Skip to main content

FM Academia Kuzindua Albam Idd Mos





MWANAMZIKI mpya wa bendi ya FM academia, Hafsa Kazinja,(kushoto) akiimba mbele ya waandishi wa habari Dar es salaam jana wakati wa utambulisho wa uzinduzi wa albam mpya ya vuta nikufute itakayozinduliwa siku ya Iddi mosi katikati ni rais wa bendi hiyo Nyoshi el Sadaat na Ofisa Mahusiano wa Kampuni ya Zain Muganyizi Mutta ambao ni wazamini
BENDI ya Muziki wa dansi ya FM Academia 'Ngwasuma' inatarajia kumtambulisha mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Hafsa Kazinja aliyejiunga na bendi hiyo hivi karibuni.

Utambulisho huo utaenda sambamba na uzinduzi wa albamu ya sita ya bendi hiyo ya Vuta ni Kuvute unaotarajia kufanyika sikukuu ya Idd mosi katika ukumbi wa Diaomd Jubilee, Dar es Salaam.

Akizungumza Dar es Salaam leo, Rais wa bendi hiyo Nyoshi el Saadat alisema, mwanamuziki huyo ameshiriki kuimba katika baadhi ya nyimbo zilizopo katika albamu hiyo ambapo katika uzinduzi huo atatambulishwa rasmi pamoja na wanamuziki wengine wanne kutokea Kongo (DRC) waliojiunga na bendi hiyo hivi karibuni.

Alisema, wanamuziki hao pia wameshiriki kwa kiasi kikubwa katika kuimba nyimbo za albamu hiyo ambapo mashabiki wakae tayari kusikia sauti mpya katika albamu hiyo ikiwa ni pamoja na za wanamuziki wakongwe wa bendi hiyo.

"Tutamtambulisha Hafsa ikiwa ni pamoja na wanamuziki wengine wanne waliojiunga na bendi hii hivi karibuni na wameshiriki katika kuimba baadhi ya nyimbo zilizopo katika albamu yetu hii mpya," alisema Nyoshi.

Aliwataja wanamuziki hao watakaotambulishwa sambamba na Hafsa kuwa ni Kamanyola, Ngronii, Sosoliso na Chekeda ambapo baadhi yao ni waimbaji na wapiga vyombo.

Alizitaja nyimbo zilizopo katika albamu hiyo kuwa ni Vuta ni Kuvute, Heshima kwa Wanawake, Mwili wangu, Angalia shida yangu, Fadhila kwa mama, Usiku wa Jumatano, Mgeni, Jasmin, Intro Ngwasuma Mathematics Mayemba, Heineken Ngwasuma na Moses Katumbi.

Alisema, pamoja na kutambulisha nyimbo hizo pia zitapambwa na mitindo mipya ambayo wataitambulisha rasmi siku hiyo ingwa imeishaanza kusikika kama Pikipiki, Mayemba na Utamu wa Vanila.

Nyoshi alisema wadhamini katika uzinduzi huo ni Henken ambao pia watazindua bia ya Henken mpya iliyokatika ujazo mdogo ambayo mtumiaji hatahitajika kurudisha chupa pindi ainunuapo wakiwa pamoja na mtandao wa simu wa Zain ambao umedhamini kisi cha fedha zaidi ya sh. Milioni 15 kwa ajili ya uzinduzi huo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...