Skip to main content

Kante atwaa tuzo nyingine kubwa


Ngolo Kante ni jina linalozidi kukua siku hadi siku huku akizidi kujizolea tuzo kutokana na kiwango bora anachokionesha tangu ajiunge na klabu ya Chelsea.
Kante ambaye ameisaidia Chelsea kutwaa ubingwa msimu huu na hilo likiwa kombe lake mara mbili mfululizo na timu tofauti, usiku wa jana alijinyakulia tuzo mpya.
Kante amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa waandishi wa habari za soka, tuzo ambayo huandaliwa kila mwaka na waandishi wa masuala ya soka nchini humo.
Tuzo hizo ambazo zilitolewa katika hotel ya Landmark nchini Uingereza zilishuhudia Mfaransa huyo akiweka kabatini tuzo yake kubwa ya pili ndani ya mwezi mmoja.
Kante ambaye msimu uliopita pia alifanikiwa kubeba kombe la Epl akiwa na Leicester City ameweka wazi ugumu ambao wanaweza kukabiliana nao katika msimu ujao wa ligi.
“Msimu ujao tutakuwa na changamoto mpya kwani ukiwa bingwa na huku uko katika michuano mingi ni wazi kwamba unaweza kuwa na wakati mgumu uwanjani” alisema Kante.
Tuzo hiyo ambayo mwanzoni ilikiwa ikishikiliwa na Eden Hazard, Kante aliipata kwa kura nyingi baada ya kupigiwa kura nyingi na kumshinda Hazard na Delle Ali wa Tottenham Hotspur.
Kante amesema anajisikia faraja sana kushinda tuzo hiyo na anawashukuru wachezaji wenzake ambao bila wao asingeweza kuchukua tuzo hiyo, Kante alinunuliwa na Chelsea kwa dau la £32m kutoka Leicester City.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.