Skip to main content

FM Academia Kuzindua Albam Idd Mos





MWANAMZIKI mpya wa bendi ya FM academia, Hafsa Kazinja,(kushoto) akiimba mbele ya waandishi wa habari Dar es salaam jana wakati wa utambulisho wa uzinduzi wa albam mpya ya vuta nikufute itakayozinduliwa siku ya Iddi mosi katikati ni rais wa bendi hiyo Nyoshi el Sadaat na Ofisa Mahusiano wa Kampuni ya Zain Muganyizi Mutta ambao ni wazamini
BENDI ya Muziki wa dansi ya FM Academia 'Ngwasuma' inatarajia kumtambulisha mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Hafsa Kazinja aliyejiunga na bendi hiyo hivi karibuni.

Utambulisho huo utaenda sambamba na uzinduzi wa albamu ya sita ya bendi hiyo ya Vuta ni Kuvute unaotarajia kufanyika sikukuu ya Idd mosi katika ukumbi wa Diaomd Jubilee, Dar es Salaam.

Akizungumza Dar es Salaam leo, Rais wa bendi hiyo Nyoshi el Saadat alisema, mwanamuziki huyo ameshiriki kuimba katika baadhi ya nyimbo zilizopo katika albamu hiyo ambapo katika uzinduzi huo atatambulishwa rasmi pamoja na wanamuziki wengine wanne kutokea Kongo (DRC) waliojiunga na bendi hiyo hivi karibuni.

Alisema, wanamuziki hao pia wameshiriki kwa kiasi kikubwa katika kuimba nyimbo za albamu hiyo ambapo mashabiki wakae tayari kusikia sauti mpya katika albamu hiyo ikiwa ni pamoja na za wanamuziki wakongwe wa bendi hiyo.

"Tutamtambulisha Hafsa ikiwa ni pamoja na wanamuziki wengine wanne waliojiunga na bendi hii hivi karibuni na wameshiriki katika kuimba baadhi ya nyimbo zilizopo katika albamu yetu hii mpya," alisema Nyoshi.

Aliwataja wanamuziki hao watakaotambulishwa sambamba na Hafsa kuwa ni Kamanyola, Ngronii, Sosoliso na Chekeda ambapo baadhi yao ni waimbaji na wapiga vyombo.

Alizitaja nyimbo zilizopo katika albamu hiyo kuwa ni Vuta ni Kuvute, Heshima kwa Wanawake, Mwili wangu, Angalia shida yangu, Fadhila kwa mama, Usiku wa Jumatano, Mgeni, Jasmin, Intro Ngwasuma Mathematics Mayemba, Heineken Ngwasuma na Moses Katumbi.

Alisema, pamoja na kutambulisha nyimbo hizo pia zitapambwa na mitindo mipya ambayo wataitambulisha rasmi siku hiyo ingwa imeishaanza kusikika kama Pikipiki, Mayemba na Utamu wa Vanila.

Nyoshi alisema wadhamini katika uzinduzi huo ni Henken ambao pia watazindua bia ya Henken mpya iliyokatika ujazo mdogo ambayo mtumiaji hatahitajika kurudisha chupa pindi ainunuapo wakiwa pamoja na mtandao wa simu wa Zain ambao umedhamini kisi cha fedha zaidi ya sh. Milioni 15 kwa ajili ya uzinduzi huo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.