Skip to main content

Homecoming live ndani ya Sinema Zetu ya Azam




Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Azam Media itaonesha live uzinduzi wa filamu ya Homecoming utakaofanyika keshokutwa katika Ukumbi wa Mlimani City.
Azam kupitia king’amuzi chake itaonesha uzinduzi huo kupitia Chanel yake ya Sinema Zetu ambapo pia watangazaji wake watafanya mahojiano ya moja kwa moja na wageni watakaohudhuria hafla hiyo.
Akizungumzia kuhusiana na hatua hiyo ya kuonesha tuko hilo Meneja Masoko wa Azam Mgope Kiwanga alisema kuwa king’amuzi hicho kinatambua nafasi ya filamu katika maendeleo ya sanaa na ndio maana imeamua kuunga mkono uzinduzi huo.
Alisema kuwa Azam kupitia chanel yake hiyo wamekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa wapenzi wa filamu za hapa nyumbani wanaangalia kila kinachoendelea katika tasnia hiyo na ndio wameamua kuwaunganisha moja kwa moja kuona tukio hilo.
“Sinema Zetu ni channel ambayo tuliiweka maalum kwa ajili ya filamu za kitanzania na hii filamu ya Homecoming ni zaidi ya filamu kwa kuwa kwanza ina viwango vya uhakika na wananchi wanatakiwa kuoneshwa kila kitu kuhusiana na filamu hiyo” alisema Kiwanga.
 Seko Shamte Producer


 Akizungumzia kuhusiana na filamu hiyo mwongozaji wa Homecoming ambae pia ni Mkurugenzi wa Alkamist Media, Seko Shamte alisema kuwa filamu hiyo itaanza kuoneshwa rasmi kwa kiingilio Januari 29 mwakani lakini Desemba 29 mwaka huu ni ndio inazinduliwa.
Alisema kuwa ni filamu ambayo ina mahudhui yanayozungumzia masuala ya rushwa kitu ambacho ni kero kubwa kwa wananchi na jamii nzima kwa ujumla.


Alisema kuwa kutokana na ujumbe wake na namna ilivyoandaliwa imewavutia wengi ikiwamo kampuni ya Azam Media ambayo kupitia king’amuzi chake cha Azam kimeamua kuuonesha live uzinduzi kwenye channel ya Sinema Zetu.

“Ninapongeza Azam kwa moyo wao kwanza wametutangaza sana wasanii wamefanya mahojiano katika Luninga yao na kisha wataonesha Live uzinduzi hii ni ishara kuwa tutakuwa nao katika kazi nyingi tu na kwa niaba ya Alkamist Media tunaahidi kuendelea kuzalisha kazi zenye ubora unaotakiwa” alisema Seko.


Mwigizaji Mkuu katika filamu hiyo Daniel Kijo aliwataka wananchi kuiunga mkono filamu hiyo pindi itakapoingia sokoni na kuoneshwa kwenye majumba ya sinema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.