Skip to main content

Kante atwaa tuzo nyingine kubwa


Ngolo Kante ni jina linalozidi kukua siku hadi siku huku akizidi kujizolea tuzo kutokana na kiwango bora anachokionesha tangu ajiunge na klabu ya Chelsea.
Kante ambaye ameisaidia Chelsea kutwaa ubingwa msimu huu na hilo likiwa kombe lake mara mbili mfululizo na timu tofauti, usiku wa jana alijinyakulia tuzo mpya.
Kante amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa waandishi wa habari za soka, tuzo ambayo huandaliwa kila mwaka na waandishi wa masuala ya soka nchini humo.
Tuzo hizo ambazo zilitolewa katika hotel ya Landmark nchini Uingereza zilishuhudia Mfaransa huyo akiweka kabatini tuzo yake kubwa ya pili ndani ya mwezi mmoja.
Kante ambaye msimu uliopita pia alifanikiwa kubeba kombe la Epl akiwa na Leicester City ameweka wazi ugumu ambao wanaweza kukabiliana nao katika msimu ujao wa ligi.
“Msimu ujao tutakuwa na changamoto mpya kwani ukiwa bingwa na huku uko katika michuano mingi ni wazi kwamba unaweza kuwa na wakati mgumu uwanjani” alisema Kante.
Tuzo hiyo ambayo mwanzoni ilikiwa ikishikiliwa na Eden Hazard, Kante aliipata kwa kura nyingi baada ya kupigiwa kura nyingi na kumshinda Hazard na Delle Ali wa Tottenham Hotspur.
Kante amesema anajisikia faraja sana kushinda tuzo hiyo na anawashukuru wachezaji wenzake ambao bila wao asingeweza kuchukua tuzo hiyo, Kante alinunuliwa na Chelsea kwa dau la £32m kutoka Leicester City.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...