Skip to main content

Kambi:kongamano na maonesho ya Saba Afya Jumuiya ya Afrika Mashariki Kufanyika Dar Machi 27

 Kongamano la Maonesho ya Awamu ya Saba ya afya, sayansi na Biashara Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na maonyesho ya kimataifa limepangwa kuanza Machi 27 hadi 29 mwaka huu Jijini Dar es Salaam.


Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam leo  na Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhamad Kambi wakati akitoa taarifa ya kongamano na maonesho hayo yatayofanyika kwa siku tatu.

Amesema kuwa kongamano hilo ni la saba na kwamba lengo ni kubadilishana mawazo kati ya washiriki ya namna ya kutumia Tekolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika uendeshaji wa huduma za afya katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC).

“ Maandalizi yameshafanyika kikao cha mwisho kilifanyika Burundi baada ya miaka kitafanyika Kenya tunatarajia Samia atalifungua Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julis Nyerere” amesema Profesa Kambi.

Amebainisha kuwa kongamano hilo litakwenda sambamba na maonesho ya Tehama huku akiwasisitiza wananchi kushiriki kupata fursa zitakazowasilishwa.

Amesisitiza kuwa matumizi ya Tehama kwa kiasi kikubwa yamesaidia katika utoaji tiba, ufuatiliaji wa magonjwa  ya binadamu pamoja na uendeshaji wa hosptali kwenye ukusanyaji na udhibiti wa mapato.

Kwa upande wake Katibu Mtendaji wa Tume ya Utafiti katika Afya ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EARC), Profesa  Gibson Kibiki amesema kuwa kongamano na maonesho hayo ni mpango mkakati wa miaka 10 na kwamba utaanza kutumika siku ya ufunguzi.
Profesa Kibiki amesema kuwa kongamano litaangalia namna bora ya kutumia Tehama kwenye sekta ya afya ili kufanikisha mpango mkakati huo.

Amefafanua kuwa  kauli mbiu ya mwaka huu ni Teknolojia kwa ajili ya kubadili mifumo ya afya ili kutimiza malengo endelevu ya Umoja wa Mataifa (UN).

Naye Mwenyekiti wa Kongamano hilo, Profesa Eligius Lyamuya amesema walipokea mada 200 na kuzichuja kubakia 90 ambapo 10  ni mtambuka huku 80 zikitarajiwa kuwasilishwa kwa makundi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Taifa ya  Utafiti wa Magonjwa nchini (NIMR), Profesa Yunus Mgaya amesema kongamano hilo litashirikisha nchi sita wanachama wa EAC  na kwamba wananchi wataofika kushuhudia wataona namna Tehama inavyotumika kwenye sekta hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.