Skip to main content

kipigo cha Medeama:Pluijm kutoa ripoti





Kocha wa Mukuu ta klabu ya Yanga, Hans van Der Pluijm anatarajia kukabidhi kwa uongozi ripoti yake ya mchezo uliopita wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Medeama ambao walifungwa mabao 3-1.
Yanga ilifungwa na Medeama, Jumanne wiki hii nchini Ghana na kuzima matumaini ya kucheza nusu fainali katika michuano hiyo kutoka Kundi A kwani ina pointi moja tu huku kinara TP Mazembe ikiwa na pointi 10.
Inahitajika miujiza ili Yanga itinge nusu fainali kwani Medeama ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi tano sawa na MO Bejaia iliyopo nafasi ya tatu. Timu zote zimebakisha mechi mbili
Ripoti hiyo ya Pluijm inatarajiwa kuwa na mambo mengi kwani juzi Alhamisi baada ya kuwasili nchini kutoka Ghana, aliwatupia lawama mabeki wake kwa kusema ndiyo chanzo cha kufungwa.
Akizungumza na Championi Jumamosi, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Hussein Nyika alisema muda wowote kuanzia leo, Pluijm atakabidhi ripoti hiyo kwa uongozi.
“Kuna mambo mengi tuliyaona katika mechi hiyo lakini kwa sasa hatuwezi kufanya lolote mpaka tutakapopata ripoti ya kocha ambayo atatupa muda wowote kuanzia kesho (leo),” alisema Nyika.
Alipoulizwa Pluijm kuhusiana na ripoti yake hiyo, alisema: “Tayari nimeshaiandaa na muda wowote nitaikabidhi kwa uongozi.”
Yanga itacheza na MO Bejaia ya Algeria, Agosti 13, mwaka huu jijini Dar es Salaam halafu itaenda Lubumbashi, DR Congo kucheza na TP Mazembe kati ya Agosti 23 na 24, mwaka huu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.