Skip to main content

KWA SASA ARSENAL WANAHITAJI ZAIDI YA SANCHEZ NA OZIL-COLLYMORE

 



Sanchez-Ozil

Arsenal wanahitaji kufanya usajili zaidi kutokana na kukosa wachezaji wenye ubora wa juu huku Mesut Ozil, Alexis Sanchez na Granit Xhaka wakisemwa kwamba si wazuri kwa kiwango hicho, hii ni kwa mujibu wa Stan Collymore.

Arsene Wenger amemsajili Xhaka pekee kwenye dirisha hili la usajili huku akisisitiza kwamba yuko tayari kutumia pesa kusajili isipokuwa kwa wachezaji sahihi tu kabla ya kuanza kwa msimu mpya.

Arsenal tayari wamewakosa Jamie Vardy huku Gonzalo Higuain akitajwa kuwa njiani kujiunga na Juventus, na hivyo basi, Collymore anahisi kwamba kuna uhitaji mkubwa wa klabu hiyo kufanya usajili wa maana zaidi ili kuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa kwenye mbio za kuwania taji la ligi la msimu ujao.

“Bado naamini kwamba timu hii ya Wenger itakuwa katika nafasi nne za juu endapo tu watasajili beki wa kati mzuri na mshambuliaji wa kati mzuri, vinginevyo sidhani kama watakuwa na fursa hiyo,” ameandika kwenye gazeti la Sunday Mirror.

“Kwamba, kwa timu ambayo mawazo yake makubwa ni kupata nafasi ya kushiriki Michuano ya Uefa kila msimu, hii litakuwa ni janga kubwa.

“Ni ukweli ulio wazi kwamba timu ya Wenger ina huo uhitaji, lakini bado anaonekana kuwa mbishi kutumia fedha ambazo hata hivyo si zake, unaweza kuona kwamba wakati wa Arsenal ya Sol Campbell, ukuta ulikuwa hauoenyeki kirahisi.

“Vile vile bado sioni kama Mesut Ozil, Alexis Sanchez au Granit Xhaka ni wachezaji wa viwango vya juu kiasi hicho. Kweli ni wachezaji wazuri. Xhaka ni usajili sahihi, ni mchezaji ambaye ni katili uwanjani lakini vile vile ananyumbulika.

“Lakini hata hivyo usajili huu hauna maana kwamba Arsenal ndio wamemaliza kama ambavyowenzao wamemleta mtu kama Zlatan Ibrahimovic na sasa mbioni kuleta mtu kama Paul Pogba.

“Kama Wenger angemleta Suarez wakati ule, sasa angekuwa anapiga goli za kutisha kuliko hata anavyofanya kunako klabu ya Barcelona,” amemaliza.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...