Skip to main content

Simba yaendelea kujiweka vizuri na msumu ujao ya shusha straika kutoka Ghana



simba_muda

Sweetbert Lukonge na Hans Mloli

WAKATI benchi la ufundi la timu ya Simba likiendelea kuwafanyia tathimini baadhi ya wachezaji wake wa kimataifa wanaofanya majaribio ya kutafuta nasafi ya kusajiliwa kwa ajili ya msimu ujao, uongozi wa klabu hiyo unatarajia kushusha straika mpya kutoka nchini Ghana.

Kwa jinsi mipango ilivyo, straika huyo anatarajiwa kutua nchi leo au kesho na kwenda moja kwa moja mkoani Morogoro kuungana na kikosi cha timu hiyo kilichojichimbia huko kwa ajili ya maandalizi yake ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuanza kutimua vumbi Agosti 20, mwaka huu.

Atakapofika huko, straika huyo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mpaka tunaenda mitamboni, atafanyiwa majaribio na Kocha Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog ambaye anaendelea na harakati zake za kukisuka upya kikosi hicho.

Habari za kuaminika kutoka ndani ya Simba zimedai kuwa ujio wa straika huyo klabuni hapo umetokana na uongozi wa klabu hiyo kufanyiwa mipango na baadhi ya maofisa wa timu ya soka ya Medeama ambao waliwaomba wawatafutie mshambuliaji wakati  walipokuwa hapa nchini na kikosi chao kwa ajili ya mechi ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Yanga.

“Ni kweli kabisa kesho au keshokutwa Jumanne tunaweza kumpokea straika mpya kutoka Ghana ambaye anakuja kufanya majaribio na endapo ataonyesha uwezo wa juu utakaomridhisha kocha basi tutamsajili.

“Straika huyo tumefanyiwa mipango na baadhi ya viongozi wa Medeama ya Ghana ambao tuliwaomba watutafutie wakati walipokuwa hapa nchini na kikosi chao kwa ajili ya kucheza na Yanga katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika,” kilisema chanzo hicho cha habari.

Alipotafutwa Katibu Mkuu wa Simba, Patrick Kahemele ili azungumzie suala hilo hakupatikana, lakini alipotafutwa makamu wa rais wa  klabu hiyo, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ alipatika na alipoulizwa alionyesha mshangao kisha akauliza: “Nani kakwambia jambo hilo, hakuna kitu kama hicho, siku ile ya mechi ya tulikwenda kuwapongeza tu Medeama na hakuna kitu kingine tulichozungumza nao lakini kama kuna lolote itajulikana.”Source Global Publishers

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.