Skip to main content

Homecoming live ndani ya Sinema Zetu ya Azam




Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Azam Media itaonesha live uzinduzi wa filamu ya Homecoming utakaofanyika keshokutwa katika Ukumbi wa Mlimani City.
Azam kupitia king’amuzi chake itaonesha uzinduzi huo kupitia Chanel yake ya Sinema Zetu ambapo pia watangazaji wake watafanya mahojiano ya moja kwa moja na wageni watakaohudhuria hafla hiyo.
Akizungumzia kuhusiana na hatua hiyo ya kuonesha tuko hilo Meneja Masoko wa Azam Mgope Kiwanga alisema kuwa king’amuzi hicho kinatambua nafasi ya filamu katika maendeleo ya sanaa na ndio maana imeamua kuunga mkono uzinduzi huo.
Alisema kuwa Azam kupitia chanel yake hiyo wamekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa wapenzi wa filamu za hapa nyumbani wanaangalia kila kinachoendelea katika tasnia hiyo na ndio wameamua kuwaunganisha moja kwa moja kuona tukio hilo.
“Sinema Zetu ni channel ambayo tuliiweka maalum kwa ajili ya filamu za kitanzania na hii filamu ya Homecoming ni zaidi ya filamu kwa kuwa kwanza ina viwango vya uhakika na wananchi wanatakiwa kuoneshwa kila kitu kuhusiana na filamu hiyo” alisema Kiwanga.
 Seko Shamte Producer


 Akizungumzia kuhusiana na filamu hiyo mwongozaji wa Homecoming ambae pia ni Mkurugenzi wa Alkamist Media, Seko Shamte alisema kuwa filamu hiyo itaanza kuoneshwa rasmi kwa kiingilio Januari 29 mwakani lakini Desemba 29 mwaka huu ni ndio inazinduliwa.
Alisema kuwa ni filamu ambayo ina mahudhui yanayozungumzia masuala ya rushwa kitu ambacho ni kero kubwa kwa wananchi na jamii nzima kwa ujumla.


Alisema kuwa kutokana na ujumbe wake na namna ilivyoandaliwa imewavutia wengi ikiwamo kampuni ya Azam Media ambayo kupitia king’amuzi chake cha Azam kimeamua kuuonesha live uzinduzi kwenye channel ya Sinema Zetu.

“Ninapongeza Azam kwa moyo wao kwanza wametutangaza sana wasanii wamefanya mahojiano katika Luninga yao na kisha wataonesha Live uzinduzi hii ni ishara kuwa tutakuwa nao katika kazi nyingi tu na kwa niaba ya Alkamist Media tunaahidi kuendelea kuzalisha kazi zenye ubora unaotakiwa” alisema Seko.


Mwigizaji Mkuu katika filamu hiyo Daniel Kijo aliwataka wananchi kuiunga mkono filamu hiyo pindi itakapoingia sokoni na kuoneshwa kwenye majumba ya sinema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...