Skip to main content

NI TWANGA NA MSONDO NGOMA ...


TWANGA PEPETA NA MSONDO KUMCHANGIA NGURUMO MATIBABU.

Bendi ya African Stars “Twanga Pepeta” imepanga kufanya onesho maalum kwa ajili ya kumchangia fedha za matibabu mwanamuziki mkongwe wa Bendi ya Msondo Ngoma Music Muhidin Ngurumo.

Onyesho hilo maalum linataraji kufanyika katika ukumbi wa Mango Garden uliopo Maeneo ya Kinondoni hapa Jijini Dar es salaam siku ya Jumamosi tarehe 23-07-2011.

Burudani inataraji kutolewa na Twanga Pepeta yenyewe sambamba na Msondo Ngoma wenyewe na sehemu ya mapato ya onyesho hili yataenda kwa ajili ya kumchangia Mzee Ngurumo matibabu yake. Pia Kimwana wa Twanga Pepeta 2011 Mary Khamis anataraji kuonesha ustadi wake katika kusakata mitindo ya Twanga Pepeta.

Sehemu kubwa ya maandalizi yamekwisha kukamilika ili kufanikisha onyesho hilo na Twanga Pepeta itatumia onyesho hilo kwa ajili ya kutangaza albamu yake mpya inayotarajiwa kutambulishwa hapo baadae mwaka huu. Nyimbo zilizomo kwenye albamu mpya ya Twanga Pepeta ni pamoja na Kauli, Kiapo cha Mapenzi, Umenivika Umasikini, Mtoto wa Mwisho, Dunia Daraja na Penzi la Shemeji.

Twanga Pepeta imeamua kuandaa onesho hilo baada ya kuguswa na kutambua mchango mkubwa katika tasnia ya muziki alioutoa Mzee Ngurumo ikiwa ni pamoja na kuwa mshauri wa karibu wa Bendi ya Twanga Pepeta ambayo wakati ikikua alikuwa akiwafunda wanamuziki wa Twanga Pepeta kwa vipindi tofauti.

ASET inapenda kuwaomba wapenzi wa Muziki wa Dansi kuhudhuria kwa wingi katika onesho hili maalum ili kumchangia Mzee Ngurumo fedha za matibabu. Kwa kuingia kwenye onesho basi utakuwa umemchangia Mzee Ngurumo matibabu na kisha utapata burudani mbili kali toka kwa Msondo Ngoma, Twanga Pepeta na Kimwana wa Twanga Pepeta 2011 Mary Khamis.

Hassan Rehani.

Mratibu wa Onyesho

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.