Skip to main content

Akudo yaanza kuonesha upya wake


 BENDI ya muziki wa dansi ya Akudo Impact 'Vijana wa Masauti' imeanza safari nyingine katika angaza utoaji wa burudani,ambapo meneja wa bendi hiyo Ramadhani Pesambili amesema huo ni moja ya mikakati  kamambe kuongeza vionjo, mvuto na ubora wa bendi hiyo.



Akizungumza blog hii katika Bonanza la bendi hiyo la kila siku za Jumapili kwenye ukumbi wa Msasani Beach, Ramadhan alisema tayari katika mipango yakuja na utoaji mpya wa burudani ulionza kufanyika hivi karibuni tumebadilisha uongozi.

Alisema Meneja wa bendi hiyo ulimvua madaraka yake aliyekuwa kiongozi wa bendi hiyo awali mwanamuziki Tarsis Masela ambapo mwanamuziki mwingine toka bendi hiyo Zagreb Butamu aliteuliwa na tayari ameonesha kumudu nafasi hiyo.



"Zagreb Butamu ameonesha kupendwa zaidi na wanamuziki wenzake
naamekuwa na maelewano mazuri na wenzake hivyo anaonekana kumudu kwani kiongozi ni muhimu kukubalika kwanza kwa anaowaongoza,"alisema .

Ramadhani alisema kuwa mambo mengi yameisha anza kujenga taswira mpya katika bendi hiyo ambapo  alitaja majina  ya wanamuziki wapya kuwa ni Shella Mama anayepiga gitaa la solo, Chilayert Bamokina (mwimbaji), Dodo, Lightness, Mery na Christine Ngoi aliyejiunga Akudo akitokea kwa kwa mwanamuziki nyota wa Congo Ferre Gola Bataringe maarufu kama Ferre Chair de Poule au Ferre Gola ambapo wete walikuwa jukwaani katika siku hiyo .

Meneja huyo alisema bendi hiyo inaendelea kutambulisha    vibao vipya vitatu viitwavyo'Pinga mauaji ya Albino’, ‘Usikate tamaa’na'Wanawake wanaweza’ambapo tayari vinaonekana kupendwa na mashabiki.

Akudo  miaka awali ndio ndio  bendi ambayo iloiyomtambulisha mwanamuziki mahiri wa dansi Christian Bella wakati ilipotamba na mtindo wa Pekechapecha kabla ya nyota huyo kuhamia kwenye
bendi nyingine ya Malaika .

Katika mkesha wa kuupokea mwaka mpya bendi hiyo imejipanga
kufanya makamuzi yake kama kawaida katika ukumbi wao wa nyumbani Msasani Beach Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...