Skip to main content

Simba yaendelea kujiweka vizuri na msumu ujao ya shusha straika kutoka Ghana



simba_muda

Sweetbert Lukonge na Hans Mloli

WAKATI benchi la ufundi la timu ya Simba likiendelea kuwafanyia tathimini baadhi ya wachezaji wake wa kimataifa wanaofanya majaribio ya kutafuta nasafi ya kusajiliwa kwa ajili ya msimu ujao, uongozi wa klabu hiyo unatarajia kushusha straika mpya kutoka nchini Ghana.

Kwa jinsi mipango ilivyo, straika huyo anatarajiwa kutua nchi leo au kesho na kwenda moja kwa moja mkoani Morogoro kuungana na kikosi cha timu hiyo kilichojichimbia huko kwa ajili ya maandalizi yake ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuanza kutimua vumbi Agosti 20, mwaka huu.

Atakapofika huko, straika huyo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mpaka tunaenda mitamboni, atafanyiwa majaribio na Kocha Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog ambaye anaendelea na harakati zake za kukisuka upya kikosi hicho.

Habari za kuaminika kutoka ndani ya Simba zimedai kuwa ujio wa straika huyo klabuni hapo umetokana na uongozi wa klabu hiyo kufanyiwa mipango na baadhi ya maofisa wa timu ya soka ya Medeama ambao waliwaomba wawatafutie mshambuliaji wakati  walipokuwa hapa nchini na kikosi chao kwa ajili ya mechi ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Yanga.

“Ni kweli kabisa kesho au keshokutwa Jumanne tunaweza kumpokea straika mpya kutoka Ghana ambaye anakuja kufanya majaribio na endapo ataonyesha uwezo wa juu utakaomridhisha kocha basi tutamsajili.

“Straika huyo tumefanyiwa mipango na baadhi ya viongozi wa Medeama ya Ghana ambao tuliwaomba watutafutie wakati walipokuwa hapa nchini na kikosi chao kwa ajili ya kucheza na Yanga katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika,” kilisema chanzo hicho cha habari.

Alipotafutwa Katibu Mkuu wa Simba, Patrick Kahemele ili azungumzie suala hilo hakupatikana, lakini alipotafutwa makamu wa rais wa  klabu hiyo, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ alipatika na alipoulizwa alionyesha mshangao kisha akauliza: “Nani kakwambia jambo hilo, hakuna kitu kama hicho, siku ile ya mechi ya tulikwenda kuwapongeza tu Medeama na hakuna kitu kingine tulichozungumza nao lakini kama kuna lolote itajulikana.”Source Global Publishers

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...