Skip to main content

Mwanafunzi mwerevu apata alama 0 !



Maelfu ya wazazi na wanafunzi wamejitokeza kumuunga mkono mwanafunzi mmoja shupavu aliyepata sufuri katika mtihani wake wote wa mwisho.
Amini usiamini,Mariam Malaka ambaye amekuwa mwanafunzi wa kupigiwa mfano nchini Misri kutokana na alama za juu alizopata katika mitihani ya awali, alikuwa na matarajio ya kuzoa alama ya juu zaidi yaani A itakayomwezesha kujiunga na chuo cha mafunzo ya daktari lakini wapi ?
Katika mtihani wake wa mwisho Mariam Malak alipewa alama za chini zaidi .
Hii ikimaanisha kuwa, bi Malak hakuandika hata herufi moja aliyojibu kikamilifu.
Bi Mariam Malak anashuku kuwa kulitokea kosa kubwa kwani yeye alivyofanya mtihani huo hadhani kama angeufeli.
''Kwa kweli sikuamini macho yangu eti nimefeli mtihani wa mwisho'' bi Mariam Malak aliiambia BBC.
Alizimia alipotafuta jina lake na akaikosa katika orodha ya watahiniwa waliopasi mtihani wao wa mwisho.
Malak alikuwa hajaufeli mtihani mmoja bali alikuwa amezoa sufuri katika masomo yote saba.
Yaani alikuwa ameambulia sufuri juu ya mia 0% katika masomo yote saba.
''Hii sio kweli''
Familia yake inadai kuwa huwenda malak ameangushwa mtihani wake wa mwisho maksudi tu kwa sababu ya hila.
Awali ilidhaniwa kuwa alichukiwa kwa sababu yeye ni wa kutoka kwenye tabaka la Wamisri wachache ambao ni wakristo wa kicoptic lakini dhana hio ilikataliwa.
Familia yake inahofia huenda hii ikawa ni njama ya kumpokonya mwanawao ndoto yake ya kuwa daktari.

Wizara ya Elimu imelazimika kumpa mtihani wa kubaini iwapo hati iliyowakilishwa kwa jina lake ni yake haswa ama ni ghushi, hata hivyo ikatoa uamuzi kuwa ilikuwa yake haswa.
Hata hivyo maelfu ya watu waliotazama nakala za hati aliyoandika kwenye runinga walisema hazifanani kabisa na zile zilizopewa jina lake.
Kufuatia tofauti hiyo, ukurasa ulianzishwa kwa nia ya kuishinikiza wizara ya elimu kuingilia kati kutanzua kitendawaili hicho.
Ukurasa huo unawafuasi takriban 30,000 kufikia sasa.
Tayari watu kadha wamejitokeza kugharamia malipo yake yote ya chuo kikuu.
Ndugu yake Mina anasema kuwa wanashuku majibu yake yalipewa mtu mwengine.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...