Skip to main content

Wadu waelezea nguvukazi ya Fransesco Totti


  1. Huu ndio mwaka ambao kwa mara ya kwanza Totti alivaa jezi ya As Roma na kuanza kucheza soka, alikuwa kijana mdogo wa umri wa miaka 16 tu na mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu ya Italia ulikuwa dhidi ya Brescia ambapo Roma walishinda kwa mabao 2 kwa 0.
1998.Alikuwa na umri wa miaka 21 tu na akaweka rekodi ya kijana mdogo wa kwanza kupewa cheo cha unahodha wa timu ya As Roma kwa mara ya kwanza kabisa.
2001.Huu ndio mwaka ambao Totti alibeba ubingwa wa ligi kuu Italia Serie A na huu ulikuwa ubingwa wake wa kwanza na wa mwisho wa ligi hiyo nchini Italia,akifunga goli katika ushindi wa mwisho wa 3 kwa 1 dhidi ya Parma.
2004.Alivunja rekodi ya Roberto Pruzzo ya ufungaji wa muda wote katika klabu ya As Roma baada ya kufikisha jumla ya mabao 169 na kuwa mfungaji bora wa muda wote katika klabu hiyo.
2006.Alicheza michezo yote 7 ya timu ya taifa katika kombe la dunia huku akifunga bao moja na kutoa assists zaidi ya tatu katika michuano hiyo mikubwa duniani.
2007.Alishinda tuzo ya kiatu cha dhahabu katika ligi kuu nchini Italia akiwa amefunga mabao 26 katika ligi hiyo huku mabao 32 akiwa amefunga katika michuano yote aliyocheza msimu huo.
2014.Aliweka rekodi ya mchezaji mkongwe zaidi katika champions league kufunga goli, kwania alifunga bao la kusawazisha dhidi ya Manchester City ikiwa ni siku moja tu baada ya kutimiza miaka 38.
2016.Alitokea katika benchi zikiwa zimebaki dakika 5 tu katika mchezo dhidi ya Torino, wakati anaingia Roma walikuwa wameshapigwa bao 2 kwa 1 lakini akafunga bao mbili na Roma wakamaliza na ushindi wa bak 3 kwa 2.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.