Skip to main content

Mwanza na mikoa mingine 6 wapewa tahadhari ya mvua kubwa na mafuriko

Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa tahadhari ya kuwapo kwa mvua kubwa (juu ya wastani) kwa baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa, Dar es Salaam na Kilimanjaro.
Image result for jangwani mafuriko
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Februari 14, 2019 kuhusu utabiri wa mvua za masika kwa mikoa inayopata mvua mara mbili kwa mwaka, Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dk. Agnes Kijazi, amesema kuwa, kutokana na mifumo ya hali ya hewa ilivyo kwa sasa na inavyotarajiwa kuwa kwa kipindi chote kuanzia Machi mpaka Mei mwaka huu, maeneo mengi yanayopata mvua mara mbili kwa mwaka yanatarajia kuwa na mvua za wastani.
Hata hivyo, Dk. Kijazi amesema baadhi ya maeneo katika mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar, Arusha, Kilimanjaro, Kagera, Mara, Mwanza, Geita, Simiyu na Shinyanga kuna uwezekano mkubwa wa kupata mvua kubwa (juu ya wastani).
Kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa, tunategemea mvua hizi zitaanza wiki ya mwisho ya mwezi huu, ikianzia mikoa ya Kagera na baadaye kusambaa kwenye mikoa mingine ya ukanda huo,” amesema Kijazi na kuongeza.
Mvua hizi zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani kwa maeneo mengi ya mikoa ya hii ya Kanda ya Ziwa, hata hivyo kwa baadhi ya maeneo machache ya Mkoa wa Kagera na Wilaya ya Kibondo kutakuwa na upungufu wa mvua.
Hata hivyo, amesema mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Zanzibar, Arusha, Manyara, Kilimanjaro na baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa Mkoa wa Morogoro, mvua za masika zinatarajiwa kuanza katikati ya wiki ya mwisho ya mwezi huu Februari.
Kijazi amesema ni vyema kwa mamlaka husika hasa katika sekta za kilimo, uvuvi, ujenzi na afya kuchukua tahadhari kutokana na athari zinazoweza kujitokeza kutokana na mvua.
Kwa sekta ya kilimo, mikoa itakayopata mvua juu ya wastani ni vyema wakaangalia kulima mazao yanayostahimili unyevu nyevu mwingi kutokana mvua nyingi. Lakini pia kwa mamlaka ya miji, huduma za majisafi na majitaka zinaweza zikaathiriwa, ni vyema mifumo ya njia za kupitisha maji ikaimilishwa kuepuka mafuriko na athari nyingine,
Mkurugenzi huyo amesema, TMA itaendelea kutoa mrejesho wa mvua katika utabiri wa siku 10 na siku tano watakaokuwa wakiutoa na kuwataka wananchi kufuatilia taarifa kwenye vyombo vya habari.
Mvua za masika zimekuwa zikisababisha mafuriko karibu kila mwaka kwenye maeneo ya mabondeni ambayo licha ya serikali kupiga marufuku watu kuweka makazi, bado yanaendelea kuwa na ujenzi holela.
Chanzo: Nipashe

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.