Skip to main content

NAPE AKANUSHA HABARI ZA GAZETI LA MWANAHALISI KWAMBA AMGEUKIA RAIS JAKAYA KIKWETE AJIVUE GAMBA

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye
----
Na Mwandishi Wetu-Dodoma

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye amesema jitihada zake za kutetea matumizi mazuri ya raslimali za nchi hazitaendelea licha ya baadhi ya matajiri kupanga njama za kumchafua.

Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za makao makuu ya CCM mjini Dodoma leo, Nape alikanusha habari zilizoandikwa na gazeti la Mwanahalisi zenye kichwa cha habari : "Nape amgeukia Kikwete,ataka ajivue gamba"."Nimemini msimamo wangu umekuwa mwiba mkali kwa watu wengi, ambao baadhi yao wanaamini kuwa wanaweza kutumia fedha zao na nafasi zao kufanya wanavyotaka, nitaendelea kusimama imara kutetea matumizi bora ya raslimali ya nchi yangu," alisema.

Alisema vita dhidi yake vilianza pale alipoonyesha msimamo wake wa kupambana na ufisadi ambapo Aliwataka wana CCM na Watanzania kuyapuuza yaliyoandikwa katika gezti hilo ambayo amesema si kweli na hayana maana.Nape alisema mara zote penye ukweli uongo hujitenga na kuhoji kama hayo maneno aliyazungumza alipotembelea gazeti la Mtanzania, kwanini yasiandikwe huko na yakaandikwe na mwanahalisi ambao hawakuwepo.

Alibainisha kuwa lengo la ziara yake katika gazeti la Mtanzania ilikuwa ni kuweka uhusiano mzuri na vyombo vya habari nchini na hilo halikuwa gazeti la kwanza kulitembelea."Lengo lao ni kutaka kutugombanisha , wana CCM wapuuze kwani wanataka kuturudisha nyuma," alisema.
Alisema wakati anaanza mapambano dhidi ya ufisadi, baadhi ya watu walidhani ni nguvu za soda, lakini wameamua kujibu mashambulizi baada ya kuona wote waliokuwa kwenye mapambano hayo wana pumzi za kutosha.

Nape alisema kuwa ana taarifa kuwa mipango hiyo ni endelevu ambapo kundi la watu limepanga kuwavuruga baada ya kuona CCM hivi sasa inafanikiwa kurudisha imani yake kwa wananchi.

Alielezea kusikitishwa na habari hizo za nwana halisi ambazo zilimkariri Nape akisema Kikwenye ndiyo chanzo cha matatizo ndani ya chama ambapo hata walipompigia simu hivi karibuni na kumhoji aliwakatalia, lakini alishangaa wakaziandika.

Nape alisema hakuwa na mazungumzo ya siri alipofika Mtanzania kwani alikutana na wahariri na kuzungumza nao kama alivyofanya katika vyombo vingine vya habari.
Wakati huo huo habari zinasema kuwa mmoja wa vigogo wanaotuhumiwa na ufisadi na kutakiwa kujivua gamba ndani ya CCM amejiuzulu.Habari za kuaminika zinasema kuwa kiongozi huyo (jina tunalo) ameshatoa taarifa zake za kujiuzulu nafasi zake ndani ya Chama.
Hata hivyo Nape alipoulizwa kuhusiana na hilo hakutaka kuzungumza lolote.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...