Skip to main content

Tamasha la Pasaka Limetangaza kufanyika mara kwa mara na kwa wakazi wa Sumbawanga,mkoani Rukwa.



Kampuni ya Msama Promotions,inayoratibu tamasha la Pasaka nchini imetangaza kulipekeka tamasha hilo kwa mara ya kwanza kwa wakazi wa Sumbawanga,mkoani Rukwa. 

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam , Msama amesema wakazi wa Sumbawanga wamekuwa wakihitaji huduma ya tamasha hilo kwa muda mrefu, hivyo ameahidi kuikata kiu ya wakazi wa mji huo kwa namna ya kipekee kabisa.

“Sumbawanga wamekuwa wakilalamika muda mrefu kuhusu kutokupelekewa Tamasha hilo, Mwaka huu kwa Mara ya kwanza tutapeleka Tamasha kwa wakazi wa Sumbawanga, wakae tayari kupokea ujio wa Tamasha lililobeba utofauti” amesema Msama. 

Amesema katika Tamasha la mwaka huu kutakuwa na utofauti mkubwa, ambapo ameeleza kuwa wapo waimbaji wapya ambao hawajawahi kuja nchini, na kuongeza kuwa kwa Mwaka huu waimbaji wote watakaopata nafasi watalazimika kuimba kwa kutumia Band (LIVE) na si CD (PlayBack) kama ilivyozoeleka. 

“Tumeongeza Waimbaji wapya ambao hawajawahi kuja nchini, waimbaji ambao hawataweza kuimba live kwakweli watatusamehee bure,itakuwa vigumu kupokea ushiriki wao kwenye tamasha hilo,tunafanya yote hiyo kuhakikisha tamasha la Pasaka 2019 linakuwa lenye utofauti mkubwa ,n ahata wapenzi wa muziki huo waone utofauti mkubwa na si vinginevyo”aliongeza Msama. 

Akizungumzia kauli ya tamasha hilo,Msama ametaja kuwa ni “ Umoja na Mshikamano hudumisha amani ya nchi yetu” alisema na kuongeza kuwa ni lazima Watanzania tukubali Mungu ametupa Rais mzuri na mchapa kazi,tutamuombea kokote tutakaposimama na ninawaomba Watanzania kwa ujumla wetu tumuombee Rais wetu. 

Tamasha hilo la Pasaka linatarajiwa kufanyika April, 21, 2019 katika Viwanja vya Posta Kijitonyama ambapo ameahidi Tamasha hilo kuwa lenye utofauti Mkubwa ukilinganisha na Matamasha yote yaliyopita.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,inayoratibu tamasha la Pasaka Alex Msama akizungumza na baadhi ya Waandishi wa habari leo Ofisini  kwake,Kinondoni jijini Dar wakati akiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu maandalizi ya tamasha la pasaka,ikiwemo kutangaza kulipeleka tamasha hilo kwa mara ya kwanza mjini Sumbawanga,mkoani Rukwa.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,inayoratibu tamasha la Pasaka Alex Msama akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari leo Ofisini  kwake,Kinondoni jijini Dar  kuhusu maandalizi ya tamasha la pasaka 2019,ikiwemo kutangaza kulipeleka tamasha hilo kwa mara ya kwanza mjini Sumbawanga,mkoani Rukwa. 
Mmoja wa Waandishi wa habari  kutoka ZBC akiuliza swali  kwa Mwandaaji wa tamasha la Pasaka,Alex Msama.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...