Skip to main content

Tamasha la Pasaka Limetangaza kufanyika mara kwa mara na kwa wakazi wa Sumbawanga,mkoani Rukwa.



Kampuni ya Msama Promotions,inayoratibu tamasha la Pasaka nchini imetangaza kulipekeka tamasha hilo kwa mara ya kwanza kwa wakazi wa Sumbawanga,mkoani Rukwa. 

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam , Msama amesema wakazi wa Sumbawanga wamekuwa wakihitaji huduma ya tamasha hilo kwa muda mrefu, hivyo ameahidi kuikata kiu ya wakazi wa mji huo kwa namna ya kipekee kabisa.

“Sumbawanga wamekuwa wakilalamika muda mrefu kuhusu kutokupelekewa Tamasha hilo, Mwaka huu kwa Mara ya kwanza tutapeleka Tamasha kwa wakazi wa Sumbawanga, wakae tayari kupokea ujio wa Tamasha lililobeba utofauti” amesema Msama. 

Amesema katika Tamasha la mwaka huu kutakuwa na utofauti mkubwa, ambapo ameeleza kuwa wapo waimbaji wapya ambao hawajawahi kuja nchini, na kuongeza kuwa kwa Mwaka huu waimbaji wote watakaopata nafasi watalazimika kuimba kwa kutumia Band (LIVE) na si CD (PlayBack) kama ilivyozoeleka. 

“Tumeongeza Waimbaji wapya ambao hawajawahi kuja nchini, waimbaji ambao hawataweza kuimba live kwakweli watatusamehee bure,itakuwa vigumu kupokea ushiriki wao kwenye tamasha hilo,tunafanya yote hiyo kuhakikisha tamasha la Pasaka 2019 linakuwa lenye utofauti mkubwa ,n ahata wapenzi wa muziki huo waone utofauti mkubwa na si vinginevyo”aliongeza Msama. 

Akizungumzia kauli ya tamasha hilo,Msama ametaja kuwa ni “ Umoja na Mshikamano hudumisha amani ya nchi yetu” alisema na kuongeza kuwa ni lazima Watanzania tukubali Mungu ametupa Rais mzuri na mchapa kazi,tutamuombea kokote tutakaposimama na ninawaomba Watanzania kwa ujumla wetu tumuombee Rais wetu. 

Tamasha hilo la Pasaka linatarajiwa kufanyika April, 21, 2019 katika Viwanja vya Posta Kijitonyama ambapo ameahidi Tamasha hilo kuwa lenye utofauti Mkubwa ukilinganisha na Matamasha yote yaliyopita.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,inayoratibu tamasha la Pasaka Alex Msama akizungumza na baadhi ya Waandishi wa habari leo Ofisini  kwake,Kinondoni jijini Dar wakati akiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu maandalizi ya tamasha la pasaka,ikiwemo kutangaza kulipeleka tamasha hilo kwa mara ya kwanza mjini Sumbawanga,mkoani Rukwa.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,inayoratibu tamasha la Pasaka Alex Msama akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari leo Ofisini  kwake,Kinondoni jijini Dar  kuhusu maandalizi ya tamasha la pasaka 2019,ikiwemo kutangaza kulipeleka tamasha hilo kwa mara ya kwanza mjini Sumbawanga,mkoani Rukwa. 
Mmoja wa Waandishi wa habari  kutoka ZBC akiuliza swali  kwa Mwandaaji wa tamasha la Pasaka,Alex Msama.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

LEO NI BUNGE LA BAJETI

Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo. -WANANCHI WATAKA IPUNGUZE UKALI WA MAISHA MACHO na masikio ya mamilioni ya Watanzania na wadau wa nje, leo yanaelekezwa Dodoma ambako Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/12 itasomwa.Wananchi wengi wamekuwa na shauku ya kujua mwelekeo wa bajeti hiyo hasa katika kipindi hiki ambacho wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha iliyotokana na kupanda kwa bei vyakula na bidhaa za mafuta. Kwa takriban wiki nzima iliyopita, baadhi ya wananchi wamekuwa wakituma ujumbe mfupi wa maandishi kwa simu katika vyombo vya habari, wakiisihi serikali kuhakikisha kuwa bajeti ya mwaka huu inawaondoa katika hali ngumu ya maisha. Bajeti hiyo itakayosomwa bungeni na Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo itatangazwa kwa wakati mmoja na bajeti za serikali za nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), katika mtazamo wa kuimarisha mshimakano na umoja wa nchi hizo. Kwa kawaida na mazoea ya muda mrefu, baj...

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...