Skip to main content

IGP SIRRO AONGOZA MAAFISA, ASKARI NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA NAIBU KAMISHNA WA POLISI DCP MATANGA MBUSHI.


Image result for picha ya IGP SIRRO AONGOZA MAAFISA, ASKARI NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA NAIBU KAMISHNA WA POLISI DCP MATANGA MBUSHI
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro akiweka sahihi kwenye kitabu cha waombolezaji baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi, aliyefariki dunia tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la Polisi).

Image result for picha ya IGP SIRRO AONGOZA MAAFISA, ASKARI NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA NAIBU KAMISHNA WA POLISI DCP MATANGA MBUSHI
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro, akiteta jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu IGP Said Mwema wakati walipokutana nyumbani kwa Marehemu Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi, katika kambi ya Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni jijini Dar es salaam, msiba huo ulitokea tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la Polisi).
Image result for picha ya IGP SIRRO AONGOZA MAAFISA, ASKARI NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA NAIBU KAMISHNA WA POLISI DCP MATANGA MBUSHI 
Maofisa wa Jeshi la Polisi wakiingiza mwili wa Marehemu Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi katika Kanisa la Parokia ya Mt. Petro lililopo Oysterbay jijini Dar es salaam kwa ajili ya  misa ya kuuaga, msiba huo ulitokea tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la Polisi).

Image result for picha ya IGP SIRRO AONGOZA MAAFISA, ASKARI NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA NAIBU KAMISHNA WA POLISI DCP MATANGA MBUSHI

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro akiaga mwili wa marehemu Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi, katika Kanisa la Parokia ya Mt. Petro Oysterbay jijini Dar es salaam msiba huo ulitokea tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la Polisi).

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...