Skip to main content

ARGENTINA WAANDAMANA KWENYEMVUA KUSHINIKIZA MESSI KUREJEA KIKOSINI

KWA tafsiri ya haraka haraka, unaweza kusema kuwa wanasema asiwatanie, baada ya mamia wa raia wa Argentina juzi kuingia mtaani wakati mvua kubwa ikinyesha wakishinikiza nahodha wa timu ya taifa, Lionel Messi kurejea katika kikosi chao, baada ya kutangaza kustaafu kwa kufungwa katika mechi ya fainali ya Kombe la Copa America. Messi ambaye ni mchezaji bora wa dunia mara tano, amrewahi kucheza fainali tatu za Kombe la Copa America, ambazo ni za mwaka 2007, 2015 na 2016 pia na za Kombe la Dunia za mwaka 2014 na kupoteza zote. Wakati wa mechi ya fainali dhidi ya mahasimu wao Chile alikosa penati ya kwanza wakati wa hatua hiyo ikiwa ni baada ya miamba hao kushindwa kufungana. “Nadhani ndivyo ilivyo. Kibarua changu katika timu ya taifa kimemalizika,” staa huyo alimwambia mwandishi wa habari muda mfupi baada ya kumalizika mechi. Hata hivyo, uamuzi huo haukuwaingia akilini watu mashuhuri nchini argentina, akiwemo rais wao Mauricio Macri na Diego Maradona, juzi jioni kujitokeza kwenye mzunguuko wa Obelisco, ambao ni mmoja wa viwanja vilivyo katikati ya mji wa Buenos Aires ambako kiutamaduni ndipo mashabiki huwa wanakusanyika kusheherekea ushindi katika michezo, ili kumshinikiza staa huyo abadili maamuzi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.