Skip to main content

Kampuni ya Botch kutoka Ujerumani kujakuwekeza nchini

KAMPUNI ya Uwekezaji kutoka Ujerumani Botch  kutoka Ujerumani
inatazamiwa kuinua  pato la Taifa inchini na hivyo taasisi mbalimbali hapa nchini
zimetakiwa kuchangamkia fursa kupata manufaa.

Kuja kwa uwekezaji kumetajwa utawezesha kujengwa kwa karakana ya
kurepea magari hivyo kutoa fursa na kipaombele kwa vijana wa kitanzani
waliosomea fani mbalimbali ikiwemo vyuo vya ufundi stadi VETA kupata
ajira na utaalamu wa kiwango cha juu zaidi.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Angela Kairuki amezitaka
taasisi  hapa nchini kutumia fursa ya ujio wa kampuni  hiyo ya Botch.

Hayo yalisemwa na Waziri huyo mwenye dhamana juzi jijini Dar es Salaam katika kikao cha pamoja na wawekezaji alisema kuwa  wawekezaji hao wako tayari kuwekeza kwenye maeneo mengi ikiwemo
vifaa  vya majumbani, Friji na hita pamoja na vifaa vya magari, ujenzi na mashine za mawasiliano na usalama vitakavyouzwa soko landani na nje ya nchini.


Alisema kuwa ujio huo tayari imewekeza katika nchi nyingi Afrika
na endapo watafungua Kiwanda hapa Tanzania wataweza kuzalisha hita za
kuchemshia maji zaidi ya elfu 20 kwa mwaka na kwa ushirikiano wa nchi za
Afrika Mashariki kutakuwa na soko la magari zaidi ya laki sita hadi
milioni moja.

Katika hatua hiyo tayari imetajwa kuwa migodi mingi hapa nchini
inahitaji mashine mbalimbali kwa ajili uchimbaji hivyo Ujerumani
ina historia ya utafiti wa madini hapa nchini ambao utawezesha
sekta hiyo kukua zaidi.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Uwekezaji TIC
John Mnali amesema kuwa kampuni hiyo ni kubwa na imejikita kwenye sekta
nyingi hivyo wakianzisha kampuni yao ya kwanza watapewa huduma zote muhimu
ili wawe na imani na Tanzania katika sekta hiyo na kuongeza Uwekezaji.

Naye Bi Nzeyimana Dyegula kutoka Shirika la reli amesema ujio wa kampuni ya
Botch toka ujerumani utawasaidia kuboresha mfumo wa mawasiliano kati ya
kituo na kituo kwenye ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...