Skip to main content

RC Makonda :Awaomba wantanzania kuonesha uzalendo kwa kuishangilia Taifa Stars

BAADA ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuwa imetaja Kamati maalum ya wajumbe 14 kwa ajili ya kuisaidia timu ya taifa, Taifa Stars ifuzu fainali za kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)  
zitakazofanyika kuanzia Juni 21 hadi Julai 19 mwaka huu nchini Misri.

kamati hiyo inayoongozwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ambaye ni mwenyekiti na katibu ni Mhandisi Hersi Said imesema kuwa jukumu kubwa la kamati hiyo ni kuhakikisha timu hiyo ya taifa inapata ushindi katika mchezo wake wa mwisho wa kundi L kuwania tiketi hiyo ya AFCON dhidi ya timu ya taifa ya Uganda (Uganda Crane) katika mchezo utakaochezwa uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam Machi 24.


Kikosi cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars tayari kimeingia kambini  katika 
hoteli ya Bahari Beach iliyopo Kunduchi mjini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa mwisho wa Kundi Lkufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika baadaye mwezi huu.

Akizungumza na waandishi wa habri jana Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alisema 
Taifa Stars watakuwa wenyeji wa Uganda,The Cranes Machi 24, mwaka huu Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam katika mchezo wa mwisho waKundi L kufuzu AFCON Juni 2019 nchini Misri.

Alisema  Stars inahitaji ushindi tu katika mchezo huo wa mwisho ili kufuzu AFCON ya pili kihistoria, huku ikiombea matokeo mabaya Lesotho mbele ya Cape Verde mjini Praia katika mchezo mwingine wa mwisho wa Kundi L.

"Timu hii ni watanzania wote na hivyo tumekutana hapa kwa lengo moja tu la kueleza kuwa kila mtanzania anawajibu wa kuonesha uzalendo wa nchi yake na hivyo tungependa kusema kuwa watanzania waoneshe mapenzi katika mchezo huu muhimu,"alisema Makonda.


Kwa upande wa timu ya Uganda tayari imejihakikishia kucheza AFCON ya Juni nchini Misri baada ya kufikisha pointi 13, wakati Lesotho inayoshika nafasi ya pili kwa pointi zake tano sawa na Tanzania na Cape Verde yenye pointi nne zote zina nafasi ya kuungana na The Cranes.


Timu mbili katika msimamo huo kufuzu kutoka kundi hilo na kama Lesotho itaifunga Cape Verde basi hata Taifa Stars ikiifunga Uganda haitafuzu kwa sababu katika mechi mbili dhidi ya Mamba ilitoa sare na kufungwa ugenini. 


Pamoja na kwamba imekwishafuzu, lakini Uganda inayofundishwa na Mfaransa, Sebastien Desabre imepania kutopoteza mechi hiyo na imepanga kuweka kambi yake mjini Ismailia nchini Misri .

Kikosi cha Taifa Stars kilichoingia kambini  kinaundwa na makipa; Aishi Manula (Simba SC), Aaron Kalambo (Tanzania Prisons), Metacha Mnata (Mbao FC) na Suleiman Salula (Malindi SC).

Mabeki; Hassan Kessy (Nkana FC - Zambia), Gardiel Michael (Yanga SC), Kelvin Yondan (Yanga SC), Vincent Philipo (Mbao FC), Ally Mtoni ‘Sonso’ (Lipuli FC), Andrew Vincent ‘Dante’ (Yanga SC), Kennedy Wilson (Singida United) na Aggrey Morris (Azam FC).

Viungo;  Feisal Salum (Yanga SC), Jonas Mkude (Simba SC), Himid Mao (Petrojet FC - Misri), Mudathir Yahya (Azam FC), Shiza Kichuya (ENPPI - Misri), Simon Msuva (Difaa El Jadida – Morocco) na Farid Mussa (Tenerife B).

Washambuliaji; Yahya Zayd (Ismailia - Misri), Shaaban Iddi Chilunda (CD Izara – Hispania), 
Rashid Mandawa (BDF XI - Botswana), Thomas Ulimwengu (JS Saoura - Algeria), John Bocco (Simba SC)na Mbwana Samatta (KRC Genk – Ubelgiji). 

Naye ameita kikosi imara ambacho kinaundwa na  makipa; Denis Onyango (Mamelodi Sundowns), Jamal Salim (El Merreikh), Charles Lukwago (KCCA FC) na Nicholas Sebwato (Onduparaka FC).

Mabeki; Isaac Isinde (Kirinya Jinja SS), Murushid Juuko (Simba SC), Timothy Awanyi (KCCA FC),
Denis Iguma (Kazma FC), Nicholas Wadada (Azam FC), Musitafa Mujuzi (Proline FC), Godfrey Walusimbi (Gor Mahia) FC, Isaac Muleme (Haras El Hodood), Joseph Ochaya (Lusaka Dynamo), Hassan Wasswa (El 

Geish), Khalid Aucho(Huru), Ibrahim Saddam Juma (KCCA FC), Tadeo Lwanga (Vipers SC), Opondo Moses( Vendsyssel) na Allan Kateregga (Cape Town City).

Washambuliaji ni Faruku Miya (Gorica ), Moses Waisswa (Vipers Sc), Yunus Sentamu (FK Tirana), Martin Kizza (Sc Villa Jogoo), Allan Kyambadde (KCCA FC), Emmanuel Okwi (Simba SC), Edrisa Lubega (SV Ried), Derrick Nsibambi 

(Smouha),Patrick Kaddu (KCCA FC), William Luwagga Kizito (FC Bate Borisov) na Yasser Mugerwa (Fasil Kenema).

Mwishoo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.