Skip to main content

Walio ibuka na ushindi Jackpot wakabidhiwa million 85 leo


Washindi wawili  wa Jackpot  leo wamekabidhiwa million 85 na Kampuni ya Bahati Nasibu ya Premier Bet Tanzania , imekabidhi hundi hiyo  kwa washindi hao wa Jackpot ya soka kwa Flavian Msigala kutoka Dar es Salaam na Robert Daniel kutoka Mpanda huku kila mmoja atajinyakulia mill 42.5.

Akizungumza na waandishi wa jijini Dar es Salaam,Afisa rasilimali watu na Meneja utawala Amanda Reuben Kombe amesema kuwa kampuni hiyo pamoja na Michezo mingine wamekua wakiendesha mchezo wa Jackpot ya soka kupitia vituo vya mawakala wao na maduka kote nchini Tanzania.
Aidha amesema ikampuni hiyo, imekua ikiendesha shughuli zake kwa kufuata misingi yote ya kubashiri timu ambayo imewekwa, hivyo amewataka wananchi kuendelea kubashiri michezo mbalimbali kupitia premier bet ili kuboresha maisha yao endapo wataibuka washindi na kuachana na propaganda kuwa washindi hupangwa.

“Kampuni yetu ya Premier Bet huendeshwa kwa kufuata kanuni na sheria ya michezo ya kubahatisha hivyo nawaomba watanzania waendelee kubashiri michezo mbalimbali hasa kwenye Jackpot na kutuamini ili tuweze kubadilisha maisha yao “amesema Amanda.
Kwa upande wake, mshindi wa jackpot hiyo kutoka Mpanda, Robert Daniel ameipongeza kampuni hiyo kwa kutenda haki ya kuweza kuwapatia fedha hizo ambazo zitawasidia kuendesha maisha yao.
“Naipongeza sana kampuni hii, kwani imeweza kubadilisha maisha yake, kutoka mkulima wa mpunga na mfugaji ambapo kwa anaweza kumiliki nyumba na kuwa mfanyabiashara na kuweza kuendesha maisha yake kwa uhakika ” amesema Robert

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...