Skip to main content

Uturuki yatambua waasi wa Libya


Mazoezi ya waasi Libya


Uturuki imetambua Baraza la Mpito la Kitaifa kama waakilishi wa kweli wa raia wa Libya.

Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema ni wakati sasa kwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi kuondoka.

Uturuki imeahidi kutoa msaada wa dola milioni $200m kwa waasi, hii ni zaidi ya dola milioni $100m walizotangaza kutoa mwezi uliopita.

Waasi wamekataa juhudi za Muungano wa Afrika za kuanzisha mazungumzo kati yao na serikali mjini Tripoli.

Kanali Gaddafi

Msemaji wa waasi Abdel Hafiz Ghoga amesema: "tumekataa mpango huo.Haukutaja kuondoka kwa Gaddafi,watoto wake na washirika wake wakuu."

Lakini kiongozi wa baraza hilo la mpito Mustafa Abdul Jalil amekubali kuwa Kanali Gaddafi anaweza kuishi maisha yake ya kustaafu nchini Libya iwapo tu ataacha madaraka.

" Kama njia ya kuleta suluhu,tumemwambia ajiuzulu na aamrishe majeshi yake kuondoka kwenye kambi na ngome zao, na alafu anaweza akaamua kama ataishi Libya au nje ya Libya," aliambia shirika la habari la Reuters.

"Kama angependa kuishi Libya, tutaamua atakaa wapi na sehemu itakuwa chini ya uangalizi wa kimataifa.Na kutakuwa na uangalizi wa kimataifa kwa kila anachofanya."

'Suluhisho la kudumu'


Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki alikutana na Bwana Jalil mjini Benghazi, ngome kuu ya waasi mashariki mwa Libya,kabla ya kuhutubia waandishi wa habari katika mji huo.

Wito wa raia wa kutaka mabadiliko lazima ufanyiwe kazi, Gaddafi aondoke na Libya isigawanywe

Ahmet Davutoglu.

"Niko hapa kuungana na watu wa Libya. Haki yao ya kimsingi lazima itimizwe,lazima kuwe na suluhisho la kudumu kwa mzozo huu,hilo litawezekana tu kukiwa na suluhisho la kisiasa katika yale ambayo watu wa Libya wanataka.

"Tunaona Baraza la Mpito la Kitaifa kama waakilishi wa kweli wa watu wa Libya na watakaofikia malengo ya watu wa Libya."

Waandishi wanasema safari ya Bwana Davutoglu mjini Benghazi ni ishara kuwa Uturuki - nchi yenye uwezo mkubwa kwenye eneo hilo na mwanachama wa Nato na ambayo kwanza ilipinga hatua ya kijeshi inayoongozwa na nchi za magharibi ya kuwaunga mkono waasi wa Libya - kuwa sasa inaunga mkono wapinzani wa Libya.

Chanzo ni bbckiswahil

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...