Skip to main content

Tampro yawajengea Mwembenjozi Kibaha madarasa ya thamani ya shilingi milioni 60


Taasi ya wanataaluma wa kiislamu Tanzania (TAMPRO) imewajengea wanakijiji wa mwembenjozi Kibaha madarasa ya kisasa mawili   yenye thamani ya shilingi milioni 26.
Tokeo la picha la Taasi ya wanataaluma wa kiislamu Tanzania (TAMPRO)

Kijiji hicho cha Mwembenjozi kilichokosa shule kwa miaka kadhaa tokea kuanzishwa kwake, ambapo sasa kimeondokana na adha ya wanafunzi wa eneo hilo kwenda umbali mrefu kuisaka elimu.
Pichani Mbunge wa Kibaha Vijijini Hamoud Jumaa aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla yakukabidhi madarasa hayo akikata utepe.

Akizungumza na Majira jana Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa TAMPRO Mashauri Ngolola amesema wameguswa kuisaidia jamii ya kijiji hicho kutokana na kutokuwa na shule kwa mda mrefu.

“TAMRO inaendeshwa kwa misingi ya dini ya kislam hivyo basi sanjari na utoaji huduma za kifedha kwa ajili yakuhudumia jamii, hususani ya kiislamu kifedha, tunachangia maendeleo ya kijamii pasipokujali anayenufaika ni muislamu au laa,”amesema

Ngolola amesema kutokana na eneo hilo kutokuwa na shule kwa miaka mingi wanafunzi walikuwa wakienda makao makuu ya kata ya Dutumi kuitafuta elimu, waliona ni vyema kuwaunga mkono katika jitihada za ujenzi wa shule hiyo.

Kwa upande wake Mbunge wa Kibaha Vijijini Hamoud Jumaa aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla yakukabidhi jengo hilo aliishukuru TAMPRO kwakuchangia katika maendeleo ya elimu hususani katika jamii ya wahitaji nakuzitaka Taasisi, Makampuni na wafadhiri kuchangia katika maendeleo ya shule hiyo.

“Kipekee sana niishukuru nakuipongeza TAMPRO kwa jitihada zake zakupambana na umaskini nakuwaletea watu maendeleo lakini leo hii niwashukuru kwakuchangia ujenzi wa madarasa kwa ajili ya watoto wetu, wengine waige mfano wa TAMRO,” amesema

Mwajuma Said mkazi wa Mwembenjozi ameushukuru uongozi wa TAMRO kwakuwajengea majengo mawili ya madarasa ya kisasa nakusema kuwa kuwepo kwa shule kijijini hapo jamii hiyo itaelimika zaidi.

“Elimu ndiyo kila kitu watatoto wetu wakipata elimu kijiji hiki kitaendelea na kuwa na maendeleo makubwa kama vijiji ambavyo vinashule ambavyo maendeleo yake yamekuwa makubwa na maradufu,” amesema.

TAMRO ni Taasi ya wanataaluma wakiislamu inayojihusisha na masuala ya utoaji wa mikopo kwa jamii ya waislama yenye makao yake makuu Magomeni Dar es Salaam kupitia taasisi hiyo maisha ya wengi yameimarika kiuchumi.



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...