Skip to main content

fainali ya Euro 2016 Ujerumani yasubiria mbabe leo

 


Timu ya taifa ya Ujerumani imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Uero inayoendelea huko nchini Ufaransa baada ya kuifunga timu ya Italia.

img_0154

Ujerumani ambao ndiyo mabingwa wa kombe la dunia walifanikiwa kutinga hatua hiyo baada ya kuifunga timu ya taifa ya Italia kwa jumla ya penalti 6-5.

Mpaka dakika 90 zinamalizika timu hizo zilikuwa zimeshafungana goli 1-1 huku Ujerumani wakiwa wa kwanza kupata bao kwenye dakika ya 65 lililofungwa na Mesut Ozil, lakini dakika ya 78 Leonardo Bonucci aliisawazishia timu yake ya Italia bao hilo kwa njia ya penalti ndipo zikaongezwa dakika 30 hata hivyo hazikuweza kufungana tena.

1467492667747_lc_galleryImage_Italy_s_Giorgio_Chiellini

Mchezo huo ulionekana kuwa na penalti nyingi zikiwa ni jumla ya penalti 18, Ujerumani walikosa jumla ya penalti tatu nao Italia wakikosa penalti nne.

1467489598829_lc_galleryImage_German_supporters_cheer_d

Wachezaji wa Ujerumani waliokosa penalti ni pamoja na Thomas Muller, Mesut Ozil na Bastian Schweinsteiger huku kwa upande wa Italia wachezaji waliokosa penalti ni Matteo Darmian, Simone Zaza, Leonardo Bonucci n

a Graziano Pelle.

Sasa Ujerumani atakutana na mshindi wa mechi ya leo kati ya wenyeji Ufaransa na timu ya taifa ya Iceland.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.