Uongozi wa bendi ya Msondo ngoma kesho itakutana na wapenzi wa bendi hiyo kujadili mustakabali wa bendi hiyo wapi ilipo inapokwenda na kuelekea mwaka 2011 kikao hicho kitakachofanyika katika ukumbi wa Amana Ilala Dar es salaam kitawakutanisha MASENETA akiwemo Juma KIhenge Nasimu Limila Masuod Nassoro Mzee wa Magorofani na wengine wengi ukiwa kama mdau na mpenzi wa bendi hiyo unatakiwa kufika bila kukosa ukipata habari hii mtaarifu na mwenzako
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Comments