Skip to main content

Zawadi Zaidi Kutolewa na Zain !

Zain yatangaza zawadi kabambe katika usajili wa simu

Dakika 30 za maongezi kutolewa kwa kila namba inayosajiliwa
Shilingi 100,000 kushindaniwa kila siku kwa kila mkoa


Dar es Salaam, Oktoba 05, 2010

Kampuni ya simu za mkononi ya Zain, ambayo ndio inayoongoza hapa nchini kwa kutoza viwango nafuu vya huduma za mawasiliano, leo imezindua promosheni yenye lengo la kuwazawadia dakika 30 za bure za muda wa maongezi wateja wanaosajili namba zao.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja wa Zain, Irene Madeje Mlola amesema, kwa kila mteja atakayesajili namba yake, atajipatia muda wa bure wa maongeza wa dakika 30 ambazo ataweza kuzitumia kwa muda wa siku mbili na pia kila siku, shilingi laki moja zitashindaniwa na washindi kutoka mikoa yote nchini.

“Ni jambo la furaha sana kwetu pale tunapoona ya kwamba si tu kuwa mteja wa Zain anakuwa amejihakikishia namba yake kusajiliwa kabla ya muda uliowekwa wa zoezi hili, bali pia tunapoweza kumzawadia kwa hatua aliyochukua. Promosheni hii inalenga wateja ambao wamekuwa wakitumia namba za Zain lakini bado hawajazisajili”, alisema Mlola.

Ili kusajili namba, mteja anachotakiwa kufanya ni kutembelea ofisi za Zain au mawakala zaidi ya elfu sita waliosambaa nchi nzima, akiwa na nyaraka muhimu zinazomtambulisha. Wateja wote ambao hawajasajiliwa watapokea ujumbe wa SMS kila siku kutoka Zain kuwakumbusha kusajili namba zao na kuweza kujishindia zawadi hizi.

Nyaraka za msingi wakati wa usajili wa namba ya simu ni pamoja na kitambulisho cha kazi ama barua ya mwajili, Hati ya kusafiria, leseni ya udereva, kitambulisho cha kupigia ama barua inayotambulika na mamlaka husika za serikali.

Ili mteja anayesajili kadi yake ya Zain anaweza kuhakiki kama tayari amekwisha sajiliwa kwa kuandika *106#, kisha atapokea ujumbe mfupi wa maandishi ambao utaonyesha taarifa za mteja.

Katika kudhihirisha kujidhatiti katika kutoza viwango nafuu vya mawasiliano hapa nchini, pia hivi karibuni Zain ilipunguza kwa zaidi ya asilimia 50 katika gharama za kupiga simu kwenda mitandao mingine. Hadi kufikia sasa, Zain imekwisha sajili wateja takribani milioni nne na nushu, hii ikiwa ni karibia na asilimia 75 ya wateja wake wapatao milioni 5.9.
MWISHO


End
About Bharti Airtel Limited
Bharti Airtel Limited is a leading global telecommunications company with operations in 19 countries across Asia and Africa. The company offers mobile voice & data services, fixed line, high speed broadband, IPTV, DTH, turnkey telecom solutions for enterprises and national & international long distance services to carriers. Bharti Airtel has been ranked among the six best performing technology companies in the world by BusinessWeek. Bharti Airtel had over 188 million customers across its operations at the end of August 2010. To know more visit www.airtel.in

About Zain Tanzania
Zain is a leading telecommunications operator across the Middle East and Africa providing mobile voice and data services to 69.5 million active customers as at 30 June 2009. In terms of country footprint, Zain is the 3rd largest mobile operator in the world with a commercial presence in 24 countries.
Zain was voted the Most Respected Company in Tanzania for 2009 by top CEO’s through a survey conducted in East Africa by Nation Media Group and Price Waterhouse Coopers. Zain’s world class network covers all the regions of Tanzania thus allowing more individuals access to vital communication services. Zain was the first to introduce the Blackberry service in Tanzania. It also provides 3.5G, EDGE/GPRS services which allow customers to access to internet via their handsets and provides them with up-to-date global and local news, sports and entertainment.
Zain Tanzania is committed to supporting the community and environment it serves. Zain’s major community based project ‘Build. Our Nation’ will have provided over Tsh 870 million worth of teaching aids to schools throughout Tanzania by the end of 2010.

For More Enquires Contact
Muganyizi Mutta
Zain Tanzania Public Relations Manager - 0786 670 711

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...