Skip to main content

fainali ya Euro 2016 Ujerumani yasubiria mbabe leo

 


Timu ya taifa ya Ujerumani imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Uero inayoendelea huko nchini Ufaransa baada ya kuifunga timu ya Italia.

img_0154

Ujerumani ambao ndiyo mabingwa wa kombe la dunia walifanikiwa kutinga hatua hiyo baada ya kuifunga timu ya taifa ya Italia kwa jumla ya penalti 6-5.

Mpaka dakika 90 zinamalizika timu hizo zilikuwa zimeshafungana goli 1-1 huku Ujerumani wakiwa wa kwanza kupata bao kwenye dakika ya 65 lililofungwa na Mesut Ozil, lakini dakika ya 78 Leonardo Bonucci aliisawazishia timu yake ya Italia bao hilo kwa njia ya penalti ndipo zikaongezwa dakika 30 hata hivyo hazikuweza kufungana tena.

1467492667747_lc_galleryImage_Italy_s_Giorgio_Chiellini

Mchezo huo ulionekana kuwa na penalti nyingi zikiwa ni jumla ya penalti 18, Ujerumani walikosa jumla ya penalti tatu nao Italia wakikosa penalti nne.

1467489598829_lc_galleryImage_German_supporters_cheer_d

Wachezaji wa Ujerumani waliokosa penalti ni pamoja na Thomas Muller, Mesut Ozil na Bastian Schweinsteiger huku kwa upande wa Italia wachezaji waliokosa penalti ni Matteo Darmian, Simone Zaza, Leonardo Bonucci n

a Graziano Pelle.

Sasa Ujerumani atakutana na mshindi wa mechi ya leo kati ya wenyeji Ufaransa na timu ya taifa ya Iceland.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...