Skip to main content

Uongozi soko la Mabibo umesema unajitaidi kuboresha mazingira ikilinganishwa na hapo awali

Tokeo la picha la soko la Mabibo

UONGOZI wa soko la Mabibo maarufu mahakama ya ndizi umesema kuwa kwa sasa unajitaidi kuboresha mazingira ikilinganishwa na hapo awali kabla ya utawala mpya wa soko.
Akizungumza Jijini Dar es Salaam leo Meneja Masoko wa soko hilo James Msulwa alisema kuwa limejiimarisha katika suala la usafi na usalama wa raia ikilinganishwa na kipindi cha nyuma.

Amesema Soko hilo lipo chini ya uendeshaji wa serikali kwa sasa ambapo makusanyo ya maduhuri ya ushuri hukusanywa moja kwa moja na serikali nakuwasilishwa manispaa ya Kinondoni ushuru ni sh 500 hutozwa kila siku.

“Si vyema kujadili yaliyopita hususani uongozi uliopita isipokuwa ninachoweza kusema nidhamu ya ukusanyaji mapato kumechangia soko kuwa katika hali ya usafi na ubora,ukilinganisha na hapo awali,” amesema Msulwa.

Msulwa amesema soko la mabibo linajumla ya masoko 8 yaliyo gawanyika kwa mujibu wa vitengo vya mazao ya kilimo yanayouzwa sokoni hapo.

Fatuma Shabani ambaye ni mfanyabiashara wa nyanya soko namba moja(geti namba moja) aliliambia gazeti hili kuwa zipo kasoro ndogondogo ambapo zikifanyiwa marekebisho zitakwisha.

“Kero iliyopo hapa kubwa ni choo kutokana na wingi wa wafanyabiashara tuliopo ,geti namba moja peke yake lina wafanyabiashara zaidi ya 300,choo kina matundu 8 ya haja kubwa yakiwa mawili na haja ndogo yakiwa sita kwa jinsia zote mbili, unapofika wakati wakuelekea maliwato kunakuwa na mafuriko,” amesema

Akijibu suala la choo Msulwa alisema nikweli choo kina changamoto lakini wapo katika mchakato wakuboresha choo hicho kwa mazingira yaliyopo ili kikidhi mahitaji ya wafanyabiashara.

“Kama nilivyokuambia ndugu mwandishi soko hili lilikuwa chini ya uongozi mwingine na liligubikwa na mivutano ya maslahi ya hapa na pale kupelekea baadhi ya huduma kudhorota lakini usisahau kuwa lipo katika kipindi cha mpito kuwa kuna hati hati yakuhamishwa hapa kwa hiyo watupe subira”, amesema

Naye John Kimario alisema kuhusu usafi wa mazingira kwa maana uchafu aina ya taka ngumu huzolewa kila iitwapo leo mzabuni anajitahidi isipokuwa magari hayatoshi hivyo aliuomba uongozi wa soko kushughulikia suala hilo.

Msulwa amesema jambo hilo linashughulikiwa na saa chache kabla ya gazeti hili kufika sokoni hapo alikuwa katika mazungumzo na ofisa mazingira ili kuona uwezekano wa kuongeza gari za kuzoa taka.


Kuhusu vibaka na wazururaji sokoni hapo hutokea mara chache sana kutokana na ulinzi kuimarishwa baina ya kituo cha polisi jamii na wafanyabiashara sokoni hapo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.