Skip to main content

Vodacom Miss Tanzania Genevieve Emmanue Tayari Kuelekea China


MKUTANO Mkuu wa Tisa wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), umemchagua Easther Mkwizu akimkabidhi bendera ya taifa Vodacom Miss Tanzania Genevieve Emmanuel tayari kwa safari yake ya kwenda nchini China kushiriki mashindano ya dunia ya Urembo yatakayofanyika Oktoba 31,2010.

Mama mzazi wa Miss Tanzania Genevieve wakiwa na aliyekuwa mgeni rasmi Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Chama Cha Wafanyabiashara Sekta Binafsi nchini Ester Mkwizu na baba yake Emmanuel Mpangala.
Vodacom Miss Tanzania 2010 Ginevieve Emmanuel ametakiwa kulinda heshima yake pamoja na nchi yake awapo katika mashindano ya Miss World kwa kuwa amepewa dhamana ya kuibeba nchi na Amani ya Tanzania.

Nasaha hizo zimetolewa Dar es Salaam leo na Mwenyekiti wa Sekta binafsi, Ester Mkwizu wakati akimkabidhi bendera ya Taifa mrembo huyo tayari kwa safari ya kuelekea China kwenye mashindano ya Dunia ya Urembo ya 'Miss World'.

Ginevieve anatarajia kuondoka kesho kuelekea nchini China kwa ajili ya Mashindano ya Miss World yatakayofanyika Oktoba 31 mwaka huu, na kushirikisha zaidi ya warembo 120 kutoka nchi mbalimbali Duniani ambapo jana mrembo huyo aliagwa na viongozi mbalimbali akiwemo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Herman Mwansoko na MKurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) Emmanuel Olenaiko pamoja na viongozi mbalimbali.

Ginevieve ametakiwa kuwa jasiri na kupita kifua mbele, mbele ya warembo wengine wote wanaoshiriki mashindano hayo kwa kuwa anavigezo vyote vya kuiwaklisha nchi yake katika mashindano hayo.

"Ginevieve unakwenda kubeba dhamana ya nchi, nenda kifua mbele ukiwa unatoka kwenye nchi ya amani na ulinde heshima yako pamoja na heshima ya nchi yako hapo utafanikiwa, na sisi wanzania tunakuombea dua uweze kutwaa taji la Dunia,"alisema Mkwizu.

Mwenyekiti huyo ameipongeza Kamati ya Miss Tanzania kwa kuendesha mashindano hayo kwa ufanisi mkubwa na kwamba Serikali itaendelea kuwaunga mkono kutokana na Sekta hiyo ya Urermbo kuongeza pato la Taifa kupitia masuala ya utalii na kuenzi pia Utamaduni wa Tanzania.

Naye Ginevieve amewataka watanzania kuondoa hofu juu yake na kwamba hatotishika na wapinzani wake kutokana na maandalizi mazuri ya kisaikolojia aliyoyapata kutoka kwa walezi wake wa Kamati ya Miss Tanzania.

"Nawatoa hofu watanzania ingawa nitashindana na warembo zaidi ya 120 kamwe sitatishika nao, nimeandaliwa vizuri kisaikolojia,"alisema Ginevieve.

Alisema kutokana na fursa hiyo na dhamana aliyopewa na Taifa atahakikisha anatangaza vivutio vya Tanzania kupitia kwa warembo wenzie kutoka nchi mbalimbali pamoja na sekta zote zilizopo nchini.

"kupitia upande wa siasa nitaitangaza Tanzania hasa amani iliyopo na fursa hii nitaitumia bila uoga nawaomba tu watanzania waniombee dua kwani ninajiamini na ninaimani taji la Miss World litatua nchini,"alisema Ginevieve.

Mrembo huyo ataondoka leo na ndege ya Qatar air kwa ajili ya kambi ya Miss World itakayoanza Oktoba mosi mwaka huu na safari yake itapitia Mongolia ambapo atakaa kwa muda wa siku tatu na baada ya hapo atakwenda Shangai ambako pia atakaa kwa siku tatu kisha ataelekea China kabla ya kutua Kusini Sanya kwa mashindano hayo.

Mrembo huyo ni wa 17 kushiriki mashindano ya Miss World tangu kuanzishwa kwa mashindano ya Miss Tanzania 1994 ambapo watanzania wanategemea makubwa kutoka kwake kwa kua ameandaliwa vizuri na walezi wake Kamati ya Miss Tanzania.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...