Skip to main content

Kambi:kongamano na maonesho ya Saba Afya Jumuiya ya Afrika Mashariki Kufanyika Dar Machi 27

 Kongamano la Maonesho ya Awamu ya Saba ya afya, sayansi na Biashara Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na maonyesho ya kimataifa limepangwa kuanza Machi 27 hadi 29 mwaka huu Jijini Dar es Salaam.


Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam leo  na Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhamad Kambi wakati akitoa taarifa ya kongamano na maonesho hayo yatayofanyika kwa siku tatu.

Amesema kuwa kongamano hilo ni la saba na kwamba lengo ni kubadilishana mawazo kati ya washiriki ya namna ya kutumia Tekolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika uendeshaji wa huduma za afya katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC).

“ Maandalizi yameshafanyika kikao cha mwisho kilifanyika Burundi baada ya miaka kitafanyika Kenya tunatarajia Samia atalifungua Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julis Nyerere” amesema Profesa Kambi.

Amebainisha kuwa kongamano hilo litakwenda sambamba na maonesho ya Tehama huku akiwasisitiza wananchi kushiriki kupata fursa zitakazowasilishwa.

Amesisitiza kuwa matumizi ya Tehama kwa kiasi kikubwa yamesaidia katika utoaji tiba, ufuatiliaji wa magonjwa  ya binadamu pamoja na uendeshaji wa hosptali kwenye ukusanyaji na udhibiti wa mapato.

Kwa upande wake Katibu Mtendaji wa Tume ya Utafiti katika Afya ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EARC), Profesa  Gibson Kibiki amesema kuwa kongamano na maonesho hayo ni mpango mkakati wa miaka 10 na kwamba utaanza kutumika siku ya ufunguzi.
Profesa Kibiki amesema kuwa kongamano litaangalia namna bora ya kutumia Tehama kwenye sekta ya afya ili kufanikisha mpango mkakati huo.

Amefafanua kuwa  kauli mbiu ya mwaka huu ni Teknolojia kwa ajili ya kubadili mifumo ya afya ili kutimiza malengo endelevu ya Umoja wa Mataifa (UN).

Naye Mwenyekiti wa Kongamano hilo, Profesa Eligius Lyamuya amesema walipokea mada 200 na kuzichuja kubakia 90 ambapo 10  ni mtambuka huku 80 zikitarajiwa kuwasilishwa kwa makundi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Taifa ya  Utafiti wa Magonjwa nchini (NIMR), Profesa Yunus Mgaya amesema kongamano hilo litashirikisha nchi sita wanachama wa EAC  na kwamba wananchi wataofika kushuhudia wataona namna Tehama inavyotumika kwenye sekta hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...