Skip to main content

Walio ibuka na ushindi Jackpot wakabidhiwa million 85 leo


Washindi wawili  wa Jackpot  leo wamekabidhiwa million 85 na Kampuni ya Bahati Nasibu ya Premier Bet Tanzania , imekabidhi hundi hiyo  kwa washindi hao wa Jackpot ya soka kwa Flavian Msigala kutoka Dar es Salaam na Robert Daniel kutoka Mpanda huku kila mmoja atajinyakulia mill 42.5.

Akizungumza na waandishi wa jijini Dar es Salaam,Afisa rasilimali watu na Meneja utawala Amanda Reuben Kombe amesema kuwa kampuni hiyo pamoja na Michezo mingine wamekua wakiendesha mchezo wa Jackpot ya soka kupitia vituo vya mawakala wao na maduka kote nchini Tanzania.
Aidha amesema ikampuni hiyo, imekua ikiendesha shughuli zake kwa kufuata misingi yote ya kubashiri timu ambayo imewekwa, hivyo amewataka wananchi kuendelea kubashiri michezo mbalimbali kupitia premier bet ili kuboresha maisha yao endapo wataibuka washindi na kuachana na propaganda kuwa washindi hupangwa.

“Kampuni yetu ya Premier Bet huendeshwa kwa kufuata kanuni na sheria ya michezo ya kubahatisha hivyo nawaomba watanzania waendelee kubashiri michezo mbalimbali hasa kwenye Jackpot na kutuamini ili tuweze kubadilisha maisha yao “amesema Amanda.
Kwa upande wake, mshindi wa jackpot hiyo kutoka Mpanda, Robert Daniel ameipongeza kampuni hiyo kwa kutenda haki ya kuweza kuwapatia fedha hizo ambazo zitawasidia kuendesha maisha yao.
“Naipongeza sana kampuni hii, kwani imeweza kubadilisha maisha yake, kutoka mkulima wa mpunga na mfugaji ambapo kwa anaweza kumiliki nyumba na kuwa mfanyabiashara na kuweza kuendesha maisha yake kwa uhakika ” amesema Robert

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.