Skip to main content

Sudan Ya Kusini Yawa Mwanachama Wa 193 Umoja Wa Mataifa

SUDANI YA KUSINI YAWA MWANACHAMA WA 193 WA UMOJA WA MATAIFA

Na Mwandishi Maalum

New York

Mkutano Mkuu wa 65 wa Umoja wa Mataifa, jana julai 14 umeipitisha kwa kauli moja

Jamhuri ya Sudani ya Kusini kuwa mwanachama

Tukio hilo la kihistoria lililokuwa na msisimko wa aina yake, lilitanguliwa kwanza kwa

kusomwa kwa tamko maalum lililoandaliwa na

wa Mataifa, tamko liloinadi Sudani ya Kusini ili iweze kuingizwa kuwa mwanachama wa

UM.

Bw. Jeffrey Thamsanqa Rabede, Waziri wa

ndiye aliyesoma Tamko

wanachama wa Umoja wa Mataifa.

Akizungumza mara baada ya Jamhuri ya Sudani ya Kusini kukubaliwa rasmi kuwa

mwanachama wa 193 wa Umoja wa Mataifa, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban

Ki Moon alisema.

“ Katika muda huu na mahali hapa, dunia imekusanyika na kutamka kwa kauli moja,

karibu Sudani ya Kusini. Karibu katika Jumuia ya Umoja wa Mataifa” .

Akaendelea kusema “ kwa pamoja hebu na tuwaambie wananchi wa taifa hili jipya.

Sasa mnakaa miongoni mwetu na tunasimama pamoja nanyi”

Naye Rais wa Mkutano wa Mkuu wa 65 Bw. Joseph Deiss amesema, siku ya julai 14

ilikuwa ni siku muhimu sana kwa Afrika na kwa Jumuia ya Kimataifa

Akaelezea matumaini yake kwamba Sudani ya Kusini itaendeleza juhudi za kuhimiza

amani, ulinzi, maendeleo , urafiki na ushiriiano baina ya mataifa mbalimbali.

Akizungumza kwa niaba ya serikali mpya ya Jamhuri ya Sudani ya Kusini ambayo

ilijipatia uhuru wake rasmi julai

Machar,ambaye ndiye aliyeongoza ujumbe wa chini yake, katika tukio hilo alikuwa na

haya ya kusema.

hilo ambalo baadaye lilipitishwa kwa kauli mmoja na nchi

“Ninajisikia mwenye heshima na fahari kubwa kusimama mbele yenu na kuwasilisha

salamu za serikali yangu na watu wake. Kwa kukubali kwenu kulikaribisha taifa hili

jipya kuwa Mwanachama wa Umoja wa Mataifa.

Akiongea kwa hisia , Makamu hiyo wa Rais alisema, harakati za nchi yake za kudai

uhuru wake zimegharimu maisha ya mamilioni ya watu ya, na kwamba kujitoa kwao

mhanga hakutasahaulika kamwe.

“ Tulipoanza safari yetu hatukujua, licha

wakatu ule, kama tungefikia hatua hii ya leo. Tunachotakiwa sasa ni kusonga mbele ili

tuweze kutimiza mataratijo ya watu wetu”

Makamu huyo wa Rais alitoa wito kwa nchi za Eritrea, Ethiopia na Somalia kutumia

njia za majadiliano ili kumaliza migogoro inayoendelea katika nchi hizo. Aidha aliitaka

jumuia ya kimataifa

ambacho kimekuwa kikiendesha mapigano na vitendo vya kikatili

katika baadhi ya nchi nyingine.

Aidha wawakilishi wa makundi ya nchi za Afrika, Asia, Ulaya Mashariki, Amerika ya

Latini, Ulaya ya Magharibi na nchi nyingine, pamoja na nchi mwenyeji Marekani nao

walitoa hotuba za kulikaribisha taifa hilo jipya.

Baada ya Mkutano Mkuu kukamilisha shughuli hiyo kulifuatiwa shughuli ya kupandisha

bendara ya Taifa ya Jamhuri ya Sudani ya Kusini.

Nchi ya mwisho kujiunga na

Montenegro iliyojiunga June 28 mwaka 2006 na kuwa nchi ya 192 baada ya kupata

uhuru wake kutoka Serbia.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.