Skip to main content

Tampro yawajengea Mwembenjozi Kibaha madarasa ya thamani ya shilingi milioni 60


Taasi ya wanataaluma wa kiislamu Tanzania (TAMPRO) imewajengea wanakijiji wa mwembenjozi Kibaha madarasa ya kisasa mawili   yenye thamani ya shilingi milioni 26.
Tokeo la picha la Taasi ya wanataaluma wa kiislamu Tanzania (TAMPRO)

Kijiji hicho cha Mwembenjozi kilichokosa shule kwa miaka kadhaa tokea kuanzishwa kwake, ambapo sasa kimeondokana na adha ya wanafunzi wa eneo hilo kwenda umbali mrefu kuisaka elimu.
Pichani Mbunge wa Kibaha Vijijini Hamoud Jumaa aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla yakukabidhi madarasa hayo akikata utepe.

Akizungumza na Majira jana Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa TAMPRO Mashauri Ngolola amesema wameguswa kuisaidia jamii ya kijiji hicho kutokana na kutokuwa na shule kwa mda mrefu.

“TAMRO inaendeshwa kwa misingi ya dini ya kislam hivyo basi sanjari na utoaji huduma za kifedha kwa ajili yakuhudumia jamii, hususani ya kiislamu kifedha, tunachangia maendeleo ya kijamii pasipokujali anayenufaika ni muislamu au laa,”amesema

Ngolola amesema kutokana na eneo hilo kutokuwa na shule kwa miaka mingi wanafunzi walikuwa wakienda makao makuu ya kata ya Dutumi kuitafuta elimu, waliona ni vyema kuwaunga mkono katika jitihada za ujenzi wa shule hiyo.

Kwa upande wake Mbunge wa Kibaha Vijijini Hamoud Jumaa aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla yakukabidhi jengo hilo aliishukuru TAMPRO kwakuchangia katika maendeleo ya elimu hususani katika jamii ya wahitaji nakuzitaka Taasisi, Makampuni na wafadhiri kuchangia katika maendeleo ya shule hiyo.

“Kipekee sana niishukuru nakuipongeza TAMPRO kwa jitihada zake zakupambana na umaskini nakuwaletea watu maendeleo lakini leo hii niwashukuru kwakuchangia ujenzi wa madarasa kwa ajili ya watoto wetu, wengine waige mfano wa TAMRO,” amesema

Mwajuma Said mkazi wa Mwembenjozi ameushukuru uongozi wa TAMRO kwakuwajengea majengo mawili ya madarasa ya kisasa nakusema kuwa kuwepo kwa shule kijijini hapo jamii hiyo itaelimika zaidi.

“Elimu ndiyo kila kitu watatoto wetu wakipata elimu kijiji hiki kitaendelea na kuwa na maendeleo makubwa kama vijiji ambavyo vinashule ambavyo maendeleo yake yamekuwa makubwa na maradufu,” amesema.

TAMRO ni Taasi ya wanataaluma wakiislamu inayojihusisha na masuala ya utoaji wa mikopo kwa jamii ya waislama yenye makao yake makuu Magomeni Dar es Salaam kupitia taasisi hiyo maisha ya wengi yameimarika kiuchumi.



Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.