Gregory Isaacs (59) (pichani), ambaye alikuwa mwanamuziki wa Reggae, amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa ini nchini Uingereza. Mwanamuziki huyu, ambaye alitokea kutamba sana katika miaka ya 80 na 90, atakumbukwa sana kutokana na vibao vyake matata kama vile Nigh Nurse, You are Number 1, n.k.
LYRICS:
SONG: Night Nurse
SINGER: Gregory Isaacs
LYRICS:
SONG: Night Nurse
SINGER: Gregory Isaacs
Comments