Skip to main content

KWA SASA ARSENAL WANAHITAJI ZAIDI YA SANCHEZ NA OZIL-COLLYMORE

 



Sanchez-Ozil

Arsenal wanahitaji kufanya usajili zaidi kutokana na kukosa wachezaji wenye ubora wa juu huku Mesut Ozil, Alexis Sanchez na Granit Xhaka wakisemwa kwamba si wazuri kwa kiwango hicho, hii ni kwa mujibu wa Stan Collymore.

Arsene Wenger amemsajili Xhaka pekee kwenye dirisha hili la usajili huku akisisitiza kwamba yuko tayari kutumia pesa kusajili isipokuwa kwa wachezaji sahihi tu kabla ya kuanza kwa msimu mpya.

Arsenal tayari wamewakosa Jamie Vardy huku Gonzalo Higuain akitajwa kuwa njiani kujiunga na Juventus, na hivyo basi, Collymore anahisi kwamba kuna uhitaji mkubwa wa klabu hiyo kufanya usajili wa maana zaidi ili kuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa kwenye mbio za kuwania taji la ligi la msimu ujao.

“Bado naamini kwamba timu hii ya Wenger itakuwa katika nafasi nne za juu endapo tu watasajili beki wa kati mzuri na mshambuliaji wa kati mzuri, vinginevyo sidhani kama watakuwa na fursa hiyo,” ameandika kwenye gazeti la Sunday Mirror.

“Kwamba, kwa timu ambayo mawazo yake makubwa ni kupata nafasi ya kushiriki Michuano ya Uefa kila msimu, hii litakuwa ni janga kubwa.

“Ni ukweli ulio wazi kwamba timu ya Wenger ina huo uhitaji, lakini bado anaonekana kuwa mbishi kutumia fedha ambazo hata hivyo si zake, unaweza kuona kwamba wakati wa Arsenal ya Sol Campbell, ukuta ulikuwa hauoenyeki kirahisi.

“Vile vile bado sioni kama Mesut Ozil, Alexis Sanchez au Granit Xhaka ni wachezaji wa viwango vya juu kiasi hicho. Kweli ni wachezaji wazuri. Xhaka ni usajili sahihi, ni mchezaji ambaye ni katili uwanjani lakini vile vile ananyumbulika.

“Lakini hata hivyo usajili huu hauna maana kwamba Arsenal ndio wamemaliza kama ambavyowenzao wamemleta mtu kama Zlatan Ibrahimovic na sasa mbioni kuleta mtu kama Paul Pogba.

“Kama Wenger angemleta Suarez wakati ule, sasa angekuwa anapiga goli za kutisha kuliko hata anavyofanya kunako klabu ya Barcelona,” amemaliza.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.