Skip to main content

Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC) wakagua Mradi wa WHC iliyopo Kigamboni

 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing (WHC), Dk Fred Msemwa akifafanua jambo wakati akitoa maelezo kwa  Kamati ya Bunge ya  Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC) wakati ilipotembelea na kukagua miradi ya WHC iliyopo Kigamboni Gezaulole na Bunju jijini Dar es salaam.
Kamati ya Bunge ya  Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC) wakikagua Mradi wa WHC iliyopo Kigamboni Gezaulole jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya nyumba za WHC zilizopo Kigamboni Gezaulole jijini Dar es Salaam.
 Miradi ya WHC iliyopo Bunju B jijini Dar es Salaam.

 Dar es Salaam.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Taasisi ya Watumishi Housing (WHC) kuendelea kuwa wabunifu wa kijenga nyumba na kuuza gharama nafuu na kutoa muda wa miaka 25 kwa mkopaji ili aweze kulipa deni lake.

Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati kamati hiyo ikifanya ziara ya kukagua miradi ya WHC iliyopo Gezaulole Kigamboni pamoja na Bunju B, Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge na Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Negy Kaboyoka, amesema kuwa wamelizika na utendaji wa WHC katika utekelezaji wa miradi yao.

Mhe. Kaboyoka amesema  kuwa lengo la ziara hiyo ni kukagua nyumba za WHC ili kuona kama fedha za mifuko ya hifadhi ya jamii zinatumika kama zilivyokusudiwa.
"Tunakagua fedha za wananchi ambazo WHC wamekopeshwa na mifuko ya hifadhi ya jamii zinatumika kama zilivyokusudiwa, nyumba zina ubora na zinapangishika" amesema Mhe. Kaboyoka.

Mhe. Kaboyoka alifafanua kuwa tunafanya ziara hii ili kuhakikisha fedha za wananchi zisitumike tofauti na kusababisha mifuko ya hifadhi ya jamii kufilisika.

Hata hivyo amesema kuwa licha ya ubora wa nyumba za WHC, lakini kuna vitu vinapaswa kufanyiwa kazi ikiwemo kurekebisha miundombinu ya barabara, huduma za kijamii, zahanati pamoja na shule ya awali.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa WHC Dkt. Fred Msemwa, amesema  kuwa WHC inaendelea a njia mbalimbali za kibunifu ili kuhakikisha kila mtu anamiliki  nyumba yake kwa gharama nafuu.

Dkt. Msemwa amesema kuwa katika mradi Gezaulole Kigamboni umekamilika kwa asilimia 95 na sasa  wapo katika hatua ya mwisho ujenzi wa miundombinu ya barabara.

"Mradi wa bungu B umekabilika kwa asilimia 98 na tayari baadhi ya familia 20 wameaza kuishi" amesema Dkt. Msemwa.

Amesema kuwa kwa sasa wamefungua fursa kwa wafanyakazi wa sekta binafsi kuweza kukopa nyumba WHC katika miradi yao iliyopo katika mikoa I9 hapa nchini.

Dkt. Msemwa amefafanua kuwa kwa sasa kuna utaratibu wa mnunuzi mpangaji ambaye ni mtu yoyote anayepewa mkopo wa nyumba kutoka WHC na kuanza kuishi, huku akiendelea  kulipa deni lake kwa awamu.

Amesema kuwa kufanya hivyo inampa fursa mtanzania mwenye kipato cha chini   kumiliki nyumba kuliko kuendelea kuwa mapangaji bila kuwa na faida.

Amesema  kuwa lengo la WHC ni kuhakikisha kila mtu anakuwa na makazi bora, huku akibainisha sasa wapo katika kutekeleza mpango wa kujenga nyumba 500 katika Mkoa wa Dodoma.

Ameeleza kuwa watanzania wanapaswa kuendelea kujitokea WHC kwa ajili ya kununua au kukopa nyumba kwa bei nafuu kwa ajili ya kupata nyumba bora za kisasa.
WHC ni taasisi ya umma ambayo ilianzishwa mwaka 20I3 inayojihusisha na ujenzi wa nyumba za bei nafuu pamoja na usimamizi katika miliki.

WHC inafanya kazi kwa ushirikiano na mashirika yote ya Pensheni ikiwemo Mfuko wa Akiba kwa Watumishi wa Serikali (GEPF), Mfuko wa Taifa wa Hifadhi wa Jamii (NSSF), Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) pamoja na Mfuko wa Pensheni kwa Mashirika ya Umma (PPF).

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...