Skip to main content

FM Academia Kuzindua Albam Idd Mos





MWANAMZIKI mpya wa bendi ya FM academia, Hafsa Kazinja,(kushoto) akiimba mbele ya waandishi wa habari Dar es salaam jana wakati wa utambulisho wa uzinduzi wa albam mpya ya vuta nikufute itakayozinduliwa siku ya Iddi mosi katikati ni rais wa bendi hiyo Nyoshi el Sadaat na Ofisa Mahusiano wa Kampuni ya Zain Muganyizi Mutta ambao ni wazamini
BENDI ya Muziki wa dansi ya FM Academia 'Ngwasuma' inatarajia kumtambulisha mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Hafsa Kazinja aliyejiunga na bendi hiyo hivi karibuni.

Utambulisho huo utaenda sambamba na uzinduzi wa albamu ya sita ya bendi hiyo ya Vuta ni Kuvute unaotarajia kufanyika sikukuu ya Idd mosi katika ukumbi wa Diaomd Jubilee, Dar es Salaam.

Akizungumza Dar es Salaam leo, Rais wa bendi hiyo Nyoshi el Saadat alisema, mwanamuziki huyo ameshiriki kuimba katika baadhi ya nyimbo zilizopo katika albamu hiyo ambapo katika uzinduzi huo atatambulishwa rasmi pamoja na wanamuziki wengine wanne kutokea Kongo (DRC) waliojiunga na bendi hiyo hivi karibuni.

Alisema, wanamuziki hao pia wameshiriki kwa kiasi kikubwa katika kuimba nyimbo za albamu hiyo ambapo mashabiki wakae tayari kusikia sauti mpya katika albamu hiyo ikiwa ni pamoja na za wanamuziki wakongwe wa bendi hiyo.

"Tutamtambulisha Hafsa ikiwa ni pamoja na wanamuziki wengine wanne waliojiunga na bendi hii hivi karibuni na wameshiriki katika kuimba baadhi ya nyimbo zilizopo katika albamu yetu hii mpya," alisema Nyoshi.

Aliwataja wanamuziki hao watakaotambulishwa sambamba na Hafsa kuwa ni Kamanyola, Ngronii, Sosoliso na Chekeda ambapo baadhi yao ni waimbaji na wapiga vyombo.

Alizitaja nyimbo zilizopo katika albamu hiyo kuwa ni Vuta ni Kuvute, Heshima kwa Wanawake, Mwili wangu, Angalia shida yangu, Fadhila kwa mama, Usiku wa Jumatano, Mgeni, Jasmin, Intro Ngwasuma Mathematics Mayemba, Heineken Ngwasuma na Moses Katumbi.

Alisema, pamoja na kutambulisha nyimbo hizo pia zitapambwa na mitindo mipya ambayo wataitambulisha rasmi siku hiyo ingwa imeishaanza kusikika kama Pikipiki, Mayemba na Utamu wa Vanila.

Nyoshi alisema wadhamini katika uzinduzi huo ni Henken ambao pia watazindua bia ya Henken mpya iliyokatika ujazo mdogo ambayo mtumiaji hatahitajika kurudisha chupa pindi ainunuapo wakiwa pamoja na mtandao wa simu wa Zain ambao umedhamini kisi cha fedha zaidi ya sh. Milioni 15 kwa ajili ya uzinduzi huo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...