Skip to main content

Msanii Diamond kutumbuiza Tuzo za Mwanasoka Bora Afrika 2014


Diamond ameteuliwa kutumbuiza katika tuzo za mwanasoka bora wa Afrika zitakazofanyika jijini Lagos, Nigeria Januari 8, 2015.
Diamond ameteuliwa kutumbuiza katika tuzo za mwanasoka bora wa Afrika zitakazofanyika jijini Lagos, Nigeria Januari 8, 2015.
Msanii Nasib Abdul ‘Diamond’ amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii watakaotumbuiza kwenye hafla ya utoaji tuzo za mwanasoka bora Afrika 2014. 
Diamond atatumbuiza katika tuzo hizo ambazo wachezaji 25 nyota barani Afrika wamechaguliwa kugombea tuzo hizo. Hafla hiyo itafanyika Januari 8, 2015 jijini Lagos Nigeria.
Yaya Toure ndiye anayeshikilia tuzo hiyo kwa sasa.
Yaya Toure ndiye anayeshikilia tuzo hiyo kwa sasa.
Mwanasoka Bora, Yaya Toure raia wa Ivory anayeitumikia Manchester City ya England ni kati ya wachezaji wanaowania tuzo hiyo.
Wanaowania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika:
  1. Ahmed Musa                          (Nigeria, CSKA Moscow)
  2. Asamoah Gyan                       (Ghana, Al Ain)
  3. Dame N’doye                         (Senegal, Lokomotiv Moscow)
  4. Emmanuel Adebayor               (Togo, Tottenham)
  5. Eric Maxim Choupo-Moting          (Cameroon, Schalke 04)
  6. Fakhreddine Ben Youssef            (Tunisia, CS Sfaxien)
  7. Ferdjani Sassi                          (Tunisia, CS Sfaxien)
  8. Yao Kouassi Gervais ‘Gervinho’ (Cote d’Ivoire, AS Roma)
  9. Islam Slimani                          (Algeria, Sporting Lisbon)
  10. Kwadwo Asamoah                   (Ghana, Juventus)
  11. Mehdi Benatia                         (Morocco, Bayern Munich)
  12. Mohamed El Neny                   (Egypt, Basel)
  13. Pierre-Emerick Aubameyang        (Gabon, Borussia Dortmund)
  14. Raïs M’Bolhi                           (Algeria, Philadelphia Union)
  15. Sadio Mané                            (Senegal, Southampton)
  16. Seydou Kieta                          (Mali, As Roma)
  17. Sofiane Feghouli                     (Algeria, Valencia)
  18. Stephane Mbia                       (Cameroon,  Sevilla)
  19. Thulani Serero                        (South Africa, Ajax)
  20. Vincent Aboubakar                  (Cameroon, Porto)
  21. Vincent Enyeama                    (Nigeria, Lille)
  22. Wilfried Bony                          (Cote d’Ivoire, Swansea)
  23. Yacine Brahimi                       (Algeria, Porto)
  24. Yannick Bolasie                       (DR Congo, Crystal Palace)
  25. Yaya Toure                            (Cote d’Ivoire, Man City)
Tuzo za mwanasoka bora wa Afrika zitafanyika januari 8, 2014 jijini Lagos, Nigeria.
Tuzo za mwanasoka bora wa Afrika zitafanyika januari 8, 2014 jijini Lagos, Nigeria.
Wanaowania tuzo za Mwanasoka Bora Afrika( Kwa wachezaji wanaocheza Afrika)
  1. Amr Gamal                     (Egypt, Al Ahly)
  2. Abdelrahman Fetori          (Libya, Ahly Benghazi)
  3. Bernard Parker               (South Africa, Kaizer Chiefs)
  4. Bongani Ndulula               (South Africa, Amazulu)
  5. Akram Djahnit                 (Algeria, ES Setif)
  6. Ejike Uzoenyi                   (Nigeria, Enugu Rangers)
  7. El Hedi Belamieri              (Algeria, ES Setif)
  8. Fakhereddine Ben Youssef   (Tunisia, CS Sfaxien)
  9. Ferdjani Sassi                    (Tunisia, CS Sfaxien)
  10. Firmin Mubel Ndombe          (DR Congo, AS Vita)
  11. Geoffrey Massa                  (Uganda, Pretoria University)
  12. Jean Kasusula                     (DR Congo, TP Mazembe)
  13. Kader Bidimbou                  (Congo, AC Leopards)
  14. Lema Mabidi                       (DR Congo, As Vita)
  15. Mudathir Al Taieb                (Sudan, Al Hilal)
  16. Roger Assalé                     (Cote d’Ivoire, Sewe Sport)
  17. Senzo Meyiwa                    (South Africa, Orlando Pirates)
  18. Solomon Asante                 (Ghana, TP Mazembe)
  19. Souleymane Moussa            (Cameroon, Coton Sport)
  20. Yunus Sentamu                  (Uganda, AS Vita)

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...