KUFUATIA ugumu wa namba katika kikosi cha kwanza cha Real Madrid, huenda Mateo Kovacic akarudisha majeshi katika Ligi Kuu ya Italia, huku AC Milan ikiripotiwa kumtaka kiungo huyo kwa mkopo.
Kovacic, 22, alitua Madrid akitokea Inter msimu uliopita kwa dau la pauni mil 31 na mabingwa hao wa Ulaya wanajipanga kumpiga bei mchezaji huyo kwa gharama ya pauni mil 36.

Comments