Skip to main content

Uongozi soko la Mabibo umesema unajitaidi kuboresha mazingira ikilinganishwa na hapo awali

Tokeo la picha la soko la Mabibo

UONGOZI wa soko la Mabibo maarufu mahakama ya ndizi umesema kuwa kwa sasa unajitaidi kuboresha mazingira ikilinganishwa na hapo awali kabla ya utawala mpya wa soko.
Akizungumza Jijini Dar es Salaam leo Meneja Masoko wa soko hilo James Msulwa alisema kuwa limejiimarisha katika suala la usafi na usalama wa raia ikilinganishwa na kipindi cha nyuma.

Amesema Soko hilo lipo chini ya uendeshaji wa serikali kwa sasa ambapo makusanyo ya maduhuri ya ushuri hukusanywa moja kwa moja na serikali nakuwasilishwa manispaa ya Kinondoni ushuru ni sh 500 hutozwa kila siku.

“Si vyema kujadili yaliyopita hususani uongozi uliopita isipokuwa ninachoweza kusema nidhamu ya ukusanyaji mapato kumechangia soko kuwa katika hali ya usafi na ubora,ukilinganisha na hapo awali,” amesema Msulwa.

Msulwa amesema soko la mabibo linajumla ya masoko 8 yaliyo gawanyika kwa mujibu wa vitengo vya mazao ya kilimo yanayouzwa sokoni hapo.

Fatuma Shabani ambaye ni mfanyabiashara wa nyanya soko namba moja(geti namba moja) aliliambia gazeti hili kuwa zipo kasoro ndogondogo ambapo zikifanyiwa marekebisho zitakwisha.

“Kero iliyopo hapa kubwa ni choo kutokana na wingi wa wafanyabiashara tuliopo ,geti namba moja peke yake lina wafanyabiashara zaidi ya 300,choo kina matundu 8 ya haja kubwa yakiwa mawili na haja ndogo yakiwa sita kwa jinsia zote mbili, unapofika wakati wakuelekea maliwato kunakuwa na mafuriko,” amesema

Akijibu suala la choo Msulwa alisema nikweli choo kina changamoto lakini wapo katika mchakato wakuboresha choo hicho kwa mazingira yaliyopo ili kikidhi mahitaji ya wafanyabiashara.

“Kama nilivyokuambia ndugu mwandishi soko hili lilikuwa chini ya uongozi mwingine na liligubikwa na mivutano ya maslahi ya hapa na pale kupelekea baadhi ya huduma kudhorota lakini usisahau kuwa lipo katika kipindi cha mpito kuwa kuna hati hati yakuhamishwa hapa kwa hiyo watupe subira”, amesema

Naye John Kimario alisema kuhusu usafi wa mazingira kwa maana uchafu aina ya taka ngumu huzolewa kila iitwapo leo mzabuni anajitahidi isipokuwa magari hayatoshi hivyo aliuomba uongozi wa soko kushughulikia suala hilo.

Msulwa amesema jambo hilo linashughulikiwa na saa chache kabla ya gazeti hili kufika sokoni hapo alikuwa katika mazungumzo na ofisa mazingira ili kuona uwezekano wa kuongeza gari za kuzoa taka.


Kuhusu vibaka na wazururaji sokoni hapo hutokea mara chache sana kutokana na ulinzi kuimarishwa baina ya kituo cha polisi jamii na wafanyabiashara sokoni hapo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...