Skip to main content

WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2010






WAANGALIZI wa masuala ya uchaguzi kutoka nchi wanachama wa Ushirikiano wa Kimaendeleo kwa nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wamevitaka VYAMA na wanasiasa wanao wanaia nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao kuwa washindani badala ya maadui kama ilivyo sasa.



Nchi wanachama wa SADC zimetuma ujumbe wa wawakilishi 60 kutoka mataifa mbalimbali, ili kuja Tanzania kuangalia mwenendo wa shughuli nzima ya uchaguzi na kutoa ripoti ya utekelezaji wa demokrasia, ikiwa ni kuitikia mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete.



Akiongea wakati wa utambulisho rasmi wa ujumbe huo, Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa SADC Dr. Tomaz Salomao alisema katika nchi za Kidemokrasia ushindani kati ya chama na chama haupaswi kuwa wa chuki na uadui bali ushindani wenye lengo moja la kuleta maendeleo kwa wapiga kura.



Alisema katika mazingira ya sasa wanasiasa na vyama vyao wanatakiwa kuwa na uvumilivu wa kisiasa wa kiwango cha juu, huku wakieshimu misingi iliyowekwa na utawala wa sheria.



"Tunajua ni wakati wa joto kwa kila mgombea, lakini hilo lisivuruge heshima dhidi ya utawala wa sheria, vyama vyote vinalengo moja la kuleta maendelo kwa wanachi wao ni lazima wajifunze kuishi kama marafiki wanaoshindana lakini si maadui"


Ujumbe huo ambao unaghalamiwa na michango kutoka mfuko wa SADC, utakuwa nchini kwa kipindi chote kuanzia sasa hadi uchaguzi utakapoisha na kutembelea mikoa yote ya bara na visiwani Zanzibar, ambapo watakuwa wakitoa tathimini na ripoti

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.