Skip to main content

Balozi Seif Ali Iddi kufungua Mashindano ya Michezo ya Majeshi Jumamosi



Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Mashindano  ya Michezo ya Majeshi yatakayoanza kuanzia Februari 23 hadi Machi 8 mwaka huu katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Hayo yamesemwa jana jijini humo na Menyekiti wa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) Brigedia Jenerali, Suleiman Mzee ambapo amesema michezo hiyo itashirikisha vikosi kutoka kanda saba za majeshi likiwemo Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jeshi la Uhamiaji, Jeshi la Polisi nchini, Magereza, Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) na Zimamoto na Uokoaji.
“ Mashindano hufanyika kila mwaka tumewaalika wageni wa heshima tunatarajia Balozi Seif Ali Idd kutufungulia mashindano Uwanja wa Uhuru,” amesema Brigedia Jenerali Mzee.
Amebainisha kuwa mashindano hayo yatashirikisha michezo mbalimbali ikiwemo ya mpira wa pete, mpira wa miguu, mpira mikono wanawake na wanaume, Ndondi, mpira wa wavu, kikapu, kulenga shabaha wanawake na wanaume pamoja na riadha.
Amesisitiza kuwa michezo hiyo itafungwa na Waziri wa Ulinzi, Dkt. Hussein Mwinyi na kwamba lengo la mashindano ni kuendeleza elimu ya viungo na utimamu ndani ya jeshi, kuinua vipaji vya kwa wanamichezo pamoja na kuandaa mashindano ya ulinzi na uslalama.
Amefafanua kuwa baada ya Waziri Dkt. Mwinyi jioni kutakuwa na hafla ambapo Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe.
Brigedia Jenerali Mzee amesema Kauli mbiu ya michezo hiyo kwa mwaka inasema Michezo ni kazi na mshikamano na kuwaomba wananchi wa Dar na mikoa ya jirani kujitokeza kwa wingi kushuhudia mashindano hayo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...