Skip to main content

Wadu waelezea nguvukazi ya Fransesco Totti


  1. Huu ndio mwaka ambao kwa mara ya kwanza Totti alivaa jezi ya As Roma na kuanza kucheza soka, alikuwa kijana mdogo wa umri wa miaka 16 tu na mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu ya Italia ulikuwa dhidi ya Brescia ambapo Roma walishinda kwa mabao 2 kwa 0.
1998.Alikuwa na umri wa miaka 21 tu na akaweka rekodi ya kijana mdogo wa kwanza kupewa cheo cha unahodha wa timu ya As Roma kwa mara ya kwanza kabisa.
2001.Huu ndio mwaka ambao Totti alibeba ubingwa wa ligi kuu Italia Serie A na huu ulikuwa ubingwa wake wa kwanza na wa mwisho wa ligi hiyo nchini Italia,akifunga goli katika ushindi wa mwisho wa 3 kwa 1 dhidi ya Parma.
2004.Alivunja rekodi ya Roberto Pruzzo ya ufungaji wa muda wote katika klabu ya As Roma baada ya kufikisha jumla ya mabao 169 na kuwa mfungaji bora wa muda wote katika klabu hiyo.
2006.Alicheza michezo yote 7 ya timu ya taifa katika kombe la dunia huku akifunga bao moja na kutoa assists zaidi ya tatu katika michuano hiyo mikubwa duniani.
2007.Alishinda tuzo ya kiatu cha dhahabu katika ligi kuu nchini Italia akiwa amefunga mabao 26 katika ligi hiyo huku mabao 32 akiwa amefunga katika michuano yote aliyocheza msimu huo.
2014.Aliweka rekodi ya mchezaji mkongwe zaidi katika champions league kufunga goli, kwania alifunga bao la kusawazisha dhidi ya Manchester City ikiwa ni siku moja tu baada ya kutimiza miaka 38.
2016.Alitokea katika benchi zikiwa zimebaki dakika 5 tu katika mchezo dhidi ya Torino, wakati anaingia Roma walikuwa wameshapigwa bao 2 kwa 1 lakini akafunga bao mbili na Roma wakamaliza na ushindi wa bak 3 kwa 2.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...