Skip to main content

WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2010






WAANGALIZI wa masuala ya uchaguzi kutoka nchi wanachama wa Ushirikiano wa Kimaendeleo kwa nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wamevitaka VYAMA na wanasiasa wanao wanaia nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao kuwa washindani badala ya maadui kama ilivyo sasa.



Nchi wanachama wa SADC zimetuma ujumbe wa wawakilishi 60 kutoka mataifa mbalimbali, ili kuja Tanzania kuangalia mwenendo wa shughuli nzima ya uchaguzi na kutoa ripoti ya utekelezaji wa demokrasia, ikiwa ni kuitikia mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete.



Akiongea wakati wa utambulisho rasmi wa ujumbe huo, Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa SADC Dr. Tomaz Salomao alisema katika nchi za Kidemokrasia ushindani kati ya chama na chama haupaswi kuwa wa chuki na uadui bali ushindani wenye lengo moja la kuleta maendeleo kwa wapiga kura.



Alisema katika mazingira ya sasa wanasiasa na vyama vyao wanatakiwa kuwa na uvumilivu wa kisiasa wa kiwango cha juu, huku wakieshimu misingi iliyowekwa na utawala wa sheria.



"Tunajua ni wakati wa joto kwa kila mgombea, lakini hilo lisivuruge heshima dhidi ya utawala wa sheria, vyama vyote vinalengo moja la kuleta maendelo kwa wanachi wao ni lazima wajifunze kuishi kama marafiki wanaoshindana lakini si maadui"


Ujumbe huo ambao unaghalamiwa na michango kutoka mfuko wa SADC, utakuwa nchini kwa kipindi chote kuanzia sasa hadi uchaguzi utakapoisha na kutembelea mikoa yote ya bara na visiwani Zanzibar, ambapo watakuwa wakitoa tathimini na ripoti

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...