Skip to main content

Msanii Diamond kutumbuiza Tuzo za Mwanasoka Bora Afrika 2014


Diamond ameteuliwa kutumbuiza katika tuzo za mwanasoka bora wa Afrika zitakazofanyika jijini Lagos, Nigeria Januari 8, 2015.
Diamond ameteuliwa kutumbuiza katika tuzo za mwanasoka bora wa Afrika zitakazofanyika jijini Lagos, Nigeria Januari 8, 2015.
Msanii Nasib Abdul ‘Diamond’ amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii watakaotumbuiza kwenye hafla ya utoaji tuzo za mwanasoka bora Afrika 2014. 
Diamond atatumbuiza katika tuzo hizo ambazo wachezaji 25 nyota barani Afrika wamechaguliwa kugombea tuzo hizo. Hafla hiyo itafanyika Januari 8, 2015 jijini Lagos Nigeria.
Yaya Toure ndiye anayeshikilia tuzo hiyo kwa sasa.
Yaya Toure ndiye anayeshikilia tuzo hiyo kwa sasa.
Mwanasoka Bora, Yaya Toure raia wa Ivory anayeitumikia Manchester City ya England ni kati ya wachezaji wanaowania tuzo hiyo.
Wanaowania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika:
  1. Ahmed Musa                          (Nigeria, CSKA Moscow)
  2. Asamoah Gyan                       (Ghana, Al Ain)
  3. Dame N’doye                         (Senegal, Lokomotiv Moscow)
  4. Emmanuel Adebayor               (Togo, Tottenham)
  5. Eric Maxim Choupo-Moting          (Cameroon, Schalke 04)
  6. Fakhreddine Ben Youssef            (Tunisia, CS Sfaxien)
  7. Ferdjani Sassi                          (Tunisia, CS Sfaxien)
  8. Yao Kouassi Gervais ‘Gervinho’ (Cote d’Ivoire, AS Roma)
  9. Islam Slimani                          (Algeria, Sporting Lisbon)
  10. Kwadwo Asamoah                   (Ghana, Juventus)
  11. Mehdi Benatia                         (Morocco, Bayern Munich)
  12. Mohamed El Neny                   (Egypt, Basel)
  13. Pierre-Emerick Aubameyang        (Gabon, Borussia Dortmund)
  14. Raïs M’Bolhi                           (Algeria, Philadelphia Union)
  15. Sadio Mané                            (Senegal, Southampton)
  16. Seydou Kieta                          (Mali, As Roma)
  17. Sofiane Feghouli                     (Algeria, Valencia)
  18. Stephane Mbia                       (Cameroon,  Sevilla)
  19. Thulani Serero                        (South Africa, Ajax)
  20. Vincent Aboubakar                  (Cameroon, Porto)
  21. Vincent Enyeama                    (Nigeria, Lille)
  22. Wilfried Bony                          (Cote d’Ivoire, Swansea)
  23. Yacine Brahimi                       (Algeria, Porto)
  24. Yannick Bolasie                       (DR Congo, Crystal Palace)
  25. Yaya Toure                            (Cote d’Ivoire, Man City)
Tuzo za mwanasoka bora wa Afrika zitafanyika januari 8, 2014 jijini Lagos, Nigeria.
Tuzo za mwanasoka bora wa Afrika zitafanyika januari 8, 2014 jijini Lagos, Nigeria.
Wanaowania tuzo za Mwanasoka Bora Afrika( Kwa wachezaji wanaocheza Afrika)
  1. Amr Gamal                     (Egypt, Al Ahly)
  2. Abdelrahman Fetori          (Libya, Ahly Benghazi)
  3. Bernard Parker               (South Africa, Kaizer Chiefs)
  4. Bongani Ndulula               (South Africa, Amazulu)
  5. Akram Djahnit                 (Algeria, ES Setif)
  6. Ejike Uzoenyi                   (Nigeria, Enugu Rangers)
  7. El Hedi Belamieri              (Algeria, ES Setif)
  8. Fakhereddine Ben Youssef   (Tunisia, CS Sfaxien)
  9. Ferdjani Sassi                    (Tunisia, CS Sfaxien)
  10. Firmin Mubel Ndombe          (DR Congo, AS Vita)
  11. Geoffrey Massa                  (Uganda, Pretoria University)
  12. Jean Kasusula                     (DR Congo, TP Mazembe)
  13. Kader Bidimbou                  (Congo, AC Leopards)
  14. Lema Mabidi                       (DR Congo, As Vita)
  15. Mudathir Al Taieb                (Sudan, Al Hilal)
  16. Roger Assalé                     (Cote d’Ivoire, Sewe Sport)
  17. Senzo Meyiwa                    (South Africa, Orlando Pirates)
  18. Solomon Asante                 (Ghana, TP Mazembe)
  19. Souleymane Moussa            (Cameroon, Coton Sport)
  20. Yunus Sentamu                  (Uganda, AS Vita)

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.