Skip to main content

Waziri wa KilimoJaphet Hasunga ipo sababu yakuanzishwa haraka sheria ya kilimo


WAZIRI wa Kilimo Japhet Hasunga amesema ipo haja ya kuanzishwa kwa sheria ya kilimo itakayotoa suluhisho la changamoto zinzazoikabili sekta hiyo.

Hasunga aliyasema hayo hivi karibuni wakati wa kikao cha siku moja baina ya wizara na watafiti wa kilimo kutoka Taasisi mbalimbali za kilimo nchini.

“Kuna kila sababu yakuanzishwa haraka sheria ya kilimo,kwasababu inayotumika sasa ni sera iliyotungwa 2013 ambayo pia inahitaji kupitiwa upya,” alisema

Hasunga aliongeza kuwa sheria zinazotumika kwa sasa ni za bodi za mazao mbalimbali, ambazo pia zinachangamoto zake na kuna mazao ambayo hayana bodi kiasi kwamba kuwatetea wakulima wa mazao hayo inakua ngumu.

Mazao yaliyo katika utaratibu wa bodi ni pamoja na zao la pamba, Kahawa, Chai, korosho, pareto na tumbaku kwa upande wa mazao ya Biashara, mazao ambayo hayana bodi ni yale ya chakula ambayo nayo yana mchango mkubwa katika uchumi wa Taifa.

Hasunga aliwataka watafiti hao kutumia kikao hicho kwakutoa maelezo yenye tija, nini kifanyike katika sekta ya kilimo kwakuwa watafiti wana wigo mpana wakuweza kuitoa sekta hiyo kutoka sehemu moja hadi nyingine.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Kilimo Omary Mgumba alisema kikao hicho ni cha kipekee kwakuwa kimewakutanisha wataifiti na wataalamu kutoka taasisi za utafiti na watafiti wakufunzi wabobevu kutoka vyuo vya kilimo nchini.

“Ni furaha kuwaona leo hii kwa wingi wenu, eneo kubwa la kutiliwa mkazo ni katika suala la masoko, tunafanya tafiti nyingi kuhusu mbegu bora lakini hatuna tafiti zakutosha kuhusu masoko ya mazao ya kilimo,”alisema

Mtafiti kutoka chuo cha utafiti cha Kilimo Naliendele Dk. Fortunus Kapinga , alisema kikao hicho kimekuja wakati muafaka ambapo utafiti wenye tija na wenye kuzingatia wakati unahitajika zaidi ili kutatua changamoto za kilimo nchini.

“Kazi yetu watafiti nikuhakikisha utafiti wakina unafanyika ili kuondoa changamoto za wakulima, naamini tutabadilishana uzoefu lakini pia tutaishauri serikali kuangazia katika tafiti zaidi nakutujengea uwezo ili tuzalishe tafiti zenye tija na uzalishaji bora,
”alisema

Kikao kama hicho kitaendelea leo baina ya wizara na wadau wakilimo wa sekta binafsi na baadaye kikao kama hicho kitafanyika pamoja na wadau wa maendeleo ya kilimo wakimataifa na waliopo nchini.

Baada ya vikao hivyo Wizara na wadau wote wataamua mda gani sera ya kilimo ipitiwe upya nakuanzishwa mchakato wa muswada wa sheria ya kilimo na hatimaye kupata sheria ya kilimo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...