Skip to main content

NAPE AKANUSHA HABARI ZA GAZETI LA MWANAHALISI KWAMBA AMGEUKIA RAIS JAKAYA KIKWETE AJIVUE GAMBA

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye
----
Na Mwandishi Wetu-Dodoma

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye amesema jitihada zake za kutetea matumizi mazuri ya raslimali za nchi hazitaendelea licha ya baadhi ya matajiri kupanga njama za kumchafua.

Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za makao makuu ya CCM mjini Dodoma leo, Nape alikanusha habari zilizoandikwa na gazeti la Mwanahalisi zenye kichwa cha habari : "Nape amgeukia Kikwete,ataka ajivue gamba"."Nimemini msimamo wangu umekuwa mwiba mkali kwa watu wengi, ambao baadhi yao wanaamini kuwa wanaweza kutumia fedha zao na nafasi zao kufanya wanavyotaka, nitaendelea kusimama imara kutetea matumizi bora ya raslimali ya nchi yangu," alisema.

Alisema vita dhidi yake vilianza pale alipoonyesha msimamo wake wa kupambana na ufisadi ambapo Aliwataka wana CCM na Watanzania kuyapuuza yaliyoandikwa katika gezti hilo ambayo amesema si kweli na hayana maana.Nape alisema mara zote penye ukweli uongo hujitenga na kuhoji kama hayo maneno aliyazungumza alipotembelea gazeti la Mtanzania, kwanini yasiandikwe huko na yakaandikwe na mwanahalisi ambao hawakuwepo.

Alibainisha kuwa lengo la ziara yake katika gazeti la Mtanzania ilikuwa ni kuweka uhusiano mzuri na vyombo vya habari nchini na hilo halikuwa gazeti la kwanza kulitembelea."Lengo lao ni kutaka kutugombanisha , wana CCM wapuuze kwani wanataka kuturudisha nyuma," alisema.
Alisema wakati anaanza mapambano dhidi ya ufisadi, baadhi ya watu walidhani ni nguvu za soda, lakini wameamua kujibu mashambulizi baada ya kuona wote waliokuwa kwenye mapambano hayo wana pumzi za kutosha.

Nape alisema kuwa ana taarifa kuwa mipango hiyo ni endelevu ambapo kundi la watu limepanga kuwavuruga baada ya kuona CCM hivi sasa inafanikiwa kurudisha imani yake kwa wananchi.

Alielezea kusikitishwa na habari hizo za nwana halisi ambazo zilimkariri Nape akisema Kikwenye ndiyo chanzo cha matatizo ndani ya chama ambapo hata walipompigia simu hivi karibuni na kumhoji aliwakatalia, lakini alishangaa wakaziandika.

Nape alisema hakuwa na mazungumzo ya siri alipofika Mtanzania kwani alikutana na wahariri na kuzungumza nao kama alivyofanya katika vyombo vingine vya habari.
Wakati huo huo habari zinasema kuwa mmoja wa vigogo wanaotuhumiwa na ufisadi na kutakiwa kujivua gamba ndani ya CCM amejiuzulu.Habari za kuaminika zinasema kuwa kiongozi huyo (jina tunalo) ameshatoa taarifa zake za kujiuzulu nafasi zake ndani ya Chama.
Hata hivyo Nape alipoulizwa kuhusiana na hilo hakutaka kuzungumza lolote.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.