Skip to main content

WAZALISHAJI WATAKIWA KUHAKIKI UBORA WA BIDHAA ZAO KUPITIA MAABARA ZA TBS



Frank Mvungi

MAELEZO

DAR ES SALAAM

SERIKALI imewataka wazalishaji na wajasiriamali nchini kuhakikisha kuwa bidhaa

wanazozalisha zinakidhi viwango vya ubora vilivyowekwa na Shirika la Viwango

Tanzania (TBS) ili kuchochea ukuaji wa uchumi.





Kauli hiyo imetolewa Leo Jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Kitengo cha Maabara ya

Uhandisi wa Ujenzi ya Shirika la Viwango Nchini, Mhandisi Stephen Minja wakati wa

ziara ya waandishi wa habari kutembelea na kujionea namna maabara za shirika hilo

zinavyotekeleza jukumu lake la kuhakiki viwango vya ubora hapa nchini.

Akifafanua zaidi Minja amesema kuwa mabara za shirika hilo zipo kwa ajili ya

kuhudumia wazalishaji wa bidhaa mbalimbali na wale wanaoingiza bidhaa kutoka nje

ya nchi lengo ili kuhakiki ubora wa bidhaa zote ili kuepusha athari zinazoweza

kujitokeza kwa watumiaji.
“Maabara yetu ina viwango vya kimataifa na gharama zake ni nafuu ambazo kila

mwananchi anaweza kumudu lengo likiwa ni kutoa huduma kwa wananchi na

kuchangia kuchochea maendeleo kwa kudhibiti bidhaa hafifu” alisema Minja

Aliongeza kuwa maabara hiyo inapima bidhaa za ujenzi kama nondo, chokaa, vigae,

mbao, mabomba ya maji, simenti, nguzo za umeme,matofali,zege, mchanga na

bidhaa zote zinazotumika katika ujenzi wa barabara ikiwemo lami.

Kwa upande wake Kaimu Mkuu wa kitengo cha maabara ya umeme, Mhandisi Anectus

Ndunguru amesema kuwa vifaa vyote vya umeme vinavyozalishwa na kuingizwa nchini

lazima vipimwe ubora wake kuona kama vinakidhi vigezo ili kuepusha majanga.

Alitaja baadhi ya vifaa ambavyo lazima vihakikiwe ubora wake kuwa ni vifaa vyote

vinavyotumika katika kujenga mfumo wa umeme katika majengo, taa za majumbani,

pasi, redio, televisheni, waya .
Akizungumzia athari za kutumia vifaa visvyo na ubora Ndunguru amesema kuwa athari

za matumizi ya vifaa hivyo ni makubwa ikiwemo kusababisha majanga na kupotea kwa

umeme hivyo kuongeza gharama kwa mtumiaji.

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limekuwa likisisitiza matumizi ya bidhaa zenye

ubora na zilizohakikiwa na kuepuka bidhaa hafifu ambazo kwa sasa zimedhibitiwa na

shirika hilo kwa kiwango kikubwa hali inayochochea ukuaji wa sekta ya Viwanda hapa

nchini.



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...