Skip to main content

'WANA LAMBALAMBA'AZAM FC YATEKELEZA AGIZO LA DR. MAGUFULI KWA VITENDO





1
Viongozi wa benchi la ufundi la Azam Academy wakishiriki shughuli za usafi kwenye Zahanati ya Chamazi
Kikosi cha Azam FC leo kimetekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Mgufuli alilolitoa majuma machache kabla ya kuadhimisha siku ya Uhuru wa Tanganyika kwamba, siku ya kuadhimisha Uhuru wa Tanganyika December 9 wananchi wote wafanye usafi kwenye maeneo yanayowazguka ili kuzuia magonjwa mbalimbali yasababishwayo na uchafu.
Katika kutekeleza agizo hilo la Rais Magufuli, kikosi cha Azam FC kwa kushirikiana na wananchi leo kimefanya usafi kwenye Zahanati ya Chamazi iliyopo eneo la Chamazi-Mbande, Manispaa ya Temeke kwa kusafisha mazingira yanayoizunguka zahanati hiyo.

7
Wachezaji wakimwaga taka baada ya kusafisha mazingira yanayozunguka eneo la Zahanati ya Chamazi
Asilimia kubwa ya wachezaji, makocha na viongozi wengine walikuwa wanatoka katika kikosi B kutokana na kikosi cha kwanza kuwa kwenye maandalizi ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba SC unaotarajiwa kuchezwa siku ya Jumamosi December 12.
Mganga mfawidhi wa zahanati hiyo Bi Eduiga Mroso ameushukuru uongozi wa Azam FC pamoja na wachezaji wote walioshiriki kwenye usafi wa maeneo yanayoizunguka zahanati hiyo na kuiomba timu hiyo kuendeleza ushirikiano na ujarani mwema uliopo kati yao.

6
Bi. Eduiga Mroso, Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Chamazi
“Tunaishukuru timu ya Azam FC kuamua kuja kwetu kushirikiana na sisi kuunga mkono kauli ya Rais wetu Magufuli ya kuadhimisha siku ya Uhuru kwa kufanya usafi kwenye maeneo yanayotuzunguka. Lakini ushirikiano wetu usiishie hapa bali uende mbali zaidi kwasababu sisi pia ni majirani na tunawashukuru sana Azam kwa hilo kwasababu wengeweza kwenda sehemu nyingine lakini waliamua kuja kwetu”, amsesema Bi Mroso.
Kwa upande wa mtendaji mkuu wa kikosi hicho Saad Kawemba amesema wameamua kufanya usafi kwenye zahanati hiyo ikiwa ni sehemu ya kudumisha ushirikiano wao na jamii hasa sehemu zenye uhitaji kama zahanati, shule na sehemu nyingine nyingi.

5
Saad Kawemba, Mtendaji mkuu wa Azam FC
Pia akaongeza kuwa, zahanati hiyo ipo eneo la jirani na wao hivyo hata ikitokea mchezaji au mtu yeyote amepatwa na maradhi atapelekwa kwenye zahanati hiyo kwa ajili ya matibabu na hicho ndio kitu kilichowasukuma kushirikiana na wakazi wa eneo la Chamazi kufanya usafi kwenye zahanati hiyo.
“Sisi kama Azam tumeamua kuja kushiriki shughuli ya usafi hapa kwasababu kwanza tunataka kudumisha ushirikiano wetu na jamii inayotuzunguka lakini pia kutekeleza agizo la Rais alilolitoa juu ya maadhimisho ya siku ya leo kwamba itakuwa ni siku ya kufanya usafi na si sherehe kubwa ya kitaifa”, amesema Kawemba wakati wa zoezi la usafi kwenye zahanati ya Chamazi.
4
“Lakini hawa ni majirani zetu, ikitokea mchezaji au kiongozi wa Azam FC akapatwa na maradhi ataletwa hapa, kwahiyo tukaona ni vyema tuje kushirikiana na majirani zetu kufanya usafi kwenye eneo la hii zahanati.

3
Wachezaji wa Azam wakisafisha mfereji (mtaro) pembeni ya zahanati ya Chamazi
Mh. Dr. Magufuli alipiga marufuku kufanyika sherehe kubwa za maadhidimisho ya siku ya Uhuru ambazo zimekuwa zikigharimu pesa nyingi na badala yake akaagiza pesa hizo zifanye kazi nyingine za maendeleo ya jamii na siku hiyo wananchi wote wafanye usafi kwenye maeneo yanayowanunguka.

2
Viongozi wa kikosi cha Azam wakishiriki zoezi la usafi lililofanyika kwenye zahanati ya Chamazi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...