga na kuomba kura.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na wafugaji wa Kimasai wa Tawi la Kivuga kata ya Ubena Zomozi wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la Chalinze.
Mgombea Ubunge wa CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akizungumza na vijana wajasiriamali wa UVCCM mshikamano Visakazi mara baada ya kuzindua shina hilo lililopo katika kata ya Ubena Zomozi.
(MM) 

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.