Skip to main content

Zantel yakabidhi zawadi za Smartphone ICE2 kwa washindi wa droo ya wiki ya Tumia Eazy Pesa Ushinde

Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Zantel imewakabidhi zawadi za Simu za Smartphone ICE2 washindi wa Jumatano ya wiki iliyopita wa Droo ya Wiki ya Tumia Eazy Pesa Ushinde.

Akikabidhi zawadi hizo kwa washindi wa droo hiyo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Zantel, Rukia Mtingwa amesema washindi 30 wa wiki wamekabidhiwa zawadi hizo ambapo kati yao watano wamepewa jijini humo huku 25 waliobaki wanatoka Visiwa vya Unguja na Pemba.

“ Tulifanya droo ya Tumia Eazypesa Ushinde Jumatano iliyopita washindi 30 wanakabidhiwa zawadi ya Simu ya Smartphone ICE2 watano wanakabidhiwa hapa mmoja wao anaishi Dar waliobaki Unguja na Pemba,” amesema Rukia.

Amebainisha kuwa washindi wa droo ya mwezi ya Tumia Eazypesa na Ushinde watakabidhiwa fedha taslimu ambapo mshindi wa kwanza atapata Sh milioni moja, wa pili Sh 500,000, wa tatu Sh 300,00 huku mshindi wa nne hadi wa 10 kila mmoja atakabidhiwa Sh 200,000.

Amewataja miongoni mwa washindi hao ni Mohamed Kapoma, Suleiman Ally Suleiman mkazi wa Ukonga, Swibawahi Sheikh na Jabir Abdallah.

Mshindi wa droo hiyo, Suleiman amesema alipopigiwa simu kuambiwa ameshinda hakuamini lakini baadaye aliamini hivyo aliwataka wananchi kujiunga na mtandao wa Zantel kupata zawadi na huduma bora.

Naye mshindi, Swibawahi amesema alipigiwa simu akiwa nyumbani na kwamba amefurahi kupata zawadi hiyo na kwamba amewaomba wananchi wajiunge ili washinde.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.