Skip to main content

Zantel yakabidhi zawadi za Smartphone ICE2 kwa washindi wa droo ya wiki ya Tumia Eazy Pesa Ushinde

Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Zantel imewakabidhi zawadi za Simu za Smartphone ICE2 washindi wa Jumatano ya wiki iliyopita wa Droo ya Wiki ya Tumia Eazy Pesa Ushinde.

Akikabidhi zawadi hizo kwa washindi wa droo hiyo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Zantel, Rukia Mtingwa amesema washindi 30 wa wiki wamekabidhiwa zawadi hizo ambapo kati yao watano wamepewa jijini humo huku 25 waliobaki wanatoka Visiwa vya Unguja na Pemba.

“ Tulifanya droo ya Tumia Eazypesa Ushinde Jumatano iliyopita washindi 30 wanakabidhiwa zawadi ya Simu ya Smartphone ICE2 watano wanakabidhiwa hapa mmoja wao anaishi Dar waliobaki Unguja na Pemba,” amesema Rukia.

Amebainisha kuwa washindi wa droo ya mwezi ya Tumia Eazypesa na Ushinde watakabidhiwa fedha taslimu ambapo mshindi wa kwanza atapata Sh milioni moja, wa pili Sh 500,000, wa tatu Sh 300,00 huku mshindi wa nne hadi wa 10 kila mmoja atakabidhiwa Sh 200,000.

Amewataja miongoni mwa washindi hao ni Mohamed Kapoma, Suleiman Ally Suleiman mkazi wa Ukonga, Swibawahi Sheikh na Jabir Abdallah.

Mshindi wa droo hiyo, Suleiman amesema alipopigiwa simu kuambiwa ameshinda hakuamini lakini baadaye aliamini hivyo aliwataka wananchi kujiunga na mtandao wa Zantel kupata zawadi na huduma bora.

Naye mshindi, Swibawahi amesema alipigiwa simu akiwa nyumbani na kwamba amefurahi kupata zawadi hiyo na kwamba amewaomba wananchi wajiunge ili washinde.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...