Skip to main content

IGP SIRRO AONGOZA MAAFISA, ASKARI NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA NAIBU KAMISHNA WA POLISI DCP MATANGA MBUSHI.


Image result for picha ya IGP SIRRO AONGOZA MAAFISA, ASKARI NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA NAIBU KAMISHNA WA POLISI DCP MATANGA MBUSHI
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro akiweka sahihi kwenye kitabu cha waombolezaji baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi, aliyefariki dunia tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la Polisi).

Image result for picha ya IGP SIRRO AONGOZA MAAFISA, ASKARI NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA NAIBU KAMISHNA WA POLISI DCP MATANGA MBUSHI
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro, akiteta jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu IGP Said Mwema wakati walipokutana nyumbani kwa Marehemu Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi, katika kambi ya Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni jijini Dar es salaam, msiba huo ulitokea tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la Polisi).
Image result for picha ya IGP SIRRO AONGOZA MAAFISA, ASKARI NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA NAIBU KAMISHNA WA POLISI DCP MATANGA MBUSHI 
Maofisa wa Jeshi la Polisi wakiingiza mwili wa Marehemu Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi katika Kanisa la Parokia ya Mt. Petro lililopo Oysterbay jijini Dar es salaam kwa ajili ya  misa ya kuuaga, msiba huo ulitokea tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la Polisi).

Image result for picha ya IGP SIRRO AONGOZA MAAFISA, ASKARI NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA NAIBU KAMISHNA WA POLISI DCP MATANGA MBUSHI

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro akiaga mwili wa marehemu Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi, katika Kanisa la Parokia ya Mt. Petro Oysterbay jijini Dar es salaam msiba huo ulitokea tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la Polisi).

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...