Skip to main content

Homecoming live ndani ya Sinema Zetu ya Azam




Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Azam Media itaonesha live uzinduzi wa filamu ya Homecoming utakaofanyika keshokutwa katika Ukumbi wa Mlimani City.
Azam kupitia king’amuzi chake itaonesha uzinduzi huo kupitia Chanel yake ya Sinema Zetu ambapo pia watangazaji wake watafanya mahojiano ya moja kwa moja na wageni watakaohudhuria hafla hiyo.
Akizungumzia kuhusiana na hatua hiyo ya kuonesha tuko hilo Meneja Masoko wa Azam Mgope Kiwanga alisema kuwa king’amuzi hicho kinatambua nafasi ya filamu katika maendeleo ya sanaa na ndio maana imeamua kuunga mkono uzinduzi huo.
Alisema kuwa Azam kupitia chanel yake hiyo wamekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa wapenzi wa filamu za hapa nyumbani wanaangalia kila kinachoendelea katika tasnia hiyo na ndio wameamua kuwaunganisha moja kwa moja kuona tukio hilo.
“Sinema Zetu ni channel ambayo tuliiweka maalum kwa ajili ya filamu za kitanzania na hii filamu ya Homecoming ni zaidi ya filamu kwa kuwa kwanza ina viwango vya uhakika na wananchi wanatakiwa kuoneshwa kila kitu kuhusiana na filamu hiyo” alisema Kiwanga.
 Seko Shamte Producer


 Akizungumzia kuhusiana na filamu hiyo mwongozaji wa Homecoming ambae pia ni Mkurugenzi wa Alkamist Media, Seko Shamte alisema kuwa filamu hiyo itaanza kuoneshwa rasmi kwa kiingilio Januari 29 mwakani lakini Desemba 29 mwaka huu ni ndio inazinduliwa.
Alisema kuwa ni filamu ambayo ina mahudhui yanayozungumzia masuala ya rushwa kitu ambacho ni kero kubwa kwa wananchi na jamii nzima kwa ujumla.


Alisema kuwa kutokana na ujumbe wake na namna ilivyoandaliwa imewavutia wengi ikiwamo kampuni ya Azam Media ambayo kupitia king’amuzi chake cha Azam kimeamua kuuonesha live uzinduzi kwenye channel ya Sinema Zetu.

“Ninapongeza Azam kwa moyo wao kwanza wametutangaza sana wasanii wamefanya mahojiano katika Luninga yao na kisha wataonesha Live uzinduzi hii ni ishara kuwa tutakuwa nao katika kazi nyingi tu na kwa niaba ya Alkamist Media tunaahidi kuendelea kuzalisha kazi zenye ubora unaotakiwa” alisema Seko.


Mwigizaji Mkuu katika filamu hiyo Daniel Kijo aliwataka wananchi kuiunga mkono filamu hiyo pindi itakapoingia sokoni na kuoneshwa kwenye majumba ya sinema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...