Skip to main content

Sudan Ya Kusini Yawa Mwanachama Wa 193 Umoja Wa Mataifa

SUDANI YA KUSINI YAWA MWANACHAMA WA 193 WA UMOJA WA MATAIFA

Na Mwandishi Maalum

New York

Mkutano Mkuu wa 65 wa Umoja wa Mataifa, jana julai 14 umeipitisha kwa kauli moja

Jamhuri ya Sudani ya Kusini kuwa mwanachama

Tukio hilo la kihistoria lililokuwa na msisimko wa aina yake, lilitanguliwa kwanza kwa

kusomwa kwa tamko maalum lililoandaliwa na

wa Mataifa, tamko liloinadi Sudani ya Kusini ili iweze kuingizwa kuwa mwanachama wa

UM.

Bw. Jeffrey Thamsanqa Rabede, Waziri wa

ndiye aliyesoma Tamko

wanachama wa Umoja wa Mataifa.

Akizungumza mara baada ya Jamhuri ya Sudani ya Kusini kukubaliwa rasmi kuwa

mwanachama wa 193 wa Umoja wa Mataifa, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban

Ki Moon alisema.

“ Katika muda huu na mahali hapa, dunia imekusanyika na kutamka kwa kauli moja,

karibu Sudani ya Kusini. Karibu katika Jumuia ya Umoja wa Mataifa” .

Akaendelea kusema “ kwa pamoja hebu na tuwaambie wananchi wa taifa hili jipya.

Sasa mnakaa miongoni mwetu na tunasimama pamoja nanyi”

Naye Rais wa Mkutano wa Mkuu wa 65 Bw. Joseph Deiss amesema, siku ya julai 14

ilikuwa ni siku muhimu sana kwa Afrika na kwa Jumuia ya Kimataifa

Akaelezea matumaini yake kwamba Sudani ya Kusini itaendeleza juhudi za kuhimiza

amani, ulinzi, maendeleo , urafiki na ushiriiano baina ya mataifa mbalimbali.

Akizungumza kwa niaba ya serikali mpya ya Jamhuri ya Sudani ya Kusini ambayo

ilijipatia uhuru wake rasmi julai

Machar,ambaye ndiye aliyeongoza ujumbe wa chini yake, katika tukio hilo alikuwa na

haya ya kusema.

hilo ambalo baadaye lilipitishwa kwa kauli mmoja na nchi

“Ninajisikia mwenye heshima na fahari kubwa kusimama mbele yenu na kuwasilisha

salamu za serikali yangu na watu wake. Kwa kukubali kwenu kulikaribisha taifa hili

jipya kuwa Mwanachama wa Umoja wa Mataifa.

Akiongea kwa hisia , Makamu hiyo wa Rais alisema, harakati za nchi yake za kudai

uhuru wake zimegharimu maisha ya mamilioni ya watu ya, na kwamba kujitoa kwao

mhanga hakutasahaulika kamwe.

“ Tulipoanza safari yetu hatukujua, licha

wakatu ule, kama tungefikia hatua hii ya leo. Tunachotakiwa sasa ni kusonga mbele ili

tuweze kutimiza mataratijo ya watu wetu”

Makamu huyo wa Rais alitoa wito kwa nchi za Eritrea, Ethiopia na Somalia kutumia

njia za majadiliano ili kumaliza migogoro inayoendelea katika nchi hizo. Aidha aliitaka

jumuia ya kimataifa

ambacho kimekuwa kikiendesha mapigano na vitendo vya kikatili

katika baadhi ya nchi nyingine.

Aidha wawakilishi wa makundi ya nchi za Afrika, Asia, Ulaya Mashariki, Amerika ya

Latini, Ulaya ya Magharibi na nchi nyingine, pamoja na nchi mwenyeji Marekani nao

walitoa hotuba za kulikaribisha taifa hilo jipya.

Baada ya Mkutano Mkuu kukamilisha shughuli hiyo kulifuatiwa shughuli ya kupandisha

bendara ya Taifa ya Jamhuri ya Sudani ya Kusini.

Nchi ya mwisho kujiunga na

Montenegro iliyojiunga June 28 mwaka 2006 na kuwa nchi ya 192 baada ya kupata

uhuru wake kutoka Serbia.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...