Skip to main content

Ni Kimbembe cha Kuwaniua Fainal Africa 2012

Lobamba, Ghana
TIMU za taifa za Ghana na Nigeria, zimeibuka na ushindi katika mechi za kusaka tiketi ya kucheza fainali za Matiafa ya Afrika zitakazofanyika 2012.

Mjini Lobamba, Ghana 'Black Stars', timu inayoongoza katika viwango vya ubira wa soka barani Afrika na iliyocheza fainali za Dunia nchini Afrika Kusini na kutinga hatua ya robo fainali, iliibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Swaziland.

Andre Ayew aliifungia bao la kwanza dakika ya 13, kabla ya Prince Tagoe kuiongezea Ghana bao la pili dakika ya 70 na Hans Sarpei alimaliza bao la tatu dakika ya 81 na kupanda juu ya Sudan katika Kundi I.

Nigeria, ambayo ilitwaa pointi moja katika fainali za Kombe la Dunia, iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Madagascar mjini Calabar, mabao yaliyofungwa na Obafemi Martins dakika ya 19 na Michael Eneramo dakika ya 45.

Lakini, ushindi huo uliisaidia timu hiyo kushika nafasi ya pili katika Kundi B, nyuma ya Guinea iliyoichapa Ethiopia mabao 4-1 mjini Addis Ababa.


Ethiopia walikuwa wa kwanza kupata bao lililofungwa na Umed Ukuri dakika ya 30. Lakini, Ibrahima Yattara aliisawazishia timu yake bao dakika ya 37.

Bao la pili la washindi lilifungwa na Karamoko Cisse dakika ya 60 na Kamil Zayatte alimalizia kufunga bao la nne dakika ya 75 na kuifanya Guinea itoke uwanjani na pointi tatu.

Katika Kundi A, Liberia na Zimbabwe zilitoka sare ya bao 1-1 na kuiacha Cape Verde Islands kuongoza kundi hilo baada ya kuichapa Mali 1-0 bao 1-0, Jumamosi.

Zambia ilikaa juu katika Kundi baada ya kuifunga Comoro mabao 4-0 mjini Lusaka, mechi ambayo ilichezwa baada ya masaa 24 kutokana na kcuhewa kwa waamuzi wa mchezo huo.

Rainford Kalaba aliifungia Zambia bao la kwanza dakika ya tano na Fwayo Tembo aliiongezea bao la pili dakika ya 30 na James Chamanga alifunga bao la tatu dakika ya 40.

Zambia waliingia kipindi cha pili kwa kulisakama lango la wapinzani wao ambapo dakika ya 83, Emmanuel Mayuka aliifungia bao la nne na kuwafanya Chipolopolo watoke uwanjani wakiwa na furaha.

Mechi nyingine katika kundi hilo, Msumbiji na Libya, zilitoka suluhu, mjini Maputo.

Mamadou Niang alifunga mabao matatu mjini Lubumbashi na kuiwezesha Senegal kutoka uwanjani kifua mbele wakiwa na mabao 4-2 dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC).

Moussa Sow aliwafungia wageni bao la kwanza dakika ya tatu. Niang aliifungia mabao dakika ya 10na 19, kabla ya bao la penalti alilofungwa dakika ya 68. Wenyeji walijipatia mabao yao kupitia kwa Patou Kabangu dakika ya 44 na 83.

Cameroon wanaongoza Kundi E baada ya kuichapa Mauritius Jumamosi.

Mechi ya Kund F, kati ya Gambia na Namibia mjini Banjul iliahirishwa, wakati Cedric Amissi aliipatia bao timu yake dakika tano na kuzifanya timu hizo za Kundi H, kati ya Burundi na Benin kumalizika kwa sare ya bao 1-1.

Mabingwa wa Afrika, Misri ilitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Sierra Leone mjini Cairo.

Pharaohs walipata bao lao kupitia kwa Alhassan Bangura dakika ya 56, lakini Mahmoud Fathallah aliisaiwazishia timu yake dakika nne baadaye.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...