Skip to main content

Tamasha la Pasaka Limetangaza kufanyika mara kwa mara na kwa wakazi wa Sumbawanga,mkoani Rukwa.



Kampuni ya Msama Promotions,inayoratibu tamasha la Pasaka nchini imetangaza kulipekeka tamasha hilo kwa mara ya kwanza kwa wakazi wa Sumbawanga,mkoani Rukwa. 

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam , Msama amesema wakazi wa Sumbawanga wamekuwa wakihitaji huduma ya tamasha hilo kwa muda mrefu, hivyo ameahidi kuikata kiu ya wakazi wa mji huo kwa namna ya kipekee kabisa.

“Sumbawanga wamekuwa wakilalamika muda mrefu kuhusu kutokupelekewa Tamasha hilo, Mwaka huu kwa Mara ya kwanza tutapeleka Tamasha kwa wakazi wa Sumbawanga, wakae tayari kupokea ujio wa Tamasha lililobeba utofauti” amesema Msama. 

Amesema katika Tamasha la mwaka huu kutakuwa na utofauti mkubwa, ambapo ameeleza kuwa wapo waimbaji wapya ambao hawajawahi kuja nchini, na kuongeza kuwa kwa Mwaka huu waimbaji wote watakaopata nafasi watalazimika kuimba kwa kutumia Band (LIVE) na si CD (PlayBack) kama ilivyozoeleka. 

“Tumeongeza Waimbaji wapya ambao hawajawahi kuja nchini, waimbaji ambao hawataweza kuimba live kwakweli watatusamehee bure,itakuwa vigumu kupokea ushiriki wao kwenye tamasha hilo,tunafanya yote hiyo kuhakikisha tamasha la Pasaka 2019 linakuwa lenye utofauti mkubwa ,n ahata wapenzi wa muziki huo waone utofauti mkubwa na si vinginevyo”aliongeza Msama. 

Akizungumzia kauli ya tamasha hilo,Msama ametaja kuwa ni “ Umoja na Mshikamano hudumisha amani ya nchi yetu” alisema na kuongeza kuwa ni lazima Watanzania tukubali Mungu ametupa Rais mzuri na mchapa kazi,tutamuombea kokote tutakaposimama na ninawaomba Watanzania kwa ujumla wetu tumuombee Rais wetu. 

Tamasha hilo la Pasaka linatarajiwa kufanyika April, 21, 2019 katika Viwanja vya Posta Kijitonyama ambapo ameahidi Tamasha hilo kuwa lenye utofauti Mkubwa ukilinganisha na Matamasha yote yaliyopita.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,inayoratibu tamasha la Pasaka Alex Msama akizungumza na baadhi ya Waandishi wa habari leo Ofisini  kwake,Kinondoni jijini Dar wakati akiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu maandalizi ya tamasha la pasaka,ikiwemo kutangaza kulipeleka tamasha hilo kwa mara ya kwanza mjini Sumbawanga,mkoani Rukwa.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,inayoratibu tamasha la Pasaka Alex Msama akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari leo Ofisini  kwake,Kinondoni jijini Dar  kuhusu maandalizi ya tamasha la pasaka 2019,ikiwemo kutangaza kulipeleka tamasha hilo kwa mara ya kwanza mjini Sumbawanga,mkoani Rukwa. 
Mmoja wa Waandishi wa habari  kutoka ZBC akiuliza swali  kwa Mwandaaji wa tamasha la Pasaka,Alex Msama.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...